Spinster
JF-Expert Member
- Mar 19, 2012
- 487
- 138
Duh:Omkuu nilimsikia Mhubiri mmoja ADAM HAJI alisema 'Mungu siku hizi hatafutii watu wake kuepuka lawama kama za ADAMU.pale Eden alivyodanganywa na HAWA. alimwambia mungu kuwa mke uliyenitafutia ndiye amenifanya niasi'