Wana CCM naomba mhalalishe picha hizi

Hao wakina mama wanafiki wakubwa......
Tatizo lao ni elimu na kujitambua kuliko umasikini....
Mbona kwa waganga wa kienyeji wananunua mbuzi na kuku wanapeleka???
Au ni imani kuwa hospitali ni bure na ni kazi ya serikali.....

Bottom line ni kuwa sio wote wanaoenda hospitali za serikali
ni maskini kupita kiasi......
Ni mazoea tu.........

Halafu hao akina mama..
Hizo mimba walizipataje????
Hao wanaume waliowapa hizo mimba
hawana kazi kabisa??????
Walihongwa nini kabla ya kufungua miguu
yao kwa hiyari????
Mbona hizo khanga wanazovaa ni mpya mpya
na bei ya khanga moja sasa ni sh 5000/??????

Serikali ina mambo mengi ya kulaumiwa but sio
hao ya akina mama wa mjini......

Nitailaumu serikali kwa huduma za afya vijijini.
But hoa wa mwananyamala na amana na temeke.
Hell no.
Kwani lazima kuishi mjini na kuzaa kama uwezo huna???????


Sorry mkuu ,naomba nitofautiane na mawazo yako ya kijinga(ujinga siyo tusi mkuu, ila ni kutojua).

Kuna watu kwao ni hapa Dar es salaam toka haijawa jiji. Kilikuwa kijiji tu hiki enzi hizo,nao unawaambiaje? Wewe mkeo amezalia wapi? Mama yako alikuzalia wapi? Kijijini nako unajua hali ilivyo? Mama yako wakati anakuzaa alikuwa na kipato kiasi gani?
 
Hivi, wote tunaongea hapa, ni wangapi kati yetu amewahi kurudi kwao na kuchangia hata ujenzi wa darasa moja? Au kutoa kidogo kwa ajili ya dispensary au kituo cha afya? Ni wangapi wamesaidia kanisa na misikiti ya kijijini kwao, au wengi tunapiga domo tu? Kazi kulaumu serikali na wakati sisi wenyewe hata kusaidia chochote hatuwezi. Huwezi kulinganisha nyumba na hospitali, hata hao akina mama wengi nyumba zao ni nzuri kuliko hiyo wodi. Temeke, M/nyamala, Amana zina ahueni mara 1000 kuliko hospitali nyingi za mikoa hapa nchini. Ndiyo serikali inatakiwa ifanye juhudi lakini inawezekana mipango ipo na utekelezaji unaendelea awamu kwa awamu. Kila kitu na bajeti yake na wakati wake. Wakati tutumie bongo zetu zaidi ya hisia zetu kukosoa. Of course you can talk whatever but take a little step...do something tangible.
 
Hivi, wote tunaongea hapa, ni wangapi kati yetu amewahi kurudi kwao na kuchangia hata ujenzi wa darasa moja? .
mimi ninachangia mara kwa mara maendeleo kikijini kwetu, na mwezi Decemba nimeshiriki kutengeneza daraja kuelekea kijiji changu cha nyumbani.
 
Hivi, wote tunaongea hapa, ni wangapi kati yetu amewahi kurudi kwao na kuchangia hata ujenzi wa darasa moja? Au kutoa kidogo kwa ajili ya dispensary au kituo cha afya? Ni wangapi wamesaidia kanisa na misikiti ya kijijini kwao, au wengi tunapiga domo tu? Kazi kulaumu serikali na wakati sisi wenyewe hata kusaidia chochote hatuwezi.

Jisemee nafsi yako kama husaidii!

Huwezi kulinganisha nyumba na hospitali, hata hao akina mama wengi nyumba zao ni nzuri kuliko hiyo wodi. Temeke, M/nyamala, Amana zina ahueni mara 1000 kuliko hospitali nyingi za mikoa hapa nchini.


Ina maanisha nini?

Ndiyo serikali inatakiwa ifanye juhudi lakini inawezekana mipango ipo na utekelezaji unaendelea awamu kwa awamu. Kila kitu na bajeti yake na wakati wake. Wakati tutumie bongo zetu zaidi ya hisia zetu kukosoa. Of course you can talk whatever but take a little step...do something tangible.

yeah yeah.. "mipango ipo" na "utekelezaji".. unaendelea "awamu kwa awamu" na kuwa kila kitu na "bajeti yake".. speaking like a real politician! Endeleeni tu na "nia ya kuendeleza mradi ipo" na kuwa "serikali inatafuta fedha"!
 
