hivi waalimu wa kiume hatakiwa kuwa vioo vya jamii?Naongelea waalimu wa shule za msingi na upili (baadhi sio wote) zamani enzi za mwalimu ukitaka kuoa waalimu ndio walikuwa ni candidate wa kupigiwa mifano kila mtu atakupongeza kwa kubahatika kupata jiko kama hilo la uhakika ndio maana unaweza kuona viongozi kibao serikalini walijitwalia wake huko na hawajawahi angushwa/jutia kupata wake huko wenye haiba na maadili yaliyotukuka.
Kwa miaka ya karibuni wamebadilika sana wengi micharuko kama huku mtaani tu kama wako wa kupigiwa mfano inabidi umulike na tochi hata ukipata wengine wanaona kila mtu ni kama mwanafunzi wake wa darasani/kila kitu anajua yeye!Mpaka kwenye sehemu zisizo na staha unakuta walimu pia wapo (mfano social network na magroup mbalimbali wako huko) utajenga vipi maadili ya wanafunzi na familia yako wakati wewe mwenyewe umepinda?
Nimeongelea walimu kwakuwa ni vioo kwa vijana wetu waliohuko mashuleni kwao na katika jamii.
Karibu kwa wenye hoja na mitizamo/uzoefu tofauti na waalimu wa kike, dada na wake zetu.
Kwingine kooote umeongea point ila hapo ulipo gusa socia network ndo umeharibu ila imesaidia kujua wewe ni mtu aina gani aisee,sijui ulitaka walimu waandikiane barua na kutuma posta ili wasitumie social media?Naongelea waalimu wa shule za msingi na upili (baadhi sio wote) zamani enzi za mwalimu ukitaka kuoa waalimu ndio walikuwa ni candidate wa kupigiwa mifano kila mtu atakupongeza kwa kubahatika kupata jiko kama hilo la uhakika ndio maana unaweza kuona viongozi kibao serikalini walijitwalia wake huko na hawajawahi angushwa/jutia kupata wake huko wenye haiba na maadili yaliyotukuka.
Kwa miaka ya karibuni wamebadilika sana wengi micharuko kama huku mtaani tu kama wako wa kupigiwa mfano inabidi umulike na tochi hata ukipata wengine wanaona kila mtu ni kama mwanafunzi wake wa darasani/kila kitu anajua yeye!Mpaka kwenye sehemu zisizo na staha unakuta walimu pia wapo (mfano social network na magroup mbalimbali wako huko) utajenga vipi maadili ya wanafunzi na familia yako wakati wewe mwenyewe umepinda?
Nimeongelea walimu kwakuwa ni vioo kwa vijana wetu waliohuko mashuleni kwao na katika jamii.
Karibu kwa wenye hoja na mitizamo/uzoefu tofauti na waalimu wa kike, dada na wake zetu.
mkuu mada ya leo ni wadada hiyo unayosema inaweza kuwa mada mpya.hivi waalimu wa kiume hatakiwa kuwa vioo vya jamii?
mbona wanaume wanawasakama wanawake?
je! wew mwanaume ndo unahaki kufanya kila uchafu na sio vibaya?
ikiwa wew kipanga huoni ni haki yako kupata mcharuko?
kwanini upande ulezi uvune mahindi?
Kwa sababu uwezo wanao. Tatizo watu wanafikiri walimu ni watu wa dhiki asee.. Sasa hivi npo sehem flan na walimu wenzangu wawili tunapata kilaji kwa raha zetu.mkuu wanatamaa! wanapenda maisha ya telemundo.
nimefafanua kuhusu hilo.wapo waliouliza kuliko wewe umeshafanya conclusionKwingine kooote umeongea point ila hapo ulipo gusa socia network ndo umeharibu ila imesaidia kujua wewe ni mtu aina gani aisee,sijui ulitaka walimu waandikiane barua na kutuma posta ili wasitumie social media?
sawa usichelewe kuiletamkuu mada ya leo ni wadada hiyo unayosema inaweza kuwa mada mpya.
mbona.wengi wanakauka midomo mpaka.wanataka msafiri bure kwa daladala?Kwa sababu uwezo wanao. Tatizo watu wanafikiri walimu ni watu wa dhiki asee.. Sasa hivi npo sehem flan na walimu wenzangu wawili tunapata kilaji kwa raha zetu.
Ikiwa walikuwa hivyo sasa kwanini wamebadilika...?kabla walipewa red carpet treatment.
Ndio kina nani hao😱😱😵😵😵Ukweli unabaki kuwa "REAL MEN MARRY TEACHERS"
Mkuu wewe unatania, kuna mdada wa kazi ana kijana wa ng'ombe, ana boda boda wa kijiwe cha mtaani, kijana wa kiume wa humo ndani, yani balaaKada pekee ambayo bado haina mushkeli ni wadada wa kazi tu....
Wanafunzi wenyewe kama hawa?kwa hiyo mitoko vigumu kufanya hayo matayarisho! na ukizingatia shule zilivyonyingi wakaguzi wachache hawafiki kukagua madarasani walimu mnaishi kwa free style
Kudadeki!!Wanafunzi wenyewe kama hawa?
View attachment 328584