Waliobadilisha Maisha yangu....

Waliobadilisha Maisha yangu....

Thanx for appreciation ladyfurahia

Jamani hata mie wapo walionitoa sehemu moja na kwenda sehemu ingine kwa ushauri wao wa kimisingi kabisa na wameweza kunifanya nionekana mtu mbele za watu, vilevile wamenishauri sana kuhusu kitabu changu ambacho kitatoka hivi karibuni kinashusu Jicho nilivyoomba ushauri kwao waliweza kunishauri namna ya kufanya na nikapata mwangaza katika macho yangu si weingine bali ni Maxence melo, Mike Mickee, Rutta, MAMMAMIA, Ana thomas, Mute, na wengineo wengi asante kwa ushauri wenu na support yenu mmenitoa mbali
 
Pamoja sana

Amina.
Ruttashobolwa thanx a lot kwa kutambua umuhimu na Mchango wangu kwako.
Pia vile vile nakushukuru kwa kufurahishwa na Majukwaa yenye kukuletea mabadiliko.
Asante Mkuu,
Tuko Pamoja.
 
Last edited by a moderator:
I am speechless buddy...but you have been inspiring me when commenting on some issues...

nampenda sana Kiranga,post yake ya mimi ni atheist,siamini Mungu ili reshape sana my way of thing.
1.Kiranga
2.Nyani ngabu
3.Snowhite
4.Mtambuzi
5.Kongosho
6.Stide
 
Last edited by a moderator:
Kwanza kabisa mnisamehe kwa list ndeefu, for kwa kweli nawasiliana na wengi na wengi wanigusa.

Kuna watu ambao ni mchanganyiko… Siwasiliani nao mara kwa mara, but hao watu acknowledgement na heshima kati yetu ipo hapo; iwe tukiwasiliana jamvini, kwa kupigiana simu, kwa consulting hapa na palem - iwe kwa pm ama namna yoyote ile...

Arushaone, Ritz, mohamed Shossi , zumbemkuu, mohamed Mtoi, Matola, zumbemkuu, Taz, daughter, consingliere, mitishamba, Apollo, Bishop Hiluka, Okya, Young Master, Purple, kilimasera, Ab-Titchaz, Meezy, Askari Kanzu, SMU vivian, charminglady, AMINATA 9, JAMmif Mkuu wa chuo, Tuko, bacha, director1, @C6, Mrembo by Nature, Twande, Maganga Mkweli, Leonard Robert, Raia Fulani, Lokissa, Golden Mpoleeee, Bujibuji, Memo neggirl, Gaijin, Erickb52, Yummy, Nazjaz, Madame B, MadameX, MKATA KIU, moto2012, MZIMU, Nicas Mtei, Zinduna, sakapal, Katavi, Boflo, JB WISER, Globu, SALOK, Albina, bucho, njiwa, Ritz, kokuTUNA, Straddler, sun wu, BE IN U (Nipo so disappointed you never came back). Judgement, @Merrita, Ambitious, Mkirua, Mphamvu, paulss, Gezus, NDINDA, Paxman, Matola, Amyner, The Priest Mpatanishi e.t.c
Pamoja Saana with Love,

AshaDii.


P.S:- Ngabu
mbona unaniwekea kiwingu cha kuitwa genious?:becky: (Lol!

AshaDii, hakika nimekosa maneno ya kusema ili uelewew ni kiasi gani
nimejisikia raha sana moyoni. Anyway, Thanks a lot...
 
CCM inaingia kwenye rekodi ya Guiness book kama chama kilichokaa madarakani kwa miaka mingi
Uzushi mwingine hauna hata mpango, na hawa jee, utawaweka wapi? Republican Party. It is, along with Britain's Conservative Party, one of the two oldest political parties in the world.
Sycophants! the above response can only come from a typical case!...tuna vita ngumu mbele yetu. Naendelea kujifunza mengi JF.
 
oooh, asante kwa kutambua uwepo wangu.

