Wamarekani wanatembea na silaha

Wamarekani wanatembea na silaha

images-10.jpeg


USA Baby...
 
This is grossly overstated!

Hali siyo mbaya kabisa na siyo mbaya kama mnavyodhani.

Kwanza sidhani kama wengi wenu mpo Marekani achilia mbali kufika.
Karibu kila mtu Marekani anabeba silaha! Za nini? Na Obama kujaribu kutoa hoja ya kurekebisha sheria ya silaha ili hali itulie wewe unasema ni swari, sikuelewi. Kwa hiyo taarifa sio za kweli!
 
Karibu kila mtu Marekani anabeba silaha!

Uliwakagua watu wote zaidi ya milioni 300 hadi useme 'karibu kila mtu Marekani anabeba silaha'?


Kamwulize Anathe Msuya au Ulimboka silaha ni za nini.

Na Obama kujaribu kutoa hoja ya kurekebisha sheria ya silaha ili hali itulie wewe unasema ni swari, sikuelewi. Kwa hiyo taarifa sio za kweli!

Marekani hali siyo mbaya. Matukio machache ya hapa na pale hayafanyi hali ya Marekani kuwa mbaya.

Hali ni nzuri kabisa ukiacha matatizo ya hapa na pale ambayo ni ya kawaida tu kwa sababu hakuna jamii iliyo timilifu.

Hata huko mavumbini watu wanachinjwa kama kuku...kwa nini hamrekebishi sheria za kumiliki visu na mapanga?
 
Ratio ya population ya mzungu kwa mwafrica ikoje hapa?

Sijui kwa sababu siangaliagi rangi ya ngozi ya mtu.

Nikiona mtu basi naona mtu kwanza na siyo ana rangi gani.

Nyie mnaowaza waza nani ana rangi gani ndo wabaguzi wakubwa.

Halafu ulivyo juhha...wewe unawaza Wazungu na Waafrika tu....hujui dunia hii kuna zaidi ya hao?

Kuna Wahindi...Walatino....Waarabu...Wasamoa....Wachina...watu walochanganya damu....

We umekamia wazungu tu....GTFOH.
 
Wewe umetajilika angalia hii ya karne ya 21.



Tukio moja au mawili hayaifanyi nchi nzima kuwa mbaya na kuwa sijui imechafuka.

Huo ni uzushi wenu tu.

Marekani siyo Somalia wala Syria.
 
Wee mbeba box huwezi kaa hii neighborhood labda unaendesha school bus so ukipita unapiga piga picha na kisimu chako

We mchuma machungwa leo uko off ndo unakuja kunya kunya humu kama bata bukini....get the eff outta here.
 
Huyo kichaa alikuwa anawatishia polisi na kisu.

Yaani umeishiwa kabisa hadi unaleta video za wahalifu katika jitihada zako za kuonyesha eti Marekani hali ni mbaya sana.
Kwa hiyo kama kichaa kashika kisu ruksa kumpiga risasi?

Wala mie sina jitihada zozote haya matukio mbona yapo wazi tu.
 
Kwa hiyo kama kichaa kashika kisu ruksa kumpiga risasi?

Wala mie sina jitihada zozote haya matukio mbona yapo wazi tu.

Unatakiwa kutii amri za polisi. We unaambiwa tupa kisu halafu wewe unazidi kuwatishia unategemea nini?

Utatandikwa risasi tu. We unadhani polisi hawataki kurudi wakiwa wazima majumbani mwao?

Ona polisi wenu wala vumbi wanavyonyanyasa wananchi.

 
Unatakiwa kutii amri za polisi. We unaambia tupa kisu halafu wewe unazidi kuwatishia unategemea nini?

Utatandikwa risasi tu. We unadhani polisi hawataki kurudi wakiwa wazima majumbani mwao?

Ona polisi wenu wala vumbi wanavyonyanyasa wananchi.


Na huyu kakataa kutii sheria au?

 
Back
Top Bottom