1) Watu wanauliwa, wewe unasema habari sio mbaya! una akili wewe?Kama Marekani hali ni mbaya huko Baghdad utapaelezeaje?
Lakini huyo aliyehojiwa amesema kuwa hali ni mbaya hapo palipotokea mauaji.........
Na sio kwenye majimbo yote....
Vile vile tumetofautiana jinsi ya kuyachukulia mambo....jambo linaweza kwako kuwa kero lakini kwa mwenzako ikawa ni kawaida......
Kwa mfano huyo aliyehojiwa anaonekana kukerwa na vitendo vya polisi kuwasimamisha watu weusi kila mara......ilhali kwa watu wengine inaweza kuonekana kuwa ni kawaida kwa kuwa ni jambo ambalo limeshazoeleka miongoni mwao.......
USA Baby... Hahahahhaha
Hahahahaha!! Msikilize Rais wa Marekani.Vi clip vya YouTube havithibitishi chochote.
Kwanza hali ni nzuri kiasi cha watu kuweza kutimiza haki zao za kikatiba na kuandamana na kutoa madukuduku yao.
Hali ingekuwa mbaya unadhani nani angeweza hata kuandamana?
Ushaona watu wakiandamana Syria au Kabul huko?
Hizi ni dalili za kukosa hoja, hii mada inahusu Marekani sio Pakistan.Eti Marekani hali ni mbaya....hahahaaaa mnacheza nyie. Oneni huko Pakistan wanavyouana kwa mafungu.
1) Watu wanauliwa, wewe unasema habari sio mbaya! una akili wewe?
2) Mie sikupinga kwamba huko Iraq kuna vita na hali ni mbaya (vita hii imeanzishwa na USA pia).
3) Naona unatoka nje ya mada!
Hahahahaha!! Msikilize Rais wa Marekani.
Sio kufitinishwa tu, wazungu wametumia majeshi yao kabisa kuifuruga Iraq, Libya na sasa Syria...Sipingi mkuu
ila inaonekana watu wengi hawajitambui huko kwenu sababu mojawapo ni hii ..... kwa nini mfitinishwe na mzungu? mpaka mfikie hatua ya kuuwana ovyo katika kiwango cha kusikitisha namna hii
Mimi siwezi nikagombanishwa na ndugu yangu kisa mtu fulani
Natakiwa nifikiri mwenyewe kwa akili zangu
Hizi ni dalili za kukosa hoja, hii mada inahusu Marekani sio Pakistan.
Ama kweli wewe mbumbumbu kweli kweli, eti unadhania Marekani haiwezekani kutokea fujo.
Inaonyesha haujui Historia ya civil wars in USA.
Kuna time fulani in USA History Wanegro walikuwa wakichinjwa kama kuku.
Hahahaha! Au atasema mwanangu aliwachokoza polisi wa kizungu hali siyo mbaya tutamzika kesho.Wewe hata akiuliwa mtoto wamo utasema hali sio mbaya.
Vita ni vita tu, hata wakifa watu kidogo (this is just the beginning, utaona mengi, wewe ngojea tu).Ni watu wangapi wameuawa hapo palipotokea mauaji tokea huyo mtu auwawe?
Sasa kama siyo kwenye majimbo yote hizi habari za kwamba Marekani sasa hivi hali ni mbaya zinatoka wapi?
Yaani vifo vya watu wawili ndo vifanye hali kuwa mbaya nchi nzima?
Kwendeni zenu huko.
Tofauti za kimtazamo zisitumike kupotosha mambo.
Ni kawaida ya binadamu kulalamika hata pasipo na sababu. Ona Waislamu wa Tanzania wanavyolialia kuonewa kila siku.
Nani anayewaonea?