Waliobadilisha Maisha yangu....

Waliobadilisha Maisha yangu....

Asante kwa kututia moyo ambao bado tunahanja hanja na maisha na ambao labda tunashindwa kutambua fursa zinazoweza patikana jf

Wengi watakuja na confession kama hizi labda

Asante kwa kutambua uwepo wangu


theboss, @RR, Mtambuzi, AshaDii, Kongosho, Arushaone, Bishanga, Boflo, mia, @Ruhazwe (my son), Asprin, Erickb52, Katavi, zomba, charminglady, @nugu mamaya, Mwanakijiji, Ruttashobolwa, BadiliTabia, gfsonwin, @Mkiruwa, Mkuu rombo, Baba V, Dena Amsi (Mjukuu), @Saint Ivuga, @Superman (Asante kwa 'like'), Cantalisia, Pdidy na wengine wengi nawapenda sana.

Nimeandika hivi ili wengi wajue kuwa jf siyo mahali pa kupoteza muda bali ni zaidi ya darasa la mafanikio.




 
Ngoja nikaitafute hii sred, imenitamanisha kuona walikukimbizaje na mapanga

As if hukuwepo Kongosho wakati wewe ndo ulikuwa na rato lile la uchagani kabisa kuhakikisha hakuna gugu la maumivu ya mapenzi linalobakia ndani yangu. Nakushukuru sana dada yangu nimejifunza mengi sana toka kwako.
 
Last edited by a moderator:
Kwanza kabisa mnisamehe kwa list ndeefu, for kwa kweli nawasiliana na wengi na wengi wanigusa.

SnowBall (ujue nilikuwa nikikuchanganya sana na snowhite) Kama kawa siwezagi kuandika post fupi… Lol! Wanaonifaham nadhani wameshazoea hali hii… Hii imekuja wakati muafaka, tukiwa tunafunga mwaka. Much appreciation to you.

Kwa wale woote walio ni acknowledge na wanao ni kubali bila hata wao kuweza niorodhesha humu… Nasema "I am really humbled" na Pamoja sana with Love.

Inaweza ikawa kama mzaha, ila kwangu ukweli ni kuwa nina members zaidi ya 100 ambao na acknowledge kunigusa kwa namna moja ama nyingine. Nikiri kuwa Kuna wale ambao wamenibadilisha maisha yangu directly or indirectly. Ni wazi kuwa watu watofautiana katika ‘impact' na intensity ya ubadilisho huo. Ila ukweli unabadiki kuwa ni members wengi mno ambao wananigusa JF.

Na naamini bado kuna members nimesahau kikubwa niya yangu ya acknowledgement in heartfelt. Na namshukuru Mungu kwa kunijaalia kumbu kumbu, kila mmoja ya nilie mtaja naweza kabisa kumbuka ni kwa namna gani alini/anani impress na ni lini ilikuwa mara ya kwanza na kwa nini namkubali; from the simple reason kuwa na appreciate uwepo wa wote wale ambao twakutana hapa jamvini. Na sababu jamvi ni kubwa… Hata list ni kubwa pia.

Mimi penda hii post sana AshaDii love you sana
 
Asante kwa kututia moyo ambao bado tunahanja hanja na maisha na ambao labda tunashindwa kutambua fursa zinazoweza patikana jf

Wengi watakuja na confession kama hizi labda

Asante kwa kutambua uwepo wangu

Sasa mbona jana hukuja kubadilisha maisha yangu? Ombi lako lilishughulikiwa.
 
Asante sana kwa kutambua uwepo wangu Tata
Kuonyesha kuwa natambua uwepo wako, nimeandaa kirunguri na kichuri leo, na baada ya kula tutacheza ritungu kidogo

Tohanchane Mwita

Oghambele bhuya mamokolo Kongosho. Nenkohanchere ghoko!!
 
Last edited by a moderator:
Kongosho, nakupenda kwa kuwa tunakosana then tunafikia muafaka, Bishanga kweli kafilisika hata nyayo zake hazionekani tena, chezea secretary wewe.

