Walimu wadada mbona mmepinda sikuhizi?

Walimu wadada mbona mmepinda sikuhizi?

Tatizo la ajira limesababisha wengi wakimbilie huko kwa kuogopa maisha na shurba za soko la ajira ilhali hawana mapenzi wala wito kwa kazi hiyo.
kweli mkuu.hata msafala wa mambo mpaka kenge wanajiunga humo.
 
Haya waalimu hongera zenu,wanasheria wanawake typo hapo?ukitaka kuishi kwa uwakika uoa malkia Wa nguvu kaka achani kutudefine kupitia kada zetu
muhimu kujadili kada usije angukia mikononi mwa kada ya polisi.
 
Sio kama zamani nimetoka na walimu sita kwa kweli sio wa kuoa labda kuzugia tu.
kupiga kipapa na kuingia mitini......[emoji12] [emoji2] [emoji2] ngoja nimtafute madameB:
 
Walimu wepesi sana hasa waliomaliza vyuo kuanzia 2011 mpaka sasa ...wanatumika kweli tunapishana nao kwenye social media tu....na vinguo vyao visivyo na maadili....
wamejaa dating zone! wanasaka wawezeshaji!
 
Hawa unawatetea tu.,.mkuu walimu wa primary na wa secondary za mijini wepesi sana kuna kamoja nilikapa laki tano kakapagawa kweli.
ukakachapa kisawasawa!.wengi ni maharage ya Mbeya.
 
siwatetei mkuu,walimu bado hadhi yao ipo juu kimaadili ukilinganisha na kada nyingine,utandawazi umewafanya na wenyewe wawe wa kileo.,ila micharuko ni mingi siku hizi kwenye hii kada..
kada imevamiwa......mpaka wazazi wakienda hovyo shuleni kwao lazima hawa wadada waalimu wakukule.
 
There is no permanent situation in life, things keep on changing. Walimu wa zamani sio wa sasa. Wanaweza kukuangusha mbaya kama utaweka tumaini lako kwao katika ndoa. Mke mwema yu atoka kwa Bwana, hivyo wako wema wengi tu katika kada mbali mbali, omba sana ili Muumbaji akukutanishe na mwenzi sahihi.
 
There is no permanent situation in life, things keep on changing. Walimu wa zamani sio wa sasa. Wanaweza kukuangusha mbaya kama utaweka tumaini lako kwao katika ndoa. Mke mwema yu atoka kwa Bwana, hivyo wako wema wengi tu katika kada mbali mbali, omba sana ili Muumbaji akukutanishe mwe mwenzi sahihi.
True kabisa...sema watu bado wanaishi kizaman..sikuizi hata haiba zenyewe si kama za enzi izo...mwalimu anaweza kukupigia umin skert mwenyw ukabrow
 
There is no permanent situation in life, things keep on changing. Walimu wa zamani sio wa sasa. Wanaweza kukuangusha mbaya kama utaweka tumaini lako kwao katika ndoa. Mke mwema yu atoka kwa Bwana, hivyo wako wema wengi tu katika kada mbali mbali, omba sana ili Muumbaji akukutanishe na mwenzi sahihi.
mkuu nilimsikia Mhubiri mmoja ADAM HAJI alisema 'Mungu siku hizi hatafutii watu wake kuepuka lawama kama za ADAMU.pale Eden alivyodanganywa na HAWA. alimwambia mungu kuwa mke uliyenitafutia ndiye amenifanya niasi'
 
Back
Top Bottom