Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 8,292
- 19,189
Haha...Eeh jamaa anaitwa jentomen anachekelea halafu upande wa pili mwanaume jeuri na mbabe anamchapia uwa lake kila akisafiri😅
Haha...Eeh jamaa anaitwa jentomen anachekelea halafu upande wa pili mwanaume jeuri na mbabe anamchapia uwa lake kila akisafiri😅
Yani mke akatafte hela, abebe mimba, wewe mwanaume una kazi Moja tu ya kuweka miguu kwenye sofa ufanyiwe kila kitu na mkewe na mnatoka wote kazini na hautaki msaidizi afanye kazi eti!?Sitetei wanaume ama wanawake irresponsible.
I just want everyone to do his/her part. Mwanaume ahakikishe anahudumia na mwanamke ahakikishe analea familia.
Inapotokea mwanamke ni msomi na anataka kuitumia elimu yake, tena wamekubaliana na mmewe kwa amani basi afanye kazi. Lakini hiyo kazi isimfanye ashindwe kutimiza majukumu yake ya msingi (Malezi ya familia).
Zaidi ya yote; ninapinga mwanaume kufanya kazi za nyumbani isipokuwa kwa sababu za kiafya kwa mkewe.
Note: Mwanamke kufanya kazi za nyumbani ni kutimiza wajibu, siyo utumwa.
Mwanaume lazima atafute pesa ila habari za jikoni marufukuYani mwanaume asiwe anaenda kutafta hela atakuwa na mApepo huyo, wengine watafta hela yeye yuko nyumbani kufanya kazi za house girl si mwendawazimu huyo
Mzee we utakuwa mpemba! Tamaduni za wabara haziko kama huko kwenu mzee 😅Hapa tunajadili hoja hatujadili maoni.
Maoni kila mtu anayo ila hoja ndani ya maoni hayo ndicho kitu cha msingi.
Pinga kwa hoja usiishie kusema maoni yangu na kufanya hiyo ni hoja ya kujitetea kwako.
Huu ujinga wa kumrundikia mwwnamke mikazi haukubaliki katu.
according to youMwanaume lazima atafute pesa ila habari za jikoni marufuku
Sema ukweli, wewe mwenyewe ukiona mwanaume anafanya kazi za ndani unamuona bwege... Sema ndiyo hivyo hapa unatetea tu kwa kuwa una masilahi, uongo?Tupo mkuu tunaojua majukumu yetu
wanaume wapi wanaotimiza hayo majukumu Yao kutwa wanawake wanahangaika na mikopo na vicoba wanaume wanachoweza nyie kufuga ndevu tu, Yani wanawake wenu wanadanga walee familiaLabda hiyo type unayo izungumzia ww ndiyo unayo kutana nayo, ila wanaume wanaotimiza majukumu yao kuanzia kwenye kulipa mahali mpaka kutumiza majukumu yao ndani ya familia wapo wengi tu.
Tatizo wengi wao hawa wataki wabeijing na wanawake wanaotaka mashindano kama nyinyi. Mnawapata hao wanaopenda kulelewa na kwapa hela ya mahali wakawalipie, ili muwaendeshe.
Ukimpata ambae yuko tayari kutafuta pesa na kuingia jikoni na mke yupo unitagaccording to you
katafte hela, heshima hela tu mzee,Sindio hawa mnaitaga majentromenz wanawa care sana yani!
Sidhani kama umemuelewa freshi! Mwanaume anafanya part yake kama baba na wewe mke inakubidi ufanye part yako kama mama.Yani mke akatafte hela, abebe mimba, wewe mwanaume una kazi Moja tu ya kuweka miguu kwenye sofa ufanyiwe kila kitu na mkewe na mnatoka wote kazini na hautaki msaidizi afanye kazi eti!?
Kwahyo wewe siku ukifanya mfano kumlisha mwanao utabadilika jinsia yako, mbona zamani wanawake walikuwa hawafanyagi kazi, na sasa wanafanya kazi na hawajabadilika jinsia zao kuwa wanaume.
Dah wewe ni mwanaume conservative sana you don't want change in 21c uko Karne za nyuma change is inevitable in this era
Hapo ndio umeongea sasa uzuri hela ikiwepo hata kuflashi mavi huwa mna flash bila kulalamika😅katafte hela, heshima hela tu mzee,
Mwanamke hautakiwi kutafuta hela, hiyo ni kazi ya mwanaume.Yani mke akatafte hela, abebe mimba, wewe mwanaume una kazi Moja tu ya kuweka miguu kwenye sofa ufanyiwe kila kitu na mkewe na mnatoka wote kazini na hautaki msaidizi afanye kazi eti!?
Kwahyo wewe siku ukifanya mfano kumlisha mwanao utabadilika jinsia yako, mbona zamani wanawake walikuwa hawafanyagi kazi, na sasa wanafanya kazi na hawajabadilika jinsia zao kuwa wanaume.
Dah wewe ni mwanaume conservative sana you don't want change in 21c uko Karne za nyuma change is inevitable in this era
kaoe wa kijijini mkuuDuuuh mungu aniepushe na mwanamke wa aina hii , kwa hiyo mmeo hana shukrani , ila sidhani kama umeolewa
Kwa attitude yako utaendelea kuwapata Mamarioo, ila wanaume wakubeba majukumu yao kuanzia kwenye uchumba mpaka kwenye familia wapo ila WEWE SI TYPE YAO ,unawe kukutana nayo ila ndio mwendo wa kusuuza rungu na kupigwa chini.wanaume wapi wanaotimiza hayo majukumu Yao kutwa wanawake wanahangaika na mikopo na vicoba wanaume wanachoweza nyie kufuga ndevu tu, Yani wanawake wenu wanadanga walee familia
Mama ya misimamo yake...
Ila mwanaume wako lazima awe muelewa sana ukiwapata hawa waliopo sokoni mda wote Hahaha lazima talaka iandikwe
Dili zenyewe ndio zile za kudanga kwenye fremu za nguo Sinza😅Jamaa anamaindi hajawekewa maji ya kuoga na mke mwenye dili zake za biashara. 😃
Kwanza inakuwaje mwanaume unajua kupika aisee... Raha ya mwanamke kuolewa na wanaume kama sisi tunaojua kupika chai tu ili aoneshe ufundi wake jikoni. Siyo mwanaume unajua kupika kuliko hata mke wako. Haha...Mzee we utakuwa mpemba! Tamaduni za wabara haziko kama huko kwenu mzee 😅
Hata mjini wapo na hata wewe hapo mtaani kwako unawaona yaani na wewe ungekuwa umeolewa wangekuwa wanakushangaa na kukusuta.kaoe wa kijijini mkuu
oa mke asiye nashule na awe ana baki tu nyumbani ndio atakufanyia yote hayo Ili ujione mwanaume rijaliDuuuh Mungu aniepushe na mwanamke wa aina hii, kwa hiyo mmeo hana shukrani, ila sidhani kama umeolewa