Mashirika/Watu wengi wamejaribu kufanya studies ya ulichouliza lakini tatizo ziko nyingi sana with different results kutokana na politics za guns hapa US na kila study inayotolewa inakuwa suspicious na inaonekana kama inajaribu kuvutia upande wake(pro or ant guns), mbaya zaidi congress imepiga ban agency zake kufanya gun violence studies ambazo zingeweza kutumika as a benchmark,pro guns wanakuambia more guns means less criminal activities na wana back up with datas na ant guns wanakuambia the same in vice versa,ila mimi binafsi nafikiri gun violence is more common in poor urban areas especially ndugu zetu weusi wanauana sana ingawaje nao wazungu pia na ndio zinachangia more gun violence kuliko mass shootings mnazoona kwenye TV,guns ownership in US ni culture yao na ipo kwenye constitution yao na wengi wanaamini gun is for protection na wanaamini one day serikali yao inaweza kuwa tyrant na gun ndio itakuwa usalama wao, politician especially in conservatives states hawagusi hiyo issue maana is like political suicideMkuu naomba unijibu hili swali, Hivi inapofikia stage ya watu kuongezeka kwa idadi, wanaomiliki silaha au wanaotembea na Silaha ina maana Amani inapungua au inaongezeka hiyo sehemu au Mji husika?