Waliobadilisha Maisha yangu....

Waliobadilisha Maisha yangu....

Paw
Hiyo signature yako mh!! Nadhani mlengwa amekupata vilivyo. Ungekuwa mzee wa MMU ningewezatengenezea hadithi hiyo signature but IT, mie huko ni giza kabisa. Zaidi ya kubofya key board (nayo si sehemu ya IT??) ni mweusi kabisa.
 
Kwangu mimi member wote JF hasa Mtambuzi wamenisaidia in one way or another kwa hoja na michanganuo mbalimbali hata kama baadhi ya post sikuzifurahia lakini nilizikubali, so nawakubali wote kwa umoja wenu, viva JF.
 
I demand the tittle to change Asap...uchumba gani huu mpaka sasa tunakuwa wazee.nataka UNIOE au kieleweke rasmi..
Copy kwa wake zako.. cacico Yummy na wenzao

He he he he, unadhani jogoo wa kienyeji anafugwa kama broiler??

Kuna vyeo vifuatavyo ambavyo ni vya kudumu na hakuna mwenye mamlaka ya kuvijadili
1. Mjukuu Mtiifu - MwanajamiiOne
2. Mjukuu Mteule - afrodenzi
3. Mjukuu Mwaminifu - Cantalisia.
4. Fellow Tablet - klorokwini
5. Dada mnoko - Nyamayao
6. Hommie - Kaizer
7. Shem wa ukwee AshaDii
8. Mchumba - Zion Daughter
9. Asali ya ODM Kongosho
:grouphug: Sina choyo nawahug wote hadi asprin mwenyewe
 
I cant let this thread pass:
wapo wenzangu hasa wa MMU tuliokua na ambao bado tupo karibu since April 2008 nilipokua MTM
wapo wale tuliojenga ujamaa zaidi ya JF na ni wengi zaidi ya 50, I am blessed
wapo tulioenda mbali zaidi na kusaidiana katika kazi, biashara na hata kwenye shida na raha... nimehjudhuria sherehe, misiba, vikao nk. vywa wana JF, majority wakiwa MMU
wapo tuliosaidiana kimawazo kwenye siasa, uchumi, investment n.k

Lakini pamoja na yote hayo, wapo ambao husimama kama outstanding and influential people in life ambao tumekutana JF... in a positive way and negative way!!! about 99% ni positive, ila wapo wachache, ambao kama kawaida kwenye jamii, walijaribu kutumia kujuana kwetu either kufanya character assassination, au hata kujaribu kupanda mbegu ya bad image kwa watu wengine, pengine kutokana na insecurity au kutokujua tu

ALL IN ALL, YUPO MEMBER NIMUONAYE KAMA LUCKY CHARM YANGU.... KILA TULIPOKUA TUKIKUTANA KUPATA STORY, BASI NILIPATA SOMETHING OF A SURPRISE IN MY LIFE, INCLUDING THE CURRENT JOB I AM HAVING

KUDOS MMU, KUDOS JF
 
IT = Individual Talent Source Kongosho

Lazima una talent ambayo wengine hatuna, kwa hiyo wewe ni kinara wa IT -Source Mimi mwenyewe

Paw
Hiyo signature yako mh!! Nadhani mlengwa amekupata vilivyo. Ungekuwa mzee wa MMU ningewezatengenezea hadithi hiyo signature but IT, mie huko ni giza kabisa. Zaidi ya kubofya key board (nayo si sehemu ya IT??) ni mweusi kabisa.
 

Ahsante sana Bro.

Nabarikiwa kwa namna ya pekee sana mara zote napata andiko lako,
Nakumbuka kuna bandiko uliliweka hapa kuhusu kisa cha jamaa aliyesaidiwa na mzee ambaye baadaye siku hiyohiyo alipata ajali na mkewe wakaacha yatima baadae yule dogo akaja kumtafuta yule jamaa ofisini kwake pale NASACO enzi hizo. Basi hii stori huwezi amini imesimuliwa kwenye mitandao yote na magroup meenigi tu, then kila ninapoisoma huwa kama nakuona na miwani yako hiyo lol...

Mimi sio muota ndoto ila nina hisia tu kuwa kuna kitu kikubwa kina kuja juu ya kusogea hatua moja zaidi ya maisha ya hapa JF, naitamani sana siku hiyo.
Jana sikuwa tayari ila leo baada ya mapendo yote ninayoyaona hapa kati yetu, nasubiri niambiwe eneo tu.... Usije ukatja kale ka bar kako lol!!


Ahsante DA, pia nakumbuka ulinipokea vizuri sana....
Nilikuwa napenda sana kukuona japo umekuwa unajificha ficha, naamini kila kiu ni kheri sana kwa upande wako na bwana shemeji kaacha kuharibu mood lol....
Apunguze wivu tu JF haina madhara sio FB.
 
