Walimu wadada mbona mmepinda sikuhizi?

Walimu wadada mbona mmepinda sikuhizi?

Ambao hawajasoma, ndo jibu lao humu teh
hakuna asiyesoma wengine wamejifunza elimu za darasani wengine za asili ya maisha.ndo maana wote tukiingia chalinze kuja Dar tunavikwa majoho ya kufuzu.
 
hakuna asiyesoma wengine wamejifunza elimu za darasani wengine za asili ya maisha.ndo maana wote tukiingia chalinze kuja Dar tunavikwa majoho ya kufuzu.
Aah nilimaanisha asiye na elimu kubwa ya darasani, angalau kaishia form 4
 
Zamani walimu wa diploma na wa cheti walikuwa wengi, na huko kwenye vyuo ualimu walikuwa wanafundishwa mambo ya malezi na haiba ya ualimu kwa ujumla. Sasa hivi walimu wengi wanatoka vyuo vikuu ambako mambo ya malezi na haiba hakuna anayeyaangalia.

Aliyesoma diploma halafu akaenda chuo kikuu ataungana na mimi katika hiki ninachosema. Na haiwezekani huko vyuoni ukaanza mambo ya malezi haiba kwa wanachuo ualimu tu wakati wanachuo wa kozi wengine wakijiachia...nyakati zimepita sasa, twende hivyo hivyo!
kweli mkuu ndo maana nimesema mada hii ni kwa wale wa certificate& dip
 
Walimu ni zao la jamii hivyo ukiona wameharibika ujuwe jamii iko hovyo zaidi kwani pamoja kufunzwa haiba wako hivyo walivyo
jamii ndio imeoza kabisa.nafuu ya hao mateacher
 
Mshana nakuheshimu sana lakini kwa uzi kama huu heshima yako inaanza kupungua taratibu.. Kwamba na walimu wa kike wako social networks! Watajenga vipi maadili! Mshana umekosea sana
mshana anahusika veepe hapa?
 
Mbona hata juzi kati walikuwa hivyo? Enzi mimi nasoma tulikuwa tunajigongea tu walimu wa kike! Nakumbuka nikiwa form kadhaa nilikuwa najua hesabu sasa madam wa hesabu akawa anapenda sana kunifundisha na alikuwa sista duu model hivi! Huyo mbona niliishia kumchapa nao na hakikuharibika kitu?? Mwingine alikuwa wa English! Huyo niliwahi kumkosea akaniita anapoishi eti akaniambia nijichagulie adhabu atakayonipa! Daah tulivyomalizia najua mwenyewe! Nilipoenda five na six nikakutana tena na ka-madam kadogodogo hivi ka olevel na mambo yakaenda murua kabisa! Kiufupi mambo yalikuwa mazuri na nikasonga mbele!!

Ila nilikuwa nawaheshimu sana na mambo yakawa yanaenda!

Nakumbuka sana nikiwa form four alikuja mwalimu wa field wa diploma (TP) walah sijui ndo nini! Alikuwa akifundisha mimi mawazo yote ni kwake nikawa kama nimetekwa ingawa somo lake nilikuwa nalimudu vizuri! Nilianza kujenga naye mazoea ili kufanikisha lengo langu na ikatokea bahati tukaenda naye study tour! Nakumbuka sana nilimganda kama ruba ila bahati mbaya sikufanikiwa lengo langu hadi akaondoka na mpaka leo yule madam yupo akilini mwangu!!

Yote kwa yote heshima ilikuwepo kama kawaida tena sana tu! Ila kwenye angle zangu nilikuwa na-strike kwa mafanikio makubwa!!

Niwahakikishieni kuwa waalimu wa kike mashuleni wanatongozwa sana na wanafunzi wao! Wanawatamanisha sana na wengi wakiwa darasani kimawazo wapo kwa ma-madam!!

Yupo dogo mmoja wa form two hivi majuzi aliwahi kumtongoza mwalimu wa kike aliyetokea UDOM (TP) nakumbuka dogo alikomaa hadi akala mzigo!!!
 
Back
Top Bottom