Waliokuwa wafanyakazi New Habari waitaka Serikali imshinikize Rostam Aziz awalipe madai yao. Kuandamana nyumbani kwa Rostam na Bashe

Ilikua kampuni kubwa sana nini?, Rostam kainunua toka kwa ulinwengu, haizidi hata miaka kumi nyuma,,, leo inadaiwa bilioni 3tena za mafao,, kwa wafanyakazi 200 tu,,
Mbona hesabu hazikai sawa?

Hapa ndipo Ulimwengu alipotajwa kuwa hiyo kampuni ilikuwa yake na ndiye aliyemuuzia Rostam Aziz!! Ndio sababu ya kuulizia kama kulikuwa na malimbikizo ya hizo stahili!!
 
Halafu huyu Rostam ndo kapata asilimia nyingi Williamson Diamonds Mwadui. Yaani nawaonea huruma wafanyakazi. Mafisadi makubwa haya Rostam na huyu msomali Bashe.
Na bado inasemekana hata huko North mara kupitia kampuni ya Caspian maana inasemekana kuna mkono wako pia amepewa tenda ya kufanya uchimbaji kwenye pit ya rama kazi wanayo hao staff wake
 
Hivi wandishi wa habari ni vilaza kiasi hiki?
Hawajui hatua za kufanya?
Shauri hili lafaa kupelekwa wizara ya kazi na wawe na mwanasheria.
Wewe ndo kilaza, akili yako inafikiri wafanyakazi wote kwenye makampuni na mashirika ya habari ni waandishi wa habari?
Kuna wahudumu Hadi ma engineer wa mitambo pale.
 
Hahah...kuna bango moja hapo lina kibonzo kinafurahisha, eti "Rosti Tamu" 😁😁
 
Acha kuchanganya mada. Ulimwengu anamiliki kampuni inayotengeneza Raia Mwema. Hajawahi kuwa mmiliki wa Habari House.
Habari corporation iliwahi kumilikiwa na wakina Ulimwengu, Rweyamamu etc ikiwa na magazeti ya Rai na mengineyo baadae ndipo akamuuzia Rostam na kipindi hicho Rostam ana bifu na R. Mengi mbaya kabisa wakiitana Fisadi papa vs Fisadi nyangumi Nilidhani alinunua hivyo vyombo ili apambane na Mengi aliyekuwa akitumia vyombo vyake vya habari kumpa madongo
 
Halafu huyu Rostam ndo kapata asilimia nyingi Williamson Diamonds Mwadui. Yaani nawaonea huruma wafanyakazi. Mafisadi makubwa haya Rostam na huyu msomali Bashe.
Na awamu ya 5 alionekana bonge la mzalendo!! Mbele ya shujaa wao wa Afrika
 
Ah sawa sawa nishakumbuka ni kweli enzi za Rai. Zama za Mkapa.
 
ROSTAM AZIZ AKUBALI YAISHE

πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Habari za jioni Wapambanaji.
Nichukue fursa hii kuwashukuru wote waliofanikisha tukio letu la Press Confernce juzi.

Tunamshkuru Mungu Press imekuwa na positive impact kila mahali na hata wanaojifanya kujitetea hawana hoja.

Muhimu na kubwa tumefanya kikao na Rostam Aziz amekubali kutulipa mafao yetu mara moja. Amekubali kutukabidhi kesho cheque 2 ambazo1. NSSF & PSSSF (tumeziona na kuverfy benk).

Atuma mwakilishi kuwasilisha cheque hizo mbele ya waandish wa habari leo Jumamosi saa 4:00 asubuhi Landmark Hotel. Tumepzipokea na sasa tutaziwasilisha kwa wahusika
 
Haya maumivu muda si mrefu yatahamia kwa iliyokuwa Tigo/Zantel, wafanyabisahara wetu hawa matycoon wanaishi kiujanja ujanja sana hasa kwenye hizi banana republic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…