Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,273
- 11,773
Shushia juisi,comment nzuri sanaHukumpenda kweli toka moyoni ulimpendea hela na connection baada ya kuingia ndoani ukajua kuwa ndoa ni zaidi ya hela, ikiwemo bond and chemistry hapo ndio ukachaganyikiwa.
Pole na move on with life maana inferiority ilikuwa inakusumbua