Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
I salute you Mzee Mwanakijiji. Nimechoka, sina la kusema. Yapo ya taabu nyingi zaidi ya shida hizi za afya, ukigusa elimu ndiyo usiseme, watoto wanakaa kwenye mavumbi, hakuna madarasa, hakuna vyoo, hakuna waalim, hakuna mlo shuleni hata majumbani, you name all.