Waliobadilisha Maisha yangu....

Waliobadilisha Maisha yangu....

Ndio ujifunze mkeo sio wa ajabu kihivyoo. Unahitaji kujua udhaifu wa mwenzio na kum-complete. Pale ulipo dhaifu yeye anasimama kwa ajili yako na kukufanya uonekane mwanaume wa maana. You should do the same. Ukiwa negative hata jf tu itakuchosha.
Natamani siku ambayo wana JF tutakusanyika mahali na kila mmoja akajitambulisha kwa jina lake analolitumia humu. Mimi nafurahia ushauri wa watu wengi wanaoutoa humu ila nimejifunza kwamba kumbe wanawake aina ya mke wangu wako wengi, mmojawapo NIVEA!
 
I am complete, do I need any one to complete me?

Jamani mateka yuko wapi?

Ndio ujifunze mkeo sio wa ajabu kihivyoo. Unahitaji kujua udhaifu wa mwenzio na kum-complete. Pale ulipo dhaifu yeye anasimama kwa ajili yako na kukufanya uonekane mwanaume wa maana. You should do the same. Ukiwa negative hata jf tu itakuchosha.
 
Niko huku mambo kijijini nachukua makabichi. Ukianza kupanda nistue nije tukutane mjini basi.

Poa mamito King'asti.
BTW hiko kijiji kiko wapi wamito,maana mie naenda Malindi-Lushoto-Tanga
 
Last edited by a moderator:
dah, ina maana na mimi sijatoa ishu za maana humu jf? nipendeleeni na mimi jamani...lol....ila kiukweli nawakubali wafuatao: kongosho, lara1, kaunga, mzizimkavu, boflo kwa vituko vyake, mtambuzi,gfsonwin,to mention a few kwani wengi mmenisaidia sana kuwa na msimamo fulani ktk maisha haya. asanteni sana na mbarikiwe sana Inshaallah!
 
Zina mvuto sana

Ndio maana mwanzoni nimeshukuru wale naotofautiana nao mitazamo, ujue kama hushangazwi jua hujifunzi usiyoyajua kabisa

Ukisoma mada ikakuacha mdomo wazi, mara nyingi huwa ni kitu kipya kabisa ama usichoamini kabisa
Hivyo vyote vinanifungua macho ya dunia nisiyoifahamu, wiyelele included

Hapa imenibidi nimwingize Wiyelele jamani
 
Najua MODS wanaweza kudhani hii ni Chit Chat..lakini naomba wasiipeleke huko kabisa kwa sababu hii ni KWELI kabisa...na members wenzangu nilikuwa naomba kwa moyo wa Kitanzania kila mtu atambue watu wake sita ambao kupitia THREADS au POSTS zao WAMEBADILISHA au WAMEONGEZA KITU katika ufahamu wake wa jinsi ya kukabiliana na MAHUSIANO au URAFIKI in 2012... Binafsi nashukuru baadhi ya watu kupitia PM au hapa Jamvini wamekiri kuridhishwa na SHAURI zangu....LAKINI mganga HAJIGANGI na mimi pia ninao watu sita ambao KIUKWELI wamenisaidia sana KUIMARISHA NDOA yangu...OMBI langu kupitia HUU UZI naomba kila mmoja awatambue watu wake SITA ambao KUPITIA SHAURI/POSTS/THREADS zao basi basi mambo yao yamebadilishwa na kama sio kuboreshwa kabisa....Wa kwangu Mie ni hawa:

1 Mtambuzi
2 gfsonwin
3 snowhite
4. The Boss
5. Dark City
6. Father of All

N:B Naomba tuwe Serious Jamani ili tuwaenzi wale waliotusaida..hii itasaidia watu kutoa mawaidha na kuacha utoto..


Mtambuzi... nampa salute zangu na nyota 3
 
Jamani natangaza wazi,namkumbuka sana Husninyo ,dah na huyo aliemkwaza sijui tu.

Pia dada yangu Cantalisia sijui yuko wapi Mwali nae mbaaaaaaya!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Ndio ujifunze mkeo sio wa ajabu kihivyoo. Unahitaji kujua udhaifu wa mwenzio na kum-complete. Pale ulipo dhaifu yeye anasimama kwa ajili yako na kukufanya uonekane mwanaume wa maana. You should do the same. Ukiwa negative hata jf tu itakuchosha.
A soul sister ameongea hapa!
 
Tatizo maujuz yameniishia niPM bac unipe dokezo!

Haya mamito.
Ila nipe kwanza nilitest ili hata nikikuelekeza nijue mapungufu aliyonayo na jinsi ya kukabiliana nayo.
Usininukuu vibaya best.
Lol
 
bila kumsahau snowhite...
dah, ina maana na mimi sijatoa ishu za maana humu jf? nipendeleeni na mimi jamani...lol....ila kiukweli nawakubali wafuatao: kongosho, lara1, kaunga, mzizimkavu, boflo kwa vituko vyake, mtambuzi,gfsonwin,to mention a few kwani wengi mmenisaidia sana kuwa na msimamo fulani ktk maisha haya. asanteni sana na mbarikiwe sana Inshaallah!
 
Back
Top Bottom