Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,841
- 37,579
Library waachie wakutubi....sie zetu chakiviwanja vyote mnavijua kha! hata library mnaenda kweli?! mweh
Library waachie wakutubi....sie zetu chakiviwanja vyote mnavijua kha! hata library mnaenda kweli?! mweh
Naongelea waalimu wa shule za msingi na upili (baadhi sio wote) zamani enzi za mwalimu ukitaka kuoa waalimu ndio walikuwa ni candidate wa kupigiwa mifano kila mtu atakupongeza kwa kubahatika kupata jiko kama hilo la uhakika ndio maana unaweza kuona viongozi kibao serikalini walijitwalia wake huko na hawajawahi angushwa/jutia kupata wake huko wenye haiba na maadili yaliyotukuka.
Kwa miaka ya karibuni wamebadilika sana wengi micharuko kama huku mtaani tu kama wako wa kupigiwa mfano inabidi umulike na tochi hata ukipata wengine wanaona kila mtu ni kama mwanafunzi wake wa darasani/kila kitu anajua yeye!Mpaka kwenye sehemu zisizo na staha unakuta walimu pia wapo (mfano social network na magroup mbalimbali wako huko) utajenga vipi maadili ya wanafunzi na familia yako wakati wewe mwenyewe umepinda?
Nimeongelea walimu kwakuwa ni vioo kwa vijana wetu waliohuko mashuleni kwao na katika jamii.
Karibu kwa wenye hoja na mitizamo/uzoefu tofauti na waalimu wa kike, dada na wake zetu.
Sasa kwanini nisipinde wakati nimetoka kwenye kazi ya u-stripper pale New Africamadame B taratibu.wewe naona ndio umepinda kuliko upinde wenyewe!
Hahahha.....Kinondoni sihami aisee.Hebu hama huko kinondoni hakuna maadili.
Dah na Sisi accountant itakwaje s asa? Haha natumia nipotezeeUkweli unabaki kuwa "REAL MEN MARRY TEACHERS"
Wanadhani ualimu kama daladala kila mtu anapanda?Woyooooo.... kama anaona walimu wamepinga akasomee yeye mnyofu afundishe watoto wake
Kama kalambwandaumetega mingo!
Haha haya banamhasibu gawa mshahara.kwa wakati na utoe chenji usibane.
Hahha....akha, kisa walimu ndio tusijirushe au kufumaniwa?mwalimu mtata wewe!.Dunia nzima,
Hahaha ulijuaje, Scheme mpaka leo sijamaliza.madame B hata scheme of work huna wewe! lesson.plan imo kichwani
kwa hiyo mitoko vigumu kufanya hayo matayarisho! na ukizingatia shule zilivyonyingi wakaguzi wachache hawafiki kukagua madarasani walimu mnaishi kwa free styleHahaha ulijuaje, Scheme mpaka leo sijamaliza.
Lesson plan nayo tangu niandae tarehe 2 Jumatano sijaifungua.
Shajara ndo majanga matupu.