Wadau,

Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!!!

Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.

Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.

Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.

Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.

Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.

Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.

ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA

KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.
Pole sana

Kuna namna ambavyo ulishindwa kusimamia mamlaka yako au nafasi yako kama mume ndani ya nyumba.

Ukiona mpaka mwanamke anafikia hatua ya kujiamulia kuishi anavyotaka ndani ya nyumba na ku deligate majukumu yake kwa beki 3 basi kuna shimo mahali ambalo hukuliziba tangu mwanzo wa ndoa yenu na sasa limekua sugu halizibiki

Umeonyesha udhaifu mkubwa sana kwenye suala zima la ku handle issue kwenye ndoa, huwezi kutatua changamoto au tofauti kwa kumpiga mke

Mwisho wa yote you knew her better na ulikua inajua anapenda nini, priorities zake ni zipi na carreer goals zake ni zipi, badala ya kumpiga mngekaa pamoja mkubaliane namna ambavyo anaweza kubalance her career onjectives pamoja na majukumu ya kifamilia bila kuathiri kimoja wapo
 
Nilimkuta akiwa hana ishu mkuu.....kuanzia shule mpaka kuanza kazi ...ila akaja kuota mapembe baadaye
Sasa nani alikwambia mwanamke anasomeshwa, si ungeoa mwanamke ambae ameshasomeshwa na wazazi wake, unasomesha mwanake kwani wewe ni mzazi wake? Ona sasa yanayokukuta
 
Huwezi kuhudumia by 100% ila minor stuffs kama kutenga sahani mezani mkala na familia pia ni ishu! Eti ooh si wote tumetoka kazini! Nashukuru Mungu amenipa akili tu ya ku analyze mambo kwa upana.

Nawaonea sana huruma wanawake wa kileo yani ambao mnaendekeza usasa ila nilichogundua wengi ni wavivu by nature! Mnatafuta justifications tu za kukwepa majukumu yenu😀!

Haiwezekani eti mke ana complain kuweka chakula mezani ama kukupa glass ya maji ya kunywa au kutenga maji bafuni ambayo hata yeye hajayabandika. Housemaid kafanya yote.

Sometimes its better kukaa na housemaids kwa sisi mabachelor ukajua kabisa kuwa huyu kazi yake ni kufanya nyumba iwe safi na kupika tu! Akimaliza aache funguo aende zake. Kesho tena anaamkia usafi na kufua na kupika kisha anaacha chakula kwenye hotpot anaishia zake! Unamlipa hela tu kwa mwezi it saves alot kuliko kuwa na mtu unayemuita mke ila hawezi kufanya hata 20% ya yale ambayo anayafanya beki 3!
Role yake kama mwanamke ni lazima aitimize,mimi ni mwanaume na yeye ni mwanamke,yanayotakiwa kunifanyia ni lazima anifanyie,hii habari ya kusema nimechoka mwisho wake itahamia kitandani nako utaanza kunipangia.Kwa mwanamke anayejitambua huwezi kukuta ana visingizio,na kama unavyosema wengi wa aina hiyo inakuwa ni wavivu tu by nature...
 
Mkuu

Hivi umeoa?

Tuanzie hapo kwanza!

Hivi kupika kwenye nyumba ,hivi kuna mjadala wa hili kweli?

Like seriously?

Are you joking aisee?
Mkuu usifananishe mwanamke anayefanya kazi na mama wa nyumbani hawa lazima wawe na utofauti kwenye muda wa kutimiza majukumu hayo! Kama ambavyo mwanaume tajiri na mwanaume masikini walivyo na utofauti kwenye pesa ya kufanya matumizi mbona hiyo ni simple logic tu mkuu?
 
Kama miaka 12 hajachepuka nashauri tumjengee sanam la kudumu katikati ya jiji la Dodoma. Huyu anastahili tuzo ya Nobel, then nafatia mimi
Nitachangia mifuko mitano ya cement kwenye huo ujenzi.
Huyu atakuwa kabaki peke yake duniani.😂😂😂, Kanishusha pumzi ujue...sie wengine tunafua, tunapika, tunawabeba kuwapeleka bafuni, tunawakanda, mbususu tunatoa saa 24 na matukio tunapigwa...
 
