Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,841
- 37,579
Kama mfanyabiashara unakula faidasekendari walimu wanatoa utamu kwa madenti (baadhi)
Kama mfanyabiashara unakula faidasekendari walimu wanatoa utamu kwa madenti (baadhi)
Hahhahhhahahahahaaaahaaa......jamani wewe.huyo ni madame B: Hata mimi ningefeli kwa mvuto huo! kha
Unaishi kwa kukalili sana mkuu......Ukweli unabaki kuwa "REAL MEN MARRY TEACHERS"
sasa kale kadem kako mcharuko ndo ufananishe na walimu wote?Sio kama zamani nimetoka na walimu sita kwa kweli sio wa kuoa labda kuzugia tu.
Dah tena walimu hawana gharama yaani chips tu....na outing ukimpa laki moja tu unamkula fasta.sasa kale kadem kako mcharuko ndo ufananishe na walimu wote?
sio kweli inno..miss mzumbe ajafika?.hawa walimu achana nao wana kazi ya kutulelea watoto wetu,alafu wewe unawaongezea stress nyingineDah tena walimu hawana gharama yaani chips tu....na outing ukimpa laki moja tu unamkula fasta.
Mimi nimewatafuna sana nawajua hawa....sio kweli inno..miss mzumbe ajafika?.hawa walimu achana nao wana kazi ya kutulelea watoto wetu,alafu wewe unawaongezea stress nyingine
haha..ndio yule demu aliyekusaliti uliyemwandika humu?,kama ni yule namjua..usingemuwezaMimi nimewatafuna sana nawajua hawa....
Hawa unawatetea tu.,.mkuu walimu wa primary na wa secondary za mijini wepesi sana kuna kamoja nilikapa laki tano kakapagawa kweli.sio kweli inno..miss mzumbe ajafika?.hawa walimu achana nao wana kazi ya kutulelea watoto wetu,alafu wewe unawaongezea stress nyingine
Huyu Inno....nakumbuka ile thread yake.haha..ndio yule demu aliyekusaliti uliyemwandika humu?,kama ni yule namjua..usingemuweza
Nina mifano haiUnaishi kwa kukalili sana mkuu......
siwatetei mkuu,walimu bado hadhi yao ipo juu kimaadili ukilinganisha na kada nyingine,utandawazi umewafanya na wenyewe wawe wa kileo.,ila micharuko ni mingi siku hizi kwenye hii kada..Hawa unawatetea tu.,.mkuu walimu wa primary na wa secondary za mijini wepesi sana kuna kamoja nilikapa laki tano kakapagawa kweli.
hahha naona unajipigia debe kiaina....was
wanasheria mkuu