Waliobadilisha Maisha yangu....

Waliobadilisha Maisha yangu....

.... nawakubali watu wengi saanaaa MMU. MMU kwangu ni kila kitu as najifunza mengi, naburudika na nafahamiana na watu mbalimbali. Ki ujumla kuna watu wananivutia sana lol kwa comment zao, thread zao na namna wanavyojitoa kushauri au kuweka nyuzi zenye mafunzo. Na wakati mwingine kuweka nyuzi zisizo na mafunzo(kwa mtazamo wangu) au comment za jokes, kuchakachua n.k

1.wazee wote wa Mpango wa kando l.o.l - The Boss , Asprin na wengine
2. Ashadii
3. Roulette
4. Mzee Mtambuzi
5. Snowhite
6. Kongosho
7.TF - The Finest,
8 Rutashubanyuma ( mzee wa kutag)
9.Kingasti
10.Mwanajamii One
11. Faiza Fox (nammis sana.. na comment zake lol)
12. Nyani Ngabu
13.Lizzy
14.Afrodenzi
15.Husninyo
16.mamndenyi
17. Badili Tabia
18.Bujibuji
19. Preta
18. kaunga ......daaaa ni wengi sana aaaaaa na mimi ni mvivu kuandika. FEW TO MENTION but manyyyyyyyyyyyyyyyy
 
Michango ya kila JF member hunifikirisha sana - hata iwe issue ndogo vipi.Nawatambueni nyote kwa ujumla wenu.

Hata hivyo sina budi kutambua kwa namna ya pekee wafuatao:
AshaDii, Roulette, Mwanajamii1, - Hawa ni zaidi ya JF contributors maana ni marafiki wa "karibu" wanaoifanya JF kwangu iwe a real world.

Kuna kundi jingine - Mbu, Mwanafalsafa, Faiza Foxy,Zitto, Invisible, Kiranga,Mtambuzi, Mzee Mwanakijiji, Superman,BAK, Masanilo,FMES,- siwezi kuona michango yao ikanipita bila kuisoma kwa maana kuna "cha ziada" ikimaanisha breaking news, analysis ya undani zaidi, mawaidha, nk.

Kuna akina Pretty, The Boss, King'asti,Belinda Jacobs,Haika,Allien, Gaijin, Kaunga, nk.hawa nao hunivutia maana michango yao hufanya msomaji ajisikie furaha na kuburudika
 
Mkuu natoka kidogo nitarudi, ninao wengi sana. Nitakupa saba na sifa zao bila upendeleo.
Najua MODS wanaweza kudhani hii ni Chit Chat..lakini naomba wasiipeleke huko kabisa kwa sababu hii ni KWELI kabisa...na members wenzangu nilikuwa naomba kwa moyo wa Kitanzania kila mtu atambue watu wake sita ambao kupitia THREADS au POSTS zao WAMEBADILISHA au WAMEONGEZA KITU katika ufahamu wake wa jinsi ya kukabiliana na MAHUSIANO au URAFIKI in 2012... Binafsi nashukuru baadhi ya watu kupitia PM au hapa Jamvini wamekiri kuridhishwa na SHAURI zangu....LAKINI mganga HAJIGANGI na mimi pia ninao watu sita ambao KIUKWELI wamenisaidia sana KUIMARISHA NDOA yangu...OMBI langu kupitia HUU UZI naomba kila mmoja awatambue watu wake SITA ambao KUPITIA SHAURI/POSTS/THREADS zao basi basi mambo yao yamebadilishwa na kama sio kuboreshwa kabisa....Wa kwangu Mie ni hawa:

1 Mtambuzi
2 gfsonwin
3 snowhite
4. The Boss
5. Dark City
6. Father of All

N:B Naomba tuwe Serious Jamani ili tuwaenzi wale waliotusaida..hii itasaidia watu kutoa mawaidha na kuacha utoto..
 
neggirl asante sana kwa kuniona, I 'like' you.

