Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,876
- 33,308
Na jina lake ni Kimaro!!!🤣😄✍🤌🤏Wanawake always wana Akili Sana,
Hapo tayari mwanamke keshapiga hesabu zake vizuri,
Na jina lake ni Kimaro!!!🤣😄✍🤌🤏Wanawake always wana Akili Sana,
Hapo tayari mwanamke keshapiga hesabu zake vizuri,
Unataka kusema kina Kimaro ni don't try them at money!!Na jina lake ni Kimaro!!!🤣😄✍🤌🤏
hahahaha. mwanamke hatari sana, kacheza karata vizuri kabisaWanawake always wana Akili Sana,
Hapo tayari mwanamke keshapiga hesabu zake vizuri,
Karata gani sasa? 🤔hahahaha. mwanamke hatari sana, kacheza karata vizuri kabisa
UUUWIIHata Mim siwezi tutafunga tu ndoa bana tatizo tu mboooo ndio ikosane ikiwepo sina shida ikikosekana tutajua
Bora uishi na zimwi likujualo
mbona iko wazi bibieKarata gani sasa? 🤔
Kwanini na Umejuaje vitimbwi vitaanza?Apo mwanamke alikuwa hana namna zaid ya kufunga ndoa tu amekubali kutokana na pressure ya ndugu apo akili ikikaa Sawa baada ya miez sita vitimbwi vitaanza
Hela je?Fimbo ni muhimu mnoo
Nikiwaambia wanawake wanapenda ngono kuliko wanaume watu hawanielewagiFimbo ni muhimu mnoo
unajua Ukiwa umekatwa mguu kwa mwanaume kuna upungufu unapata kwenye mambo ya ndoa pia kuna Mamb atashindwa FanyaKwanini na Umejuaje vitimbwi vitaanza?
Mbona Nimeona mke anaishi na mume ambae hana hata miguu yote miwiliunajua Ukiwa umekatwa mguu kwa mwanaume kuna upungufu unapata kwenye mambo ya ndoa pia kuna Mamb atashindwa Fanya
Muhimu zaidi ahahahHela je?
Yaan vitimbwi vianze kwa sababu mwenzake kakatwa mguu?Apo mwanamke alikuwa hana namna zaid ya kufunga ndoa tu amekubali kutokana na pressure ya ndugu apo akili ikikaa Sawa baada ya miez sita vitimbwi vitaanza
ana bahati kupata mke wa hivo anayebaki na wewe kwenye shida,mke mwema
ila inaweza kuwa kweli aiseeUwezo wake wa kubaki kwenye shida na raha unajulikana baada ya miezi 6 katika ndoa.
Wachache sana wataelewa👍Hata Mim siwezi tutafunga tu ndoa bana tatizo tu mboooo ndio ikosane ikiwepo sina shida 😂😂😂 ikikosekana tutajua
Bora uishi na zimwi likujualo
Kwa sisi waislam ndoa haipati baraka mpaka kijiti kizame ndani ya mhusika. Sijui kwenu nyinyi inakuaje.Augustine Makule na Mpenzi wake Rose Kimaro wamefunga ndoa wodini jijini Dodoma baada ya Bwana harusi kupata ajali ya Bodaboda siku mbili kabla ya siku ya harusi yao.
Ajali hiyo ya pikipiki iliyotokea eneo la zuzu Dodoma na kupelekea kijana Agustino kukatwa mguu wake wa kulia na vidole vitatu vya mguu wake wa kushoto.
Licha ya maumivu makali aliyokuwa nayo waliamua kuendelea na ratiba yao ya ndoa ambayo waliifungia ndani ya wodi baada ya Mchungaji kufika na baadhi ya Waumini na kuendelea na taratibu za ndoa,
full video ya habari hii ipo kwenye Youtube ya millardayo.
ila inaweza kuwa kweli aisee