Hao wakina mama wanafiki wakubwa......
Tatizo lao ni elimu na kujitambua kuliko umasikini....
Mbona kwa waganga wa kienyeji wananunua mbuzi na kuku wanapeleka???
Au ni imani kuwa hospitali ni bure na ni kazi ya serikali.....

sasa wewe unataka kila mama aende hospitali na jengo lake(maana hata kama kila mtu akienda na kitanda wataviweka wapi?), kitanda chake, shuka yake...on top of kwenda na sindano, pamba na uchafu mwingine kibao?

madawati watoto wetu wabebe kwenda nayo shule, shule zenyewe tujenge kwa nguvu zetu, sasa kazi ya serikali ni nini?si afadhali kusiwe na serikali tujue moja?

au unadhani maana ya kuwa na serikali ni nini?
siamini kama kuna mtu mwenye mawazo kama yako, yani hapa hata Jk mwenyewe ukimuuliza hatatoa majibu ya kipumbavu, kipuuzi na kijinga kama yako,

Bottom line ni kuwa sio wote wanaoenda hospitali za serikali
ni maskini kupita kiasi......
Ni mazoea tu.........

Halafu hao akina mama..
Hizo mimba walizipataje????
Hao wanaume waliowapa hizo mimba
hawana kazi kabisa??????
Walihongwa nini kabla ya kufungua miguu
yao kwa hiyari????

wewe inaelekea hujawahi kugusa mwanamke bila kutoa hela, wala hujawahi kupendwa tangu uzaliwe maana domo zito! au si riziki? mi nimeshindwa kujizuia maana watu wengine wanakera sana!

Mbona hizo khanga wanazovaa ni mpya mpya
na bei ya khanga moja sasa ni sh 5000/??????

Serikali ina mambo mengi ya kulaumiwa but sio
hao ya akina mama wa mjini......

Nitailaumu serikali kwa huduma za afya vijijini.
But hoa wa mwananyamala na amana na temeke.
Hell no.
Kwani lazima kuishi mjini na kuzaa kama uwezo huna???????

sasa kama mjini ndio kuko hivi, kama alivyosema mdau fulani, huko lindi mtwara, kidoma, rukwa kutakuaje?


serikali inatakiwa itoe hizi huduma za jamii, kama mtu unauwezo wa kwenda agha khani nenda, ila wasio na uwezo wanatakiwa waenda hapo na wapate hata kama tumeshindwa huduma bora, basi za kibinadamu!

huu ni ukiukwaji wa haki za binadamu, yani mwanamke katoka kulete uhai afu anafanywa hivyo?

mnadhani huyo JK na balali wake na viongozi wengine wamezaliwa wapi? wazazi wao si walikua wananchi wa kawaida kabisa wakapata huduma kwenye hospitali za serikali, hapo katika hao waliolala chini ukute kuna raisi wa baadae...

kila nikiangalia hizo picha najiskia kufa kabisa!
 
Nimekuwa nafuatilia huu mjadala toka kwa Blog ya Michuzi hadi hapa ingawa sijasoma discussion inayoendelea kwenye thread hii. Kitu kimoja nilicho-notice ni kwamba hii discussion imejaa jazba na kutupiana lawama....ndiyo maana hawa wanasiasa wetu wanaendelea kutuchezea, hadi raisi anasema tunafuata upepo.

Ninachotaka kusema ni kwamba hii discussion inge-focus kuangalia imekuwaje hii nyumba imecost zaidi ya shillingi billioni moja (badala ya kuangalia inakuwaje Gavana anajengewa nyumba ya kiasi hicho), kwa sababu ninavyoiona na uelewa wangu hii nyumba haitakiwi kucost zaidi ya dola 60,000 (~milioni 65/=), na hilo ni kadirio la juu kabisa.

Mkaguzi wa serikali angefanyia uchunguzi na kutoa kwa umma details nzima za ujenzi, naamini ingefanyika hivyo hii discusion ingeshift kutoka ilivyo sasa hivi.

Hauwezi kumlaumu Gavana kwa hili, especially kama siyo yeye aliyeidhinisha gharama hizo, walioingia naye mkataba wangeweza kupata watu wengine kujaza nafasi hiyo kama hayo ndiyo yalikuwa madai yake.