Ndo imkute mtu anayependa kujifunza , kuna watu wabishi hii dunia, hata hivyo si wanasema ndoa ni kuchukuliana madhaifu yenu
Kweli kabisa kuna wengine hawajui na hawako tayari kujifunza, bad enough hata kuambiwa kwamba hajui kupika ni ugomvi, in short unamuacha kama alivyo kuepusha ugomvi
 
Pole sana

Kuna namna ambavyo ulishindwa kusimamia mamlaka yako au nafasi yako kama mume ndani ya nyumba.

Ukiona mpaka mwanamke anafikia hatua ya kujiamulia kuishi anavyotaka ndani ya nyumba na ku deligate majukumu yake kwa beki 3 basi kuna shimo mahali ambalo hukuliziba tangu mwanzo wa ndoa yenu na sasa limekua sugu halizibiki

Umeonyesha udhaifu mkubwa sana kwenye suala zima la ku handle issue kwenye ndoa, huwezi kutatua changamoto au tofauti kwa kumpiga mke

Mwisho wa yote you knew her better na ulikua inajua anapenda nini, priorities zake ni zipi na carreer goals zake ni zipi, badala ya kumpiga mngekaa pamoja mkubaliane namna ambavyo anaweza kubalance her career onjectives pamoja na majukumu ya kifamilia bila kuathiri kimoja wapo
Huu utetezi wenu w'ke huwa ni bure, m' ke akikosea lawama zinapelekwa kwa mume kwamba 'hakutimiza majukumu yake ipasavyo', sasa najiuliza haki sawa mnatakaga za nini kama usahihi wa mke unategemea usahihi wa mume ?
 
Hata ukienda kwenye bucha ya samaki ukawaambia watoe matumbo na magamba bado yapo yanayobaki ya kwenda kumalizia nyumbani unapowaosha kabla ya kuweka kwenye sufuria. Hakuna bucha ambayo wanatengeneza samaki wa kufika tu na kuweka kwenye chungu.
Sasa mkuu ulishindwa nini kumfundisha mkeo namna ya kumsafisha samaki au kuku vizuri, kama hataki umfundishe unazungumza hata na mtu wake wa karibu kama dada yake, rafiki au hata dada yako siku anakuja nyumbani wanapika pamoja nikoni ajifunze kutoka kwa wengine
 
You nailed it bruh! Bora kumpa business sema sasa awe kichwa kwenye financial management na uzuri wa biashara lazma akupe report on a daily basis!

You get time to talk na inamfanya awe busy. Mwanamke kutafta hela yake ni jambo zuri ila hio inakujaga na Ego flani ya kishamba sana. Kwamba kwakuwa anaweza kufanya kazi akalipwa mshahara wewe huna control na maisha yake hata kama ni mume she feels she can do whatever she wants! Wrong!!! Ukiolewa wewe sio free not to that extent.

Sasa kwenye situation ya ndoa mwanamke hana freedom kiasi hicho yani anakuwa katika tie ya mwanamume wake! Wanajisahau hapo tu na ndo hawa selfish wasiojitambua inafikia stage anaona kuwa mke ni utumwa anaweza akaishi freely akapanga na kulipa bills zake sababu hela ni yake akalea watoto wake!

Ndio hawa ambao akiwa na kamshahara ka million anajiona hastahili kuosha vyombo, kudeki wala kumpikia chakula mume hayo mambo yanafanywa na beki 3 tu ila still anataka a claim tittle kuwa ni mke na kisingizio ni anaenda kazini anachoka.

Ila kuna mahali mwanamke anaamka saa 12 anaandaa chai anaingia kulima akitoka saa 7 anafikia kupika na kula na watoto wake na mishe mishe zingine zinaendelea mpaka jioni baba anaporudi mihangaikoni!

Ila kinabo anaeshinda kwenye ac anasema anachoka!
Teh eti kamshahara ka million watake watu radhi wewe kuna wanaume wazima wengi tu wana familia zao hawaingizi huo mshahara! Kuhusu kuchoka mbona hata wanaume huwa mnashinda kwenye ac na mnadai mmechoka whats the effin difference?
 