Asante kwa kututia moyo ambao bado tunahanja hanja na maisha na ambao labda tunashindwa kutambua fursa zinazoweza patikana jf

Wengi watakuja na confession kama hizi labda

Asante kwa kutambua uwepo wangu
 
Last edited by a moderator:
I'm humbled (source AshaDii) for your appreciation.
Kwakweli sikuwa natambua kwamba ninaweza kuwa na mchango mkubwa katika maisha yako, ubarikiwe sana mamito.

Kusema kweli hapa JF watu ni wengi sana waliochangia mimi kuwa hapa nilipo leo na kuwa hivi nilivyo leo kwa namna moja ama nyingine.
Kwakuwa siwezi kuwataja wote lakini kwakweli niwataje wachache kama Mtambuzi, Zion Daughter, WiseLady, Asprin & Filipo (hawa tumetoka nao mbali sana!!), Preta, PakaJimmy, zumbemkuu, Mungi, LiverpoolFC, Mzee wa Rula na Dark City.

Lakini pia kuna watu ambao sijawahi kuonana nao lakini nimekuwa nikiwasiliana nao mara kwa mara aidha kwa simu ama kwa PM hapa JF, nao pia wamechangia sana kunifikisha hapa nilipo kwani najifunza vitu vingi toka kwao; Nguruvi3, Mag3, Mkandara, Mchambuzi, Mtumishi Wetu, Mohamedi Mtoi, Thanda, AshaDii, Matola, Molemo, Michelle na Riwa.

Na mwisho kabisa ningeomba niwatambue marafiki wanaonifanya nilipende jukwaa la MMU na kulitembelea mara kwa mara tofuti na siku za mwanzo; Madame B, Kongosho, Ciello, gfsonwin, Kaizer, Kabakabana, The Finest, The Boss, lara 1, cacico, mwaJ, mdida, nivea, platozoom, snowhite, SnowBall, Boflo, King'asti na MziziMkavu.
mkuu naomba nikiri kuwa wewe ni kichwa,
mkuu umebarikiwa.. nilikuwa napigwa ban mara kwa mara nikiona comments za hawa jamaa zangu upande wa pili kwa mganga wa kienyeji, ila mmenibadilisha tabia yangu hapa JF, nafuata mwenendo wenu wa kujibu hoja thou siwezi kuwafikia. be blessed sana kamanda.
(mambo yamekuwa mengi mwisho huu wa mwaka but hope tutakutana w/end moja kabla mwezi huu haujaisha.)
 
Heeee! we ndugu Mwita Maranya sijakusoma siku nyingi! By the way, hivi ule uchumba wetu kupitia kwa babu Asprin uliishia wapi? Maana sielewi kama babu alishanioza kwa mkurya au la!Lol!

Nipo mchumba. Kuna mtu alining'ata sikio kwamba tuko watatu kwenye waiting list bado unatufanyia utafiti kujua nani anakufaa kuwa mwenza wa maisha. Sasa nikaona nitulie kidogo kupisha utafiti. Kama ilikuwa ni kweli unijulishe ili nijue naanzia wapi.
Afu nimekumisije!? babu yako Asprin nae siku hizi hasomeki sijui amevurugwa na nani!?
 
Last edited by a moderator:
I'm humbled (source AshaDii) for your appreciation.
Kwakweli sikuwa natambua kwamba ninaweza kuwa na mchango mkubwa katika maisha yako, ubarikiwe sana mamito.

Kusema kweli hapa JF watu ni wengi sana waliochangia mimi kuwa hapa nilipo leo na kuwa hivi nilivyo leo kwa namna moja ama nyingine.
Kwakuwa siwezi kuwataja wote lakini kwakweli niwataje wachache kama Mtambuzi, Zion Daughter, WiseLady, Asprin & Filipo (hawa tumetoka nao mbali sana!!), Preta, PakaJimmy, zumbemkuu, Mungi, LiverpoolFC, Mzee wa Rula, Dena Amsi, Maxence Melo na Dark City.