Tupunguze jazba kama tunataka hawa wanasiasa watuheshimu, tukiendelea hivi wataendelea kucheza na hisia zetu tu huku wakifanya wanachotaka.

Ni hayo tu.

P.S Hii imenikumbusha malumbano ya Mengi na Sofia Simba na jinsi watu walivyoyashabikia bila kuelewa message behind all that. Tuwe makini wanaJF.
 
Mwezi February zinakuja Mercedec Benz C 500 mbili yeneye thamani ya shs 200 millioni kila moja kwa moja ajili ya Mheshimiwa Gavana na nyingine kwa ajili ya mkurugenzi mkuu wa wa NSSF wenye access na D.T Dobie Tazania ltd anaweza akaipata hiyo!!!
 

Attachments

  • 2010-mercedes-benz-cl-class.jpg
    2010-mercedes-benz-cl-class.jpg
    28.4 KB · Views: 60
Hivi ni kipimo gani cha success au achievement hawa viongozi wanacho ili ku justify kujinunulia na kujizawadia vitu kama hivyo. Hivi kweli the WHOLE bunch can be that corrupt!! Unless corruption is a highly infectious disease to leaders of TZ it's hard to believe!
 
hao wakina mama wanafiki wakubwa......
Tatizo lao ni elimu na kujitambua kuliko umasikini....
Mbona kwa waganga wa kienyeji wananunua mbuzi na kuku wanapeleka???
Au ni imani kuwa hospitali ni bure na ni kazi ya serikali.....

Bottom line ni kuwa sio wote wanaoenda hospitali za serikali
ni maskini kupita kiasi......
Ni mazoea tu.........

Halafu hao akina mama..
Hizo mimba walizipataje????
Hao wanaume waliowapa hizo mimba
hawana kazi kabisa??????
Walihongwa nini kabla ya kufungua miguu
yao kwa hiyari????
Mbona hizo khanga wanazovaa ni mpya mpya
na bei ya khanga moja sasa ni sh 5000/??????

Serikali ina mambo mengi ya kulaumiwa but sio
hao ya akina mama wa mjini......

Nitailaumu serikali kwa huduma za afya vijijini.
But hoa wa mwananyamala na amana na temeke.
Hell no.
Kwani lazima kuishi mjini na kuzaa kama uwezo huna???????



wewe ni mtanzania, binadamu ama mtu gani ambae hawezi kuona matatizo ya hawa akina mama? Hao ni kina mama katika hospitali iliyopo mjini. Ebu fikiria kule vijijini ambako pengine hawana hata uhakika wa kula. Kwni kuzaa ni dhambi? Kama ndivyo hivyo basi hata wewe hukupaswa kuzaliwa
 
Nimekuwa nafuatilia huu mjadala toka kwa Blog ya Michuzi hadi hapa ingawa sijasoma discussion inayoendelea kwenye thread hii. Kitu kimoja nilicho-notice ni kwamba hii discussion imejaa jazba na kutupiana lawama....ndiyo maana hawa wanasiasa wetu wanaendelea kutuchezea, hadi raisi anasema tunafuata upepo.

Ninachotaka kusema ni kwamba hii discussion inge-focus kuangalia imekuwaje hii nyumba imecost zaidi ya shillingi billioni moja (badala ya kuangalia inakuwaje Gavana anajengewa nyumba ya kiasi hicho), kwa sababu ninavyoiona na uelewa wangu hii nyumba haitakiwi kucost zaidi ya dola 60,000 (~milioni 65/=), na hilo ni kadirio la juu kabisa.

Mkaguzi wa serikali angefanyia uchunguzi na kutoa kwa umma details nzima za ujenzi, naamini ingefanyika hivyo hii discusion ingeshift kutoka ilivyo sasa hivi.

Hauwezi kumlaumu Gavana kwa hili, especially kama siyo yeye aliyeidhinisha gharama hizo, walioingia naye mkataba wangeweza kupata watu wengine kujaza nafasi hiyo kama hayo ndiyo yalikuwa madai yake.

Tupunguze jazba kama tunataka hawa wanasiasa watuheshimu, tukiendelea hivi wataendelea kucheza na hisia zetu tu huku wakifanya wanachotaka.

Ni hayo tu.

P.S Hii imenikumbusha malumbano ya Mengi na Sofia Simba na jinsi watu walivyoyashabikia bila kuelewa message behind all that. Tuwe makini wanaJF.