Kama hayajakufika unaweza usielewe. Nimesema miaka 12 ya kufundisha. Mbona hata PhD ni miaka 3-4 unapata?
Sasa mkuu ulishindwa nini kumfundisha mkeo namna ya kumsafisha samaki au kuku vizuri, kama hataki umfundishe unazungumza hata na mtu wake wa karibu kama dada yake, rafiki au hata dada yako siku anakuja nyumbani wanapika pamoja nikoni ajifunze kutoka kwa wengine
 
Amebadili gia angani tu ila mwanzo alivyoanza haikua hivyo. Wapo wasomi wengi tu wasio na hizo tabia na wasio wasomi wenye hizo tabia. Nenda vijijin ambako shule hakuna kama hutokuta wanawake wenye hizo tabia.

Nionyeshe mwanamke mwenye "kidegree" asie mjuaji na kwa hakika nitakuonye mbuzi anaetaga mayai. Hata mijadala ya humu jf ni ushahidi tosha wa "wanawake wasomi"

Umezungumzia vijijini kua ni sawa na wanawake wa mjini na huu ni ushahidi wa kuropoka kwako, hivi kati ya mijini na vijijini ni wapi talaka zimekithiri ?!
 
Kwahiyo kwako mtu kujutia ndiyo maana yake anaacha? Si atafanya kila siku akijua mwisho wa siku atajutia na atasamehewa tu kama kawaida na maisha yataendelea?
Ndugu apige matukio asipige ni utamaduni niliojiwekea kufanya niyafanyayo
Swala la kuvumilia au kutokuvumilia matukio ni lingine. Popote nitakapokuwepo huwa nina package yangu kwa ajili ya mwanaume wangu. Siwez kusex na mtu mchafu ambaye sijamthibitisha kwa viwango nilivyojiwekea. Nafanya kwa ajili yangu ili niwe huru wakati wa sex...ni usafi kwa ujumla. Kifupi siishii kubeba ndoo tu ila namkalisha kwenye kigoda (kwa nyumba zetu za self kiswazi Swazi) namsugua anang'aa kama ndo katoka kuzaliwa.
 
Yani unakerwa na post zangu mkuu jichunguze life is too short kukasirika vitu visivo na kichwa wala miguu, ningekuwa na wewe na mimi ningekupiga kelbu moja matata sana mpaka ukome

Safi sana, wakuu njoo muome wanawake wenye "videgree" vyao hua wanapenda mashindano na wanaume sasa haka kasingle mother eti kanajitunisha kunipiga just imagine ndio kamke kako aloo !!

Na hivi ndivi hawa wanawake wenye vijielimu ushuzi na vijiajira ushenzi walivyo wanadhani wao wana mamlaka sawa na mume aise no wonder huyu mwanadada ni 40 years senior single mother, hakuna mwanaume mwenye chembe ya akili ataoa hii taka.
 
Nani huyo Nakadori? Mjomba wako?
Ndugu apige matukio asipige ni utamaduni niliojiwekea kufanya niyafanyayo
Swala la kuvumilia au kutokuvumilia matukio ni lingine. Popote nitakapokuwepo huwa nina package yangu kwa ajili ya mwanaume wangu. Siwez kusex na mtu mchafu ambaye sijamthibitisha kwa viwango nilivyojiwekea. Nafanya kwa ajili yangu ili niwe huru wakati wa sex...ni usafi kwa ujumla. Kifupi siishii kubeba ndoo tu ila namkalisha kwenye kigoda (kwa nyumba zetu za self kiswazi Swazi) namsugua anang'aa kama ndo katoka kuzaliwa.
 
Asante. Nadhani siku nikichepuka, nitakufa kwa kujisikia vibaya (ile guilty feeling)... Hata kabla ya kuingia ktk ndoa, sikupata kumsaliti mchumba.
Na ndo maana hataki kukusikiliza maana ashajua huna pa kwenda
Utakufa kabla ya siku zako we endekeza tu mapenzi.
Na kama hakusikilizi tambua yupo mwingine mahali anayemsikiliza
 
Back
Top Bottom