Wamarekani wanatembea na silaha

Wamarekani wanatembea na silaha

Kuuwawa auawe Mwarabu au Mwafra mnyama akiuwawa Mzungu binadamu sio? Wanatakiwa wauwane kama 900 fasta usiku mmoja ili wauhisi uchungu wanaouhisi waliowachonganisha na kuwaacha wakitoana roho.
 
Sasa huoni kwamba hao watu wanaandamana kwa amani kutoa dukuduku lao?

Hali ingekuwa mbaya kihivyo unadhani hao watu wangepata hata hiyo fursa ya kuandamana na kurudi makwao salama?

Halafu waandamanaji wala siyo weusi tu....uthibitisho kwamba idadi kubwa ya walio wengi, licha ya rangi zao za ngozi, wanakataa matendo ya polisi wachache walio waovu.

Wacha kutetea uovu ewe punguani mwanjo mwanjo.

Kuna mitaa US hakuna black anaekatiza, si mchana si usiku.
 
Wacha kutetea uovu ewe punguani mwanjo mwanjo.

Kuna mitaa US hakuna black anaekatiza, si mchana si usiku.
Acha uwongo wewe labda unachanganya na wale mabwana zako wa Boko haram na ISIS
 
Gun kwa US ni haki ya mtu kumiliki na ipo kwenye constitution yao,hao unaowaona kwenye picha wanatumia law inaitwa open carry inayoruhusu mtu kubeba na kuonyesha silaha yake lakini sio States zote zinaruhusu kuonyesha,na kumiliki gun kuna kuja na responsibility ambazo zinaweza kukuweka jela wewe mwenyewe na lazima uwe na licence,training and you have to pass background check etc,shooting nyingi zinatokana na watu ambao ni criminal na hawana hata permit ya kumiliki gun,nakuhakikishia mpaka ukimaliza process ya kumiliki gun US lazima utaheshimu gun na huwezi kutumia tumia ovyo kama mnavyofikiria
 
Gun kwa US ni haki ya mtu kumiliki na ipo kwenye constitution yao,hao unaowaona kwenye picha wanatumia law inaitwa open carry inayoruhusu mtu kubeba na kuonyesha silaha yake lakini sio States zote zinaruhusu kuonyesha,na kumiliki gun kuna kuja na responsibility ambazo zinaweza kukuweka jela wewe mwenyewe na lazima uwe na licence,training and you have to pass background check etc,shooting nyingi zinatokana na watu ambao ni criminal na hawana hata permit ya kumiliki gun,nakuhakikishia mpaka ukimaliza process ya kumiliki gun US lazima utaheshimu gun na huwezi kutumia tumia ovyo kama mnavyofikiria

Hao wala vumbi unadhani wana hata uwezo wa kuelewa unachowaambia basi?

Unampigia mbuzi gitaa tu.

You can't reason with them!
 
Acha uwongo wewe labda unachanganya na wale mabwana zako wa Boko haram na ISIS

Hao wote uliowataja waliasisiwa na mabwana zako wazungu hususan wa US.

Unataka kunibishia mie habari za US? Unanchekesha.

Nenda ka Google kuhusu "sundown towns" (kama unaelewa Kingereza) halafu uje hapa useme ni nini hicho.

Nnauhakika hautorudi.

Punguani wahed.
 
Hao wote uliowataja waliasisiwa na mabwana zako wazungu hususan wa US.

Unataka kunibishia mie habari za US? Unanchekesha.

Nenda ka Google kuhusu "sundown towns" (kama unaelewa Kingereza) halafu uje hapa useme ni nini hicho.

Nnauhakika hautorudi.

Punguani wahed.

Taja mitaa ambayo weusi hawaruhusiwi kukatiza.
 
bb596a2e8f834a8275f61664309e13c0.jpg


c6dbfc6b7616644b958dd2b2f85c4a17.jpg


(Above pictures) Wamarekani weupe wanatembea na silaha (wanaogopa kuvamiwa na Wamarekani weusi).
93107cfaebaa9908dfe0f74200066211.jpg


Mbona hii kitu cha 2014... Haina uhusiano kati ya weupe na weusi
 
Hao wote uliowataja waliasisiwa na mabwana zako wazungu hususan wa US.

Unataka kunibishia mie habari za US? Unanchekesha.

Nenda ka Google kuhusu "sundown towns" (kama unaelewa Kingereza) halafu uje hapa useme ni nini hicho.

Nnauhakika hautorudi.

Punguani wahed.
Sina muda na Conspiracy garbages na akili zako zilizojaa matope ,unachoweza ni udini tuu nenda kasaidie ISIS mfikie dream yenu ya cailphate maana huko ulipojificha na kufaidi maisha bora under secular laws hapakufai,ila warning ukiingia kule hakuna kutoka ni either precision guided munitions zigeuze vumbi or mabwana zako ISIS wakunyonye mpaka utoke mavi
 
Sipingi mkuu
ila inaonekana watu wengi hawajitambui huko kwenu sababu mojawapo ni hii ..... kwa nini mfitinishwe na mzungu? mpaka mfikie hatua ya kuuwana ovyo katika kiwango cha kusikitisha namna hii

Mimi siwezi nikagombanishwa na ndugu yangu kisa mtu fulani
Natakiwa nifikiri mwenyewe kwa akili zangu
kama wewe ni ccm akija ukawa utamtukana,ufitini ndio unavoanza
 
Hizo silaha watageukiana wenyewe kwa wenyewe maniaa zao.

Leo hii ndiyo wanamkumbuka Sadam Hussein baada ya kuichafua dunia.

Kila siku tunaambiwa US kuna amani sana amani gani sasa hiyo.
Utabiri wangu ni hayo masilaha wanayotengeneza siku moja watayatumia kuuana wenyewe kwa wenyewe alafu dola nyingine zitarise
 
Wacha kutuletea maneno ya kishoga hapa. Askari wa US wameshauwa watu weusi wangapi mpk sasa?. Halafu we unaleta nyodo za kusema kuna amani. Amani unaijua wewe?
Matatizo km haya mama mkaa ndani km wewe hayawezi kukutokea manake masaa yote uko ndani unalea watoto na kumpikia boyfriend wako. Toka njema uone watakavyokufanya na hilo Kalio lako lenye upele ka chippings.
Taratibu wazee ingawa huyo jamaa kweli anazingua
 
Back
Top Bottom