Lakini pia kuna watu ambao sijawahi kuonana nao lakini nimekuwa nikiwasiliana nao mara kwa mara aidha kwa simu ama kwa PM hapa JF, nao pia wamechangia sana kunifikisha hapa nilipo kwani najifunza vitu vingi toka kwao; Nguruvi3, Mag3, Mkandara, Mchambuzi, Mtumishi Wetu, Mohamedi Mtoi, Thanda, AshaDii, Matola, Molemo, Michelle, carmel na Riwa.

Na mwisho kabisa ningeomba niwatambue marafiki wanaonifanya nilipende jukwaa la MMU na kulitembelea mara kwa mara tofuti na siku za mwanzo; Madame B, Kongosho, Ciello, gfsonwin, Kaizer, Kabakabana, The Finest, The Boss, lara 1, cacico, mwaJ, mdida, nivea, platozoom, snowhite, SnowBall, Boflo, King'asti, MwanajamiiOne na MziziMkavu.
thank u so much
 
Last edited by a moderator:
mkuu naomba nikiri kuwa wewe ni kichwa,
mkuu umebarikiwa.. nilikuwa napigwa ban mara kwa mara nikiona comments za hawa jamaa zangu upande wa pili kwa mganga wa kienyeji, ila mmenibadilisha tabia yangu hapa JF, nafuata mwenendo wenu wa kujibu hoja thou siwezi kuwafikia. be blessed sana kamanda.
(mambo yamekuwa mengi mwisho huu wa mwaka but hope tutakutana w/end moja kabla mwezi huu haujaisha.)

Pamoja sana mkuu. Katika maisha kujifunza ni jambo la kheri kwakuwa linakufanya ukue kila kukicha.
Mimi nimekuwepo hapa JF kwa zaidi ya miaka minne na robo lakini sijawahi kupigwa ban ama kupewa onyo hata mara moja. Nimekuwa nikijitahidi sana kuhimili vishindo hata kama ninashambuliwa kiasi gani, ninajibu mapigo kwa "step" vinginevyo wazee wa kazi hawakuachi.
 
Oghambele bhuya mamokolo Kongosho. Nenkohanchere ghoko!!

Hapa nahitaji gogo transileta, bado learner ujue?

Kongosho, nakupenda kwa kuwa tunakosana then tunafikia muafaka, Bishanga kweli kafilisika hata nyayo zake hazionekani tena, chezea secretary wewe.

He he he, yaani huyo The secretary kanikwibia zombie moja, atanitambua tu

Hivi tuna nini mimi na wewe? Pamoja na kukubadilishia maisha yako mpaka sasa sijaona ukinimenshen.

Ukifanya masihara ntakurudishia maisha yako ya zamani!

Mi nakasirikaga sana.

Ha ha ha, wazee huwa hawamenshiane hadharani
Wao wanamesheana vyumbani, hujastukia hilo?:glasses-nerdy:
 
Last edited by a moderator:
Asprin unanitafuta? Unataka Da Kongosho aniondolee upako wake alionipatia hapa MMU?
Mie kunguru mwoga bwana nakimbiza bawa langu mie!

Kuna wa kutafuta lakini si wewe. Nikikutaka si nakupigia mluzi tu unakuja mwenyewe? Ila nisipokuwa makini huchelewi kunigomea manake siku hizi umekuwa mkaidi kama mke wa Mwai Kibaki.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mwita Maranya thanks sana mkuu...sikujua kama ninaweza pia kuku-inspire..si unajua nyie wanasiasa bana....

Hahahaha... hata wanasiasa wana social life bana.
Mkuu unajua kwangu mimi MMU ni "stress free forum"
Nikiona nimekunywa sumu za kutosha kule kwenye siasa huwa nahamia ama kuchungulia MMU kuona kuna nini ili kupunguza ama kuondoa kabisa maumivu. Kwahiyo mkituona huku muwe mnatupokea kwa mikono miwili ili kwa pamoja tushauriane namna ya kujenga na familia zetu baada ya kujenga nchi.
 
Back
Top Bottom