Tuko pamoja sana kibol

nampenda sana Kiranga,post yake ya mimi ni atheist,siamini Mungu ili reshape sana my way of thing.
1.Kiranga
2.Nyani ngabu
3.Snowhite
4.Mtambuzi
5.Kongosho
6.Stide
 
Last edited by a moderator:
Mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah AshaDii, nikiona username yako napata picha ya binti mwenye IQ kubwa sana na kujishusha kwa hali ya juu, i wish cku moja nije nikuone liveeeee bila chenga, basi twendage Tanga kwenye ile trip ya xmass ya watu wa arachuga
 
Last edited by a moderator:
Dada mkubwa Mamndenyi usiwe na shaka na Kongosho anataka kunitisha tu ili nikose vinono toka kwako.
Mimi ndo hivyo tena nimeshatangaza nia labda kama bado una mashaka kidogo kwamba Konnie atakuzidi speed hapo nitakuelewa. lol

Kunizidi ndo hana maujanja. Tena utakuwa mshauri wangu mkuu wa mambo ya biashara hapa najua hata Konnie atakubali tu.
 
Last edited by a moderator:
haya woooteeeeeeee pokeeni makofi matatu ya mazito nayo ni pwaaaaaaaa pwaaaaaaaaaaa pwaaaaaaaaaaaaaaa! Mungu awajalie kila la kheri.
 
ritz, njiwa, barubaru, mzee mwanakijiji n.k hawa nawapa salute pia kuna watu ambao wamenipeleka negative mfano nitonye, na yule mwenye avatar ya steve wamenifanya niwachukie wakristo sana
 
Aisee... My JF experience has changed mtazamo wangu wa TZ and TZ is part of my life. Nawashukuru members wote tu kwa ujumla, na zaidi my JF friends, and Friends I met though JF (mind †ђξ difference)

FYI ,

... Your meaningful post was acknowledged with much appreciation!! and your alter AshaDii should know I did this whole heartedly!! ... cause even God knows ... that you have very close resembling conscience strength, with a slight different intellect vibes ...!! so lovely!!!! Lol ..knowing both of you!! ...!!!
 
Last edited by a moderator:
Mimi natambua sana mchango wa Dena Amsi na wengine wengi walivonipa pole baada ya kufiwa na mchumba wangu tarehe 18/01/2011! Kwa hakika naishi kwa ushauri wa Dena Amsi hasa aliposema lazima nikae atleast two years bila relation ndo nitakuwa na amani. Nimefata ushauri wake (alini pm) and now miaka miwili inakaribia kuisha na naona nimepiga hatua kubwa, na kwa kutoanzisha relation mapema wakati akili haijasettle nimepunguza idadi ya watu ambao wangekuja kufungua thread za kutendwa. Thanks Dena Amsi and be blessed.
 
Much appreciation AshaDii for this. Nimefurahi sana na ninaendelea kufurahia maisha ndani ya JF kutokana na ushauri wako. You are Great AshaDii!
 
Last edited by a moderator:
una watu ambao ni mchanganyiko… Siwasiliani nao mara kwa mara, but hao watu acknowledgement na heshima kati yetu ipo hapo; iwe tukiwasiliana jamvini, kwa kupigiana simu, kwa consulting hapa na palem - iwe kwa pm ama namna yoyote ile...

Arushaone, Ritz, mohamed Shossi , zumbemkuu, mohamed Mtoi, Matola, zumbemkuu, Taz, daughter, consingliere, mitishamba, Apollo, Bishop Hiluka, Okya, Young Master, Purple, kilimasera, Ab-Titchaz, Meezy, Askari Kanzu, SMU vivian, charminglady, AMINATA 9, JAMmif Mkuu wa chuo, Tuko, bacha, director1, @C6, Mrembo by Nature, Twande, Maganga Mkweli, Leonard Robert, Raia Fulani, Lokissa, Golden Mpoleeee, Bujibuji, Memo neggirl, Gaijin, Erickb52, Yummy, Nazjaz, Madame B, MadameX, MKATA KIU, moto2012, MZIMU, Nicas Mtei, Zinduna, sakapal, Katavi, Boflo, JB WISER, Globu, SALOK, Albina, bucho, njiwa, Ritz, kokuTUNA, Straddler, sun wu, BE IN U (Nipo so disappointed you never came back). Judgement, @Merrita, Ambitious, Mkirua, Mphamvu, paulss, Gezus, NDINDA, Paxman, Matola, Amyner, The Priest Mpatanishi e.t.c


thanx May GOD BLESS U mama
 
Back
Top Bottom