KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,880
- 40,040
Uongo mtupu!
Hali wala siyo mbaya kama mnavyodanganywa.
Msitake kufanya vifo vya watu wawili na polisi watano kuwa ndo gharika kwenye nchi yenye majimbo 50 na idadi ya watu zaidi ya milioni 300.
Acheni masikhara na acheni kudanganyika kama majuhha msio na ubongo!
Sasa mkuu anayedanya ni nani...ni wewe au huyo aliyehojiwa.....!!!??