Tafiti au tumia wataalamu watoe majibu sahihi kwa hili umekosea, mil 65 haiwezi kufanya lolote kwa jumba hili.
 
Hao wakina mama wanafiki wakubwa......
Tatizo lao ni elimu na kujitambua kuliko umasikini....
Mbona kwa waganga wa kienyeji wananunua mbuzi na kuku wanapeleka???
Au ni imani kuwa hospitali ni bure na ni kazi ya serikali.....

Bottom line ni kuwa sio wote wanaoenda hospitali za serikali
ni maskini kupita kiasi......
Ni mazoea tu.........

Halafu hao akina mama..
Hizo mimba walizipataje????
Hao wanaume waliowapa hizo mimba
hawana kazi kabisa??????
Walihongwa nini kabla ya kufungua miguu
yao kwa hiyari????
Mbona hizo khanga wanazovaa ni mpya mpya
na bei ya khanga moja sasa ni sh 5000/??????

Serikali ina mambo mengi ya kulaumiwa but sio
hao ya akina mama wa mjini......

Nitailaumu serikali kwa huduma za afya vijijini.
But hoa wa mwananyamala na amana na temeke.
Hell no.
Kwani lazima kuishi mjini na kuzaa kama uwezo huna???????

Si amini kama mawazo haya ni ya MTANZANIA mwenye uchungu na nchi yake
 
Eti na huyu mjinga anajifanya kuwa kwenye kundi la great thinker. Nachelea kutoa tusi. Mungu nisaidie nipe uvumilivu..............


Mimi naomba MUNGU aninyime huo uvumilivu dhid ya pumba alizozitoa jamaa. Kama fedhuli huyo ni wa kwanza
 
Hivi, wote tunaongea hapa, ni wangapi kati yetu amewahi kurudi kwao na kuchangia hata ujenzi wa darasa moja? Au kutoa kidogo kwa ajili ya dispensary au kituo cha afya? Ni wangapi wamesaidia kanisa na misikiti ya kijijini kwao, au wengi tunapiga domo tu? Kazi kulaumu serikali na wakati sisi wenyewe hata kusaidia chochote hatuwezi. Huwezi kulinganisha nyumba na hospitali, hata hao akina mama wengi nyumba zao ni nzuri kuliko hiyo wodi. Temeke, M/nyamala, Amana zina ahueni mara 1000 kuliko hospitali nyingi za mikoa hapa nchini. Ndiyo serikali inatakiwa ifanye juhudi lakini inawezekana mipango ipo na utekelezaji unaendelea awamu kwa awamu. Kila kitu na bajeti yake na wakati wake. Wakati tutumie bongo zetu zaidi ya hisia zetu kukosoa. Of course you can talk whatever but take a little step...do something tangible.

Tukiondoa ubinafsi basi hapo ndo tutafanikiwa kwenye hili, vinginevyo ni bure, juzijuzi wakinamama wakatoliki WAWATA wamefanya mambo makubwa sana pale Ocean road hospital, matendo ya huruma (Jimbo zima la DSM) waliungana kufanya matendo ya huruma, ni mfano mzuri wa kuigwa. Nilishuhudia magari yanabeba bidhaa kutoka Kanisa la St. Joseph nikajiuliza hivi kila mtu angeguswa hivi tungepiga hatua haraka sana. Lakini Viongozi wetu na wake zao wanajifungia kabisa hadi uchaguzi ndo utawaona wanatoa chochote kusudi wachaguliwe.

Kwenye hili wagonjwa kujazana, hata uwe na pesa utalala chini kwani wagonjwa ni wengi kwelikweli. Hata hiyo fast track Muhimbili kumejaa nenda MOI kumejaa, na wagonjwa wanawatafuta madaktari mabingwa, wodi hazitoshi hata uwe na pesa utalala chini, shida nikupangwa kitanda kimoja na kichaa, kwani kuna wamama wakipata mimba wanakuwa vichaa hapo ndo hakutoshi! kuzaa kazi usisimuliwe.
 