Kumbe wwe ndiye MTM wa zamani??

:yield: Mie namshukuru na Mpolee bana kwa niaba ya wanaMMU wote:behindsofa:

I cant let this thread pass:
wapo wenzangu hasa wa MMU tuliokua na ambao bado tupo karibu since April 2008 nilipokua MTM
wapo wale tuliojenga ujamaa zaidi ya JF na ni wengi zaidi ya 50, I am blessed
wapo tulioenda mbali zaidi na kusaidiana katika kazi, biashara na hata kwenye shida na raha... nimehjudhuria sherehe, misiba, vikao nk. vywa wana JF, majority wakiwa MMU
wapo tuliosaidiana kimawazo kwenye siasa, uchumi, investment n.k

Lakini pamoja na yote hayo, wapo ambao husimama kama outstanding and influential people in life ambao tumekutana JF... in a positive way and negative way!!! about 99% ni positive, ila wapo wachache, ambao kama kawaida kwenye jamii, walijaribu kutumia kujuana kwetu either kufanya character assassination, au hata kujaribu kupanda mbegu ya bad image kwa watu wengine, pengine kutokana na insecurity au kutokujua tu

ALL IN ALL, YUPO MEMBER NIMUONAYE KAMA LUCKY CHARM YANGU.... KILA TULIPOKUA TUKIKUTANA KUPATA STORY, BASI NILIPATA SOMETHING OF A SURPRISE IN MY LIFE, INCLUDING THE CURRENT JOB I AM HAVING

KUDOS MMU, KUDOS JF
 
......Katika hiyo list hapo juu… Kuna members I Love, Kuna members I respect, wale ambao I adore, wale ambao genuinely wanafurahisha na kuchekesha na kufanya siku blue zi bloom iwe kwa kushiriki ama kuwasoma, kuna wale bado nawasoma, kuna wale I enjoy discussing with. Hayo yakiwa machache ya mengi ambayo Napata hapa. Na hizo ni baadhi ya sababu I really appreciate kuwa JF Member...

Pamoja Saana with Love,
AshaDii.
P.S:- Ngabu mbona unaniwekea kiwingu cha kuitwa genious?:becky: (Lol!

AshaDii, i am humbled!
 
Mbona mie sioni anae ni shukuru?, basi ngoja mie nimshukuru natalia na lara1
 
Mwita Maranya much respect kwako mkuu! ingawa najua kiitikadi tuko tofauti kabisa mm na wewe lol! nimekumbuka siku ulonikimbiza kisa nimeishauri cdm sitaisahau na huwa na imagine ningekuwa kwenye upeo wa macho yako ungenifanyaje.......... sijui ni kibao ama ngumi wala sijui hahahah.
 
Last edited by a moderator:
Bazazi siwez kukusahau maishan mwangu mweeee! umenibadilisha sana mtazamo wangu na kunifanya ionne kumbe sio kila mtu anawaza sawa na ninavyotaka mm awaze lol!
 
Last edited by a moderator:
Kumbe wwe ndiye MTM wa zamani??

:yield: Mie namshukuru na Mpolee bana kwa niaba ya wanaMMU wote:behindsofa:



Hahahahaha Kong huachi ushankupe??

Mi ulinipeperushia Malkia wangu humu hivihivi kwa ushankupe wako!

Ila umenikumbusha Mpole alizimika na zile Headphone za studio ya jamaa hahahaha
MTM akaona isiwe tabu bwana na jina akabwaga hahahah

Na ukinijibu vibaya sikwambii siri ya alipo Lizzy
 
Last edited by a moderator:
Uchakavu wanaanza kulipia wenye miaka 22



Nitakukaribisha kwangu Tandale, ni mdundiko kwa kwenda mbele
Ha ha ha, ila sura nafanana na babu yake baba yangu, usije kimbia tu

Asante sana na nasubiri mualiko. Kuhusu sura usijali maana nadhani tunafanana! Lol!
 
Nipo mchumba. Kuna mtu alining'ata sikio kwamba tuko watatu kwenye waiting list bado unatufanyia utafiti kujua nani anakufaa kuwa mwenza wa maisha. Sasa nikaona nitulie kidogo kupisha utafiti. Kama ilikuwa ni kweli unijulishe ili nijue naanzia wapi.
Afu nimekumisije!? babu yako Asprin nae siku hizi hasomeki sijui amevurugwa na nani!?

Nadhani nitaanza kukutafuta ili usinisahau. Tatizo la babu Asprin hataki kustaafu hicho kitengo cha ukaguzi! Hayo mambo ya kukagua kagua watoto wa watu yanamvuruga akili.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom