Wamarekani wanatembea na silaha

Wamarekani wanatembea na silaha

....USA baby.....

Greatest country ever!

USA baby
upload_2016-7-10_13-11-31.png
upload_2016-7-10_13-11-33.png
upload_2016-7-10_13-11-34.png
.

 
Mpaka uitoe mgongoni si wameshakuchapa risasi fasta?
 
kibongo bongo ingekuwa raha sana. wale vibaka wa dar wanaokaba mchana kweupe wangenikoma sana+wamwera wanaopiga raia mpaka wana kufa kpind cha maandamano. Ni wa kuwadungua tu.
Kweny nchi yangu hii ni ya kivita kbsa, ukitaka kumiliki unapewa mguu wa kuku au wa bata. Ile kwa wenzetu.....................
 
Dunia ingekuwa na amani kama Marekani isingekupo kwenye uso wa dunia, marekani ilitakiwa iwe ya kwanza kushitakiwa kwenye mahakama ya mauwaji ya haraiki.
 
Hali ya US kwa sasa inasikitisha sana.

Wanauwana kwa ubaguzi wa rangi tu.

Cha kushangaza wale wanaojidai kulalamika na kulaani sana inapotokea habari ya ufataani kuhusu mfanyakazi wa ndani kutokutendewa haki Dubai au Riadh leo wapo kimya kuhusu mauaji huko US.

Kulikoni?
Salimia baba la kipare huyo, huiuu huuui, naona mwezi mtukufu uliuutendea haki
 
Sasa huoni kwamba hao watu wanaandamana kwa amani kutoa dukuduku lao?

Hali ingekuwa mbaya kihivyo unadhani hao watu wangepata hata hiyo fursa ya kuandamana na kurudi makwao salama?

Halafu waandamanaji wala siyo weusi tu....uthibitisho kwamba idadi kubwa ya walio wengi, licha ya rangi zao za ngozi, wanakataa matendo ya polisi wachache walio waovu.
Wacha kutuletea maneno ya kishoga hapa. Askari wa US wameshauwa watu weusi wangapi mpk sasa?. Halafu we unaleta nyodo za kusema kuna amani. Amani unaijua wewe?
Matatizo km haya mama mkaa ndani km wewe hayawezi kukutokea manake masaa yote uko ndani unalea watoto na kumpikia boyfriend wako. Toka njema uone watakavyokufanya na hilo Kalio lako lenye upele ka chippings.
 
Kama imefikia hatu raia wanatembea na siraha ni indicator kuwa amani hakuna,mda wowote kinawashwa.
 
Ukiwasoma watu wa humu na kama hujui unaweza kudhani kweli Marekani imegeuka kuwa Syria kumbe wapi!
Hivi kuna uthibitisho gani hapa ya kwamba hao watu ni wa USA?

Hivi watu weupe wenye silaha wapo US tu ?
Hizo picha ni fake . Mtoa mada lete link inasema hizo picha zimepigwa USA.
Sio unaenda kuiba picha huko unaleta hapa
Kuanzisha fujo .
 
Hali ya US kwa sasa inasikitisha sana.

Wanauwana kwa ubaguzi wa rangi tu.

Cha kushangaza wale wanaojidai kulalamika na kulaani sana inapotokea habari ya ufataani kuhusu mfanyakazi wa ndani kutokutendewa haki Dubai au Riadh leo wapo kimya kuhusu mauaji huko US.

Kulikoni?
hivi hao waaragu wa dubai walikufanyia nini ambacho hautakuja kusahau unawatetea kila siku? walikutia nanilii nini, una marinda wewe kweli? pole
 
Hivi kuna uthibitisho gani hapa ya kwamba hao watu ni wa USA?

Hivi watu weupe wenye silaha wapo US tu ?
Hizo picha ni fake . Mtoa mada lete link inasema hizo picha zimepigwa USA.
Sio unaenda kuiba picha huko unaleta hapa
Kuanzisha fujo .
Mapenzi mabaya sana hizo picha za Marekani kama unasema ni feki tufahamishe wewe hizo picha za wapi au akili yako unagoma kabisa kukubali Marekani watu wanatembea na hunting Rifles. Link hiyo unayotaka.

Redirect Notice
 
Wacha kutuletea maneno ya kishoga hapa. Askari wa US wameshauwa watu weusi wangapi mpk sasa?. Halafu we unaleta nyodo za kusema kuna amani. Amani unaijua wewe?
Matatizo km haya mama mkaa ndani km wewe hayawezi kukutokea manake masaa yote uko ndani unalea watoto na kumpikia boyfriend wako. Toka njema uone watakavyokufanya na hilo Kalio lako lenye upele ka chippings.

Hivi wewe huna matusi mapya?

Manake kila siku ni yaleyale tu.

Na ndiyo, Marekani ni salama sana tu. Hapa siyo Mogadishu wala Baghdad.

Hutaki, kunya ukalalwe.
 
Mapenzi mabaya sana hizo picha za Marekani kama unasema ni feki tufahamishe wewe hizo picha za wapi au akili yako unagoma kabisa kukubali Marekani watu wanatembea na hunting Rifles. Link hiyo unayotaka.

Redirect Notice
Mkiwa mnaweka habari wekeni habari nzima sio mnaweka vitu nusu nusu. Na Hiyo picha ya chini link ni ipi?
 
hivi hao waaragu wa dubai walikufanyia nini ambacho hautakuja kusahau unawatetea kila siku? walikutia nanilii nini, una marinda wewe kweli? pole

Waliiletea dunia ustaarabu.

Vipi wewe huna ustaarabu?
 
Nyani Ngabu anatucheka eti wala vumbi tutaisha kwa ajali za barabarani, anasahau waume zake huko wanavyofyekana kwa risasi! Bora waosha mb..... Za vibabu vya Kimarekani wajirudie nyumbani tu!
 
Ngoja wamalizane......

What goes around comes arround
 
Back
Top Bottom