Wakuu, mke wangu nimemchoka

Wakuu, mke wangu nimemchoka

Mkuu mm sijui nipoje watu nilio zaliwa nao tumbo Moja nawapenda sana sanaa....
Mm nimepata mke mwema na hapa nilipo nipo bring bring na nguo viatu cadet na hili shati classic ameninunulia wife WANGU.......

All in all mm nimeoa mwanamke anae nipenda yeye Mimi ni MWANAUME WA NDOTO ZAKE
Hongera sana chief....tuombeane mkuu na sisi tupate hao wema.
 
Wee mwana weeeee, unaweza kuwa Bora afu ukakutana na kimeo hata huo ubora wako usiwe na pa kuuonesha...
Mie dada yako nakushauri ukiingia kwenye ndoa jizime data, ndoa haihitaji matumizi ya akili kabisaaaa, ukiwa boya, bwege ndoa itadumu ushangae🤣🤣🤣🤣
Sasa jifanye mtu wa logic🤣🤣🤣
Hahha na wengi ndo hivo Vimeo hatar ndio maan sinampango huo nikiona umri wa kukaribia kufa ndio nitingia Ili tusisumbiane sana tunakufa 😂😂😂
 
Habari wakuu, mke wangu toka nimuoe sina chochote nachostahili kufanyiwa kama mume.

Heshima 0
Tabia 0
Kununa nuna A+

Kusex mpaka nianze mimi, nisipoanza ngoma 0-0 na since nioe mwezi wa 8 mwaka jana sijasex nae zaidi ya mara 5 na zote naanza mimi kudai penzi though no Mutual Connection.

Mke meseji ninamtumia saa 1 asubuhi kujibiwa saa 10 jioni. Since day 1 ya ndoa yangu sijapata raha yoyote ile zaidi ya karaha tu. Leo nimeamua kumtolea uvivu.

WAKUU TUSIKURUPUKE KUOA.

Kila siku tunawaambia hamuelewi. Mnajifanya wabishi huku mnalia na mmejaa maumivu moyoni.

Kataa Utumwa

Kataa Unyonyaji

Kataa Ujambazi

Tokomeza Ndoa

Pinga Ndoa

Kataa Ndoa
 
Usifanye haraka mkuu! Mke wako Ana moja ya matatizo haya!
1: Ana jini mahaba( Tabia zote ulizozitaja jini mahaba akimwingia mwanamke lazima huyo mwanamke awe nazo) sio yeye mbali Ni Yule jini mahaba anamfanya hivyo, yeye mwenyewe hapendi Ila anajikuta anafanya hivyo, majini mahaba yameachisha ndoa nyingi sana mkuu, Kama unampenda usifanye haraka kumuacha ( dawa yake mpeleke kwenye kanisa la kiroho akaombewe, angalizo hapa usimpeleke kwa manqbii na mitume! Tafuta kanisa (TAG, full gospel, EAGT, FPCT,) atabadilika atakuwa mke mwema

2: mke atakuwa hakupendi, Kuna kitu alikupendea aidha pesa, Elimu, umaarufu, au Dawa, au kwa sababu ya kuolewa! Hapa yawezekana Hana mtu nje lakini ukweli hakupendi anaona Kama alikosea! Hili Ni tatizo linahitaji uvumilivu huku akiendelea kufundwa! Lakini pia mke wako unatakiwa uwe kichwa inaonekanq anakutawala! Haiwezekani Toka umuoe mmefqnya mapenzi Mara tano! Hiyo Mara tano wenzako Ni kwa wiki kwa ndoa ambayo Ina virutubisho vyote, maanake kwenye ndoa yako umeshindwa mahali kusimama Kama mme!! Mwanamke unatakiwa wiki zile za Kwanza za ndoa umuonyeshe wewe Ni Nani?unasex Mara ngapi kwa siku, wiki, mwezi! Unarudi saa ngapi, lakini ndo muda unapaswa kuwa mkali pia kwenye Mambo Kama Safari za kusalmia, kukaa kwa majirani, makundi, matumizi ya simu , mapishi, kupokea wageni nk! Ukifanikiwa kwenye miezi 3 ya mwanzo kumudhibiti kwenye maeneo hayo!! Lazima ataishi malengo yako, muongozo wako, nk! Maanake eneo hili mkuu ulizembea mno! Dawa yake Sasa Wala sio kumuacha! Kaa naye mwambie madhaifu yake yote akiishakubqli na kuomba msamaha! Hebu yafanye kipindi mwambie Sheria zako, zote likiwemo Hilo la mapenzi, kuwa atake asitake mtakuwa mnafanya mapenzi kwa wiki Mara Tano!! Hataki na wewe huna haja na msamaha wake( akiishakubqli wewe Sasa jiongeze sio lazima ufanye kweli Mara tano kwa wiki, unaweza fanya Mara mbili wiki nyingine Mara tatu, wiki nyingine Mara nne, wiki nyingine hata Mara sita)simama Kama mwanaume mkuu!! Ishi na mwanamke kwa akili, dawa sio kumuacha Kama kweli unampenda! Vinginevyo Kama unatafuta kifo!! Ninayo mengi mkuuu Ila kwa wengine ambao tunauzoefu na ndoa, fanyiq kazi hayo!! Kama una maswali ziada karibu inbox!
 