.... nawakubali watu wengi saanaaa MMU. MMU kwangu ni kila kitu as najifunza mengi, naburudika na nafahamiana na watu mbalimbali. Ki ujumla kuna watu wananivutia sana lol kwa comment zao, thread zao na namna wanavyojitoa kushauri au kuweka nyuzi zenye mafunzo. Na wakati mwingine kuweka nyuzi zisizo na mafunzo(kwa mtazamo wangu) au comment za jokes, kuchakachua n.k

1.wazee wote wa Mpango wa kando l.o.l - The Boss , Asprin na wengine
2. Ashadii
3. Roulette
4. Mzee Mtambuzi
5. Snowhite
6. Kongosho
7.TF - The Finest,
8 Rutashubanyuma ( mzee wa kutag)
9.Kingasti
10.Mwanajamii One
11. Faiza Fox (nammis sana.. na comment zake lol)
12. Nyani Ngabu
13.Lizzy
14.Afrodenzi
15.Husninyo
16.mamndenyi
17. Badili Tabia
18. kaunga ......daaaa ni wengi sana aaaaaa na mimi ni mvivu kuandika. FEW TO MENTION but manyyyyyyyyyyyyyyyy
 
Last edited by a moderator:
Big up all waliotoa mchango na ushauri wao hadi kuwa ukombozi kwa watu wengi,
i real proud of seeing you guys in JF,
keep it so strong to hep and touch others lives!
ahsanteni.
 
Mimi natambua sana mchango wa Dena Amsi na wengine wengi walivonipa pole baada ya kufiwa na mchumba wangu tarehe 18/01/2011! Kwa hakika naishi kwa ushauri wa Dena Amsi hasa aliposema lazima nikae atleast two years bila relation ndo nitakuwa na amani. Nimefata ushauri wake (alini pm) and now miaka miwili inakaribia kuisha na naona nimepiga hatua kubwa, na kwa kutoanzisha relation mapema wakati akili haijasettle nimepunguza idadi ya watu ambao wangekuja kufungua thread za kutendwa. Thanks Dena Amsi and be blessed.

DA like this post kwa sana pamoja sana (Jibu Simu basi na wewe kha?!!)
 
Nilikuwa sijuia kama wewe ni FATAKI hakiyashangazi vile kha??!!!! Ole nikukamate na mwanangu utanitambua ha ha ha hujambo lakini???

Hebu nitajie jina la mwanao kabisa ili ikibidi nijisalimishe mapemaa....

Sijambo kabisa mpaka sasa nipo poa tu!!
 
9465.gif



Jamani Mam, mbona unaonekana mda wote tu.....

Tunaokuona wote tunakujali sana japo wengine tumekuwa wavivu sana
 
Ngoja niandae bakora yaani kumbe wamjua vyema?? Mmmmhhh

Hata hivyo inaonekana ulikuwa unajua ndio maana umemficha, maana kapotea kitambo sana......

Umemuweka wapi Susy wewe?

Sio vizuri kumchunga binti kiasi hicho bana!
 
Last edited by a moderator:
Kwangu Asha Dii comes first wengine mnasubiri tu haah haah kifupi Adii ananifunza meengi sana hapa jamvini heshima kwako mamdogo Allah akujalie.

Vile vile mariapia huyu ni kwakua namjua zaidi ya Jf so hata siku nikifa huyu ndio atakaye wajulisha kuwa Mpatanishi kasepa.

Zaidi ya yote wafuatao siwasahau
lizzy
kipipi
mwanajamii
gaijin
Mwanakijiji
Maria roza
Huninyo aka Binti wa kule Mpwapwa
The Boss
Saint ivuga
Masanilo
kiranga a.k.a atheist
kongosho
na wengineo weeengi

Nitapata nuksi kama sitawakumbuka wataalam wa jukwaa la kikubwa teh teh teh
Funza dume,
Kimbweka
salute kwenu wakuu mavitu yetu ya jukwaa lile dah yananiacha hoi

Pongez kwenu wote hata ambao sikuwataja naendelea kujifunza kutoka kwenu. Mungu awajalie long live Jf
 
Back
Top Bottom