Walimu wadada mbona mmepinda sikuhizi?

Walimu wadada mbona mmepinda sikuhizi?

zaman kipato kilikuwa kinawatosha, kwa xx maisha yapo juu wengi inabidi wamilik biashara Na biashara walioona inawafaa Ni Glossary Na pub, sasa bila kuwa wamepinda wataifanyaje wateja wenyewe mnataka kuandika mpk mwisho WA mwezi lazima wawe zaid ya kauzu.
kweli mkuu inabidi wajiongeze fedha ni fupi mnooo.
 
MKUU TATIZO LINAANZIA VYUONI full stop plus na malezi ndo basi
enzi zile vyuo vilikuwa na sheria sana sasa hivi chuo cha ualimu kama university upo free with anything
ni kweli vyuoni wako huru kama wapo university.na umri wao ulivyomdogo wanashindwa kumudu uhuru wanaopewa.
 
Hilo usemalo ni kweli kabisa. Lakini kwa dunia ya sasa sio walimu wooote wana maadili kama walivyofundwa na wakufunzi wao.
wengi wanawaza hela.maadili.hawana habari nayo
 
Najua walimu ni Kipaji kutoka kwa mungu ila siku hizi kulingana na idadi ya watu zaidi ni watoto kuwa wengi na ajira ni chache sasa kwenye kada zote unaweza kuajiliwa kulingana na uhitaji wa soko ua shida zako,kwenye ualimu enzi mnazo semea sikuwepo labda kwani waalimu ambao ni zao la walioferi kidato cha nne(wengi wao)haendi kusomea ualimu kwasababu ya Karama ila ni shida na kutaka pa kujishikiza mapaka maisha yakae sawa
 
Mie nipo toroka uje nakula kitimoto na castle lite nipate stimu za kuandalia lesson plan
masai dada sijui ukwapi Catalunya ndiooo mtaa wake
Mie hapo nilikuwa jana.
basi kama wewe uko hapo mie ngoja nimsubiri Shark hapa Masai Club Vip bar...si unajua hapa hakuna cha weekend au weekdays.
Kama vipi usiku tuonane Great Wall...tukapombeke nikupe mbinu ya mtaala mpya, si unajua mhamo wa luaza unavyoumiza kichwa?
Na hivi waratibu wanazunguka mashuleni kukagua taaluma ili kumsafishia njia mtumbua majipu, ngoja tujimwage mpaka wamalize route
 
Back
Top Bottom