Yegomasika
JF-Expert Member
- Mar 21, 2009
- 13,164
- 61,276
![]()
![]()
(Above pictures) Wamarekani weupe wanatembea na silaha (wanaogopa kuvamiwa na Wamarekani weusi).
hicho ulichosema rais Philippines amekisema kwenye sikukuu ya eidHakuna kitu kibaya kama damu ya mtu, Wazungu wamemuua Saddam kwa kisingizio cha silaha za maangamizi hakuwa nazo, wamemuua Gadaffi bila kosa, matokeo yake wakasababisha kuibuka kwa ISIS, sasa wana haha..Wamesababisha vita Sirya hakukaliki wakimbizi wanakimbilia kwao sasa, wanahaha tena, hawawataki.sasa wanataka waende wapi wakati wao ndo wamesababisha vita kwao, sasa hivi wameanza kuua watu weusi, sasa wanategemea wakimuua ndugu yako wewe uchekelee au ushangilie, walijua kabisa nini kitatokea kwao sasa wanalalamika nn, haiwezekani ww umuue mtu bila sababu halafu, familia yake na marafiki zake wakuangalie tuu, eti wa kwanza, eti wa pili hee...hata kama ni uvumilivu una mwisho wake jamani, wale sio wanyama ni binadamu wana nyongo..sasa wakichukua hatua oooo kwa hiyo walitakaje ? watu watulie tuu na kuuwawa kama kuku ama...watavuna walichopanda, huwezi kupanda mahindi ukavuna choroko, ukipanda Mauti utavuna mauti tuu hakuna jinsi..
We kuzalishwa watoto 6 wa baba sita tofauti umeona usalama huo? Au mpk uzae chura chotara ndio ujue hakuna usalama.
Dera ndo kitu gani bi mkubwa.? Nyie mapashkuna Kwa mafumbo ni balaa.Hapo mwenyewe umevaa dera au tight?
View attachment 364835
View attachment 364836
Hali siyo mbaya kabisa watu wanafanya shughuli zao kama kawaida.
View attachment 364838
Dera ndo kitu gani bi mkubwa.? Nyie mapashkuna Kwa mafumbo ni balaa.
nyani ameungana na wazungu nae amisha kuwa mzungu
Hamna anayelazimisha hali halisi ndiyo hii huko Marekani hii Dallas.Ndiyo, hali siyo mbaya kabisa na hizo picha wala hazihusiani chochote na mauaji ya hao jamaa wawili.
Mnalazimisha mambo na kutamani sana Marekani ichafuke lakini haitotokea.
Hamna anayelazimisha hali halisi ndiyo hii huko Marekani hii Dallas.
Hii Atlanta.
Dukuduku la nini?Sasa huoni kwamba hao watu wanaandamana kwa amani kutoa dukuduku lao?
Hali ingekuwa mbaya kihivyo unadhani hao watu wangepata hata hiyo fursa ya kuandamana na kurudi makwao salama?
Halafu waandamanaji wala siyo weusi tu....uthibitisho kwamba idadi kubwa ya walio wengi, licha ya rangi zao za ngozi, wanakataa matendo ya polisi wachache walio waovu.
Dukuduku la nini?
Wewe ndiyo umesema neno dukuduku unatakiwa utufahamishe hilo dukuduku la nini?Waulize wanaoandamana.
Wewe ndiyo umesema neno dukuduku unatakiwa utufahamishe hilo dukuduku la nini?
Umetumia akili kubwa sana mdau hadi kuongea hilo jambo,"DUNIA KAMWE HAITOTULIA MPAKA TUPATE ADUI KUTOKA NJE YA DUNIA"