Wee mwana weeeee, unaweza kuwa Bora afu ukakutana na kimeo hata huo ubora wako usiwe na pa kuuonesha...
Mie dada yako nakushauri ukiingia kwenye ndoa jizime data, ndoa haihitaji matumizi ya akili kabisaaaa, ukiwa boya, bwege ndoa itadumu ushangae🤣🤣🤣🤣
Sasa jifanye mtu wa logic🤣🤣🤣
Mkuu point hii nimeielewa yaani Bora+Bora inakua bora zaidi, yaan uwe bora halafu una deal na kichaa huo ubora utaisha...... Hahaha Ronaldo aje kucheza Tanzania ubora atautoa wapi wachezaj wenzake wanawaza kuroga tu
 
Habari wakuu, mke wangu toka nimuoe sina chochote nachostahili kufanyiwa kama mume.

Heshima 0
Tabia 0
Kununa nuna A+

Kusex mpaka nianze mimi, nisipoanza ngoma 0-0 na since nioe mwezi wa 8 mwaka jana sijasex nae zaidi ya mara 5 na zote naanza mimi kudai penzi though no Mutual Connection.

Mke meseji ninamtumia saa 1 asubuhi kujibiwa saa 10 jioni. Since day 1 ya ndoa yangu sijapata raha yoyote ile zaidi ya karaha tu. Leo nimeamua kumtolea uvivu.

WAKUU TUSIKURUPUKE KUOA.

1. Mkeo ana tabia za kitoto, either ni last born au kwao amedekezwa sana, mvivu na hajui majukum yake.

2. Wew bado mvulana, umeshindwa kumnyoosha mkeo so anakuchukulia poa, hakuheshimu. Ongea kiume, huku sura ya kiume inaonekana, mwambie nin hutak na asipofuata aondoke.

3. Kuna ex wake waliachana kwaajili yako, so anampa kiburi

4. Umempata na kumuoa kwa kumbembeleza sana na kumnyenyekea nyenyekea hadi ukatoa machozi, so anakuendesha km punda ili ukome.

5. Mlioana kwa presha ya watu wa nje, either wazazi au kitu kingine, so mmekuja kuisha pamoja ile presha haipo na inabid mjenge upendo pamoja na imekuwa ngumu

6. Ni demu wa kupiga na kuacha wew ukaoa, so umejichanganya, vyuma vimeumana

Anyway, kula chuma hicho mkuu
 
Kikweli wanaume tunarogwa sana na wanawake ili tuwaoe. Mimi nishawafumania waliokuwa wananiroga na waliotaka kuniroga lakini wameshindwa [emoji28]


Na ndio maana ndoa nyingi wanaishi kimkandamkanda sababu ya namna ilivyoanzishwa ilikuwa Kwa ushirikina na uchawi.

Na hata baada ya kuoana wanawake kila mara wanaenda kuongezea uchawi kumroga Mwanaume.

Na ukienda kwa mchepuko ni hivyo hivyo kama unampa hela utarogwa tu labda awe yuko financially independent.
 
Na ndio maana ndoa nyingi wanaishi kimkandamkanda sababu ya namna ilivyoanzishwa ilikuwa Kwa ushirikina na uchawi.

Na hata baada ya kuoana wanawake kila mara wanaenda kuongezea uchawi kumroga Mwanaume.

Na ukienda kwa mchepuko ni hivyo hivyo kama unampa hela utarogwa tu labda awe yuko financially independent.
Uko sahihi sana mkuu kikweli wanaume tunarogwa sana
 
Tatizo upo mkoani. Unahadithia vitu usivyojijua.
Njoo huku mjini, alafu uwe na UHAKIKA utakayoonyeshwa ni Mzaramo na sio manka aliyelowea Dar.

I know my sisters...ndio maana Madera yanawapendeza!
Kwahio sikuhizi Ubungo iko Geita
 
Back
Top Bottom