Wamarekani wanatembea na silaha

Wamarekani wanatembea na silaha

Sina muda na Conspiracy garbages na akili zako zilizojaa matope ,unachoweza ni udini tuu nenda kasaidie ISIS mfikie dream yenu ya cailphate maana huko ulipojificha na kufaidi maisha bora under secular laws hapakufai,ila warning ukiingia kule hakuna kutoka ni either precision guided munitions zigeuze vumbi or mabwana zako ISIS wakunyonye mpaka utoke mavi

Hii "conspiracy theory" ya mama'ko?...
 
Mimi nilimpenda sana yule black aliyeua askari watano yule.. daaah angekuwa ningemtafuta nimpongeze. Wazungu sometimes wanazingua sana
 
Tukio moja au mawili hayaifanyi nchi nzima kuwa mbaya na kuwa sijui imechafuka.

Huo ni uzushi wenu tu.

Marekani siyo Somalia wala Syria.
Bi mkubwa wengine wawili wako miguu juu michigan. Endelea kuimba Taarabu tu. Hio mipasho yako ina Mwisho.
Au neno "amani" Kwa kiha maana yake kuviziana Kati ya weusi na weupe sio!
Mtoto biskuti kweli kweli wewe.
 
Gun kwa US ni haki ya mtu kumiliki na ipo kwenye constitution yao,hao unaowaona kwenye picha wanatumia law inaitwa open carry inayoruhusu mtu kubeba na kuonyesha silaha yake lakini sio States zote zinaruhusu kuonyesha,na kumiliki gun kuna kuja na responsibility ambazo zinaweza kukuweka jela wewe mwenyewe na lazima uwe na licence,training and you have to pass background check etc,shooting nyingi zinatokana na watu ambao ni criminal na hawana hata permit ya kumiliki gun,nakuhakikishia mpaka ukimaliza process ya kumiliki gun US lazima utaheshimu gun na huwezi kutumia tumia ovyo kama mnavyofikiria
Mkuu naomba unijibu hili swali, Hivi inapofikia stage ya watu kuongezeka kwa idadi, wanaomiliki silaha au wanaotembea na Silaha ina maana Amani inapungua au inaongezeka hiyo sehemu au Mji husika?
 
USA Baby...Aahahahaha!!.


Mbuzi kafia kwa muuza supu
78b0679011e3077ff53b4188f0f503e2.jpg
 
Mkuu naomba unijibu hili swali, Hivi inapofikia stage ya watu kuongezeka kwa idadi, wanaomiliki silaha au wanaotembea na Silaha ina maana Amani inapungua au inaongezeka hiyo sehemu au Mji husika?
Idadi wanaomiliki silaha ikiongezeka lazima mauaji yatakuwa mengi.

Nchi kama China kwa jinsi walivyo wengi waliona hili ndiyo maana sheria za China marufuku raia kumiliki silaha.
 
Back
Top Bottom