Walimu wadada mbona mmepinda sikuhizi?

Walimu wadada mbona mmepinda sikuhizi?

Nauliza tu..mtu kuwepo kwenye social networks ni kukosa staha??
nadhani hata ww unaelewa kuwa zipo.zisizofaa.hapo ndio panapohusika lakini pia wakati wa kazi kuna waalimu wanakuwa online.hujaona kwenye hii mada wengine anajibu yuko shuleni.
 
zaman kipato kilikuwa kinawatosha, kwa xx maisha yapo juu wengi inabidi wamilik biashara Na biashara walioona inawafaa Ni Glossary Na pub, sasa bila kuwa wamepinda wataifanyaje wateja wenyewe mnataka kuandika mpk mwisho WA mwezi lazima wawe zaid ya kauzu.
 
Walimu wa siku hizi hawaeleweki mi nilikua nae mmoja nikampga chini
 
mkuu inawezekana huelewi kuwa waalimu wanafundishwa HAIBA ya ualimu na MAADILI katika masomo yao ni tofauti na fani zingine ambazo watu tunapuyanga kama kondoo asiyekuwa na mchungaji.kwenye mke sikushauri mkuu.usije ukarudi kwangu yakikushinda
Walimu wa msingi.
 
Wamezoea kuona walimu na magauni malonya
Umeona eeee.
Kwanza mie hapa nishamaliza kipindi nataka nikupitie na rubii twende Catalunya au Samaki samaki.
Maana weekend viwanja vitajaa, au twendeni Rhapsody's.
Walimu sie kila viwanja tupo.
Asituzingue hapa....Rose Muhando mwenyewe alikuwa kahaba now ni muimba injili.
 
Umeona eeee.
Kwanza mie hapa nishamaliza kipindi nataka nikupitie na rubii twende Catalunya au Samaki samaki.
Maana weekend viwanja vitajaa, au twendeni Rhapsody's.
Walimu sie kila viwanja tupo.
Asituzingue hapa....Rose Muhando mwenyewe alikuwa kahaba now ni muimba injili.
Mie nipo toroka uje nakula kitimoto na castle lite nipate stimu za kuandalia lesson plan
masai dada sijui ukwapi Catalunya ndiooo mtaa wake
 
Umeona eeee.
Kwanza mie hapa nishamaliza kipindi nataka nikupitie na rubii twende Catalunya au Samaki samaki.
Maana weekend viwanja vitajaa, au twendeni Rhapsody's.
Walimu sie kila viwanja tupo.
Asituzingue hapa....Rose Muhando mwenyewe alikuwa kahaba now ni muimba injili.


Woyooooo.... kama anaona walimu wamepinga akasomee yeye mnyofu afundishe watoto wake
 
Umeona eeee.
Kwanza mie hapa nishamaliza kipindi nataka nikupitie na rubii twende Catalunya au Samaki samaki.
Maana weekend viwanja vitajaa, au twendeni Rhapsody's.
Walimu sie kila viwanja tupo.
Asituzingue hapa....Rose Muhando mwenyewe alikuwa kahaba now ni muimba injili.
viwanja vyote mnavijua kha! hata library mnaenda kweli?! mweh
 
Back
Top Bottom