Kikwete, Dr. Mohamed Sheni, Mizengo Pinda, Samwel Sitta, Dr. John Pombe Maghufuli, Sofia Simba, Benard Membe, Lawrence Masha, Jumanne Maghembe, Prof. Kapuya, Bw. Makamba, Dr. Mwinyi, Philp Marmo, Bw. Ngeleja, na wengineo miongoni mwenue, tunaomba maoni yenu kuhusu Maisha bora kwa kila Mtanzania, maoni yenu yahusiane na picha zilizopo hapo juu. Asanteni sana waheshimiwa
 
nilichojaribu kusema ni kuwa
watu wachukulie kuwa afya zao ni muhimu
kuliko kununua khanga au hereni za dhahabu...
zipo dispensary nyingi za binafsi za bei nafuu.....

sio lazima kila mtu akasuburi huduma
ya bure mwananyamala au amana.

mimi binafsi nawajua wamama kadhaa ambao
wana uwezoa kwenda kwenye dispensary
za binafsi za bei nafuu,but wanaenda
hospitali za serikali kwa kila tatizo lao.

wapo kweli masikini wasio na uwezo
but sio wote,wengine ni mazoea ya
huduma za dezo.

shutup
 
Kitu ambacho mimi sikielewi ni hiki: hizi picha ni za siku nyingi kidogo (labda mwezi au miezi miwili iliyopita) na hii hali ni ya siku nyingi, let me say ni ya siku zote. Zilipobandikwa hapa kwa mara ya kwanza hakukuwa na reaction kama hii. Reaction iliyokuwepo ilikuwa subdued kidogo.

Sasa kwenye hii mada naona watu wengi wameonyesha 'outrage' kama vile ni hali mpya ambayo hawajawahi kuiona, kuisikia, au kuishuhudia au kama vile hizi picha ni mpya. Nashindwa kabisa kuelewa. Kwangu mimi hii hali si ngeni. Kama mtu umezaliwa na kukulia Tanzania hakuna cha ajabu kwenye hizo picha. Ndio hali halisi ya maisha ya kila siku.

Kwa nini hakuna consistent outrage. Mtaandika na kulalamika kwenye mtandao kwa siku mbili tatu halafi jiiiiiiiii. Kila mtu anasahau hadi atokee 'celebrity' mwingine kutoka majuu, ajilizelize ndio tukumbuke kuwa kuna tatizo mahala flani. Sielewi kabisa.

Seriously, nini kipya hapo kwenye hizo picha hadi watu muonyeshe mshangao mkubwa? Kuna mtu alibandika picha ya watoto wadogo wa shule ya msingi walikokuwa wamekaa chini ya mbuyu (wakiwa darasani?) na ni wachache walioonyesha outrage. Sijui kwa vile hakukuwa na celebrity wa kutoka majuu aliyekuwa amekaa nao.

Halafu mijitu mizima na akili zao inaambiwa italetewa maisha bora kwa kila Mtanzania na yenyewe bila haya na bila kuhoji kuwa hayo maisha bora yatatoka wapi inadandia tu trni kwa mbele. It makes me sick.

Kipya ni Jengo la Gavana vs akina mama wodini
 
Hao wakina mama wanafiki wakubwa......
Tatizo lao ni elimu na kujitambua kuliko umasikini....
Mbona kwa waganga wa kienyeji wananunua mbuzi na kuku wanapeleka???
Au ni imani kuwa hospitali ni bure na ni kazi ya serikali.....

Bottom line ni kuwa sio wote wanaoenda hospitali za serikali
ni maskini kupita kiasi......
Ni mazoea tu.........

Halafu hao akina mama..
Hizo mimba walizipataje????
Hao wanaume waliowapa hizo mimba
hawana kazi kabisa??????
Walihongwa nini kabla ya kufungua miguu
yao kwa hiyari????
Mbona hizo khanga wanazovaa ni mpya mpya
na bei ya khanga moja sasa ni sh 5000/??????

Serikali ina mambo mengi ya kulaumiwa but sio
hao ya akina mama wa mjini......

Nitailaumu serikali kwa huduma za afya vijijini.
But hoa wa mwananyamala na amana na temeke.
Hell no.
Kwani lazima kuishi mjini na kuzaa kama uwezo huna???????

Kama nilivyoelewa mndivyo ulivyoandika, kweli pana kazi. If these words are coming from a Tanzanian, then I better shut up! Maneno haya jamani labda nitafsiriwe upya ila aliyeandika nashindwa kumwelewa hata kidogo....
Kwamba slum dwellers hawawezi kuwa na maisha ya chini kiasi hiki? Kweli?
 
Back
Top Bottom