Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,044
- 8,169
Pole sana huyo mkeo ana jini mahaba🙏huyo ndo wako ulomchagua ,usimwache ,pambana,ndoa ni vita🤣
NaaamHalafu akili yako kama yangu mwanamke akileta jeuri kwa mume ujuwe kuna mwamba huko anapeleka moto fireeee
Umeoa demu wa mwenzio rudisha huyo demu sokoni akadange apate mwanaune wa kumfurahia.Huyo anajutia kuwa na wewe ila wewe unafurahia kuwa na yeye na sababu hata wewe mwenyewe unaijua(income level yako).Mkuu inafikia hatua tuko chumbani yeye kununa tu.. nisipoanza mimi kuongea yeye atakaa zake kimya tu..aisee arrgh hapana kwa kweli
Ha ha ha ha ukiacha kisayansi kikawaida tu ukifungiwa ndani na Binti akiwa siku hatarishi ni sekunde tu. Mimi nilidhani huyo kijana alikuwa analala naye for leasure not for reproduction. Unajua ukioa mara nyingi mwanaume huwa na target ya kupata mtoto mapema. Sasa km MKE anampa penzi kwa manati shida hiyo.Nanukuu,
"Tano, hujatuambia km mna mtoto au la ili tujue tukushauri vipi. Km hamna mtoto Kuna shida hapo. Yani ulale na mwanamke mara tano akiwa bado mbichi akose mimba?"
Mkuu ki sayansi ni muda wa Mwaka mmoja miezi kumi na mbili ukifanya unprotected sex NDIO mnaweza Anza kuhisi Tatizo la Ugumba......
Ooh Polesana kaka,unaendeleaje?Mzima wewe? Mimi siko poa naumwa kidogo jana nilipata mshituko kwenye gari.
Kuoa mswahili ni kujitakia matatizoPole kwa changamoto hiyo mkuu. Wanawake wa Kizaramo kumpata anayejielewa ni hadimu yaani ni kama hawapo
Ilitokea tu. Kuna member mmoja kasema si muachane. Ndugu yangu ukiingia kwenye ndoa kwa kufuata sex ndo utamwacha mwanamke kwa sababu kakunyima sex. Ila kama umeingia kwenye ndoa kwenda kuabzisha familia, sex ni sehemu ndogo sana kwenye ndoa sababu ukitaka unaezapata popote mda wowowte. So mke wangu ananiheshim, ananipenda sana thats why hilo sio tatizo kwanguKwanini ivyo sasa tangu 2016 hadi leo 2023??
Mmh anakupenda sana na kukuheshimu ila hamna sex,,sasa sawa wewe unachepuka uko nje na yeye akiwa na hamu anamalizia wapi??Ilitokea tu. Kuna member mmoja kasema si muachane. Ndugu yangu ukiingia kwenye ndoa kwa kufuata sex ndo utamwacha mwanamke kwa sababu kakunyima sex. Ila kama umeingia kwenye ndoa kwenda kuabzisha familia, sex ni sehemu ndogo sana kwenye ndoa sababu ukitaka unaezapata popote mda wowowte. So mke wangu ananiheshim, ananipenda sana thats why hilo sio tatizo kwangu
Hawana adabu, washirikina, malaya, vinywa vichafu, gubu, akili zilizolala, majungu, fitinaKuoa mswahili ni kujitakia matatizo
Mkuu mkalishe chini, mwekeleze. Kwenye Ndoa ni kuvumiliana. Mfano mimi niko kwenye ndoa mwaka mmoja hadi sasa.Habari wakuu, mke wangu toka nimuoe sina chochote nachostahili kufanyiwa kama mume.
Heshima 0
Tabia 0
Kununa nuna A+
Kusex mpaka nianze mimi, nisipoanza ngoma 0-0 na since nioe mwezi wa 8 mwaka jana sijasex nae zaidi ya mara 5 na zote naanza mimi kudai penzi though no Mutual Connection.
Mke meseji ninamtumia saa 1 asubuhi kujibiwa saa 10 jioni. Since day 1 ya ndoa yangu sijapata raha yoyote ile zaidi ya karaha tu. Leo nimeamua kumtolea uvivu.
WAKUU TUSIKURUPUKE KUOA.
Wew tunakujua kataa Ndoa 😀Hawana adabu, washirikina, malaya, vinywa vichafu, gubu, akili zilizolala, majungu, fitina
Sio wa kuoa kabisa
Swali zuri sana akikujibu nitagMmh anakupenda sana na kukuheshimu ila hamna sex,,sasa sawa wewe unachepuka uko nje na yeye akiwa na hamu anamalizia wapi??
Si umeona ndoa ya mwanetu huyo 😅Wew tunakujua kataa Ndoa 😀
Swali zuri sana akikujibu nitaMmh anakupenda sana na kukuheshimu ila hamna sex,,sasa sawa wewe unachepuka uko nje na yeye akiwa na hamu anamalizia wapi??
🤣🤣🤣🤣🤣Wew tunakujua kataa Ndoa 😀
Habari wakuu, mke wangu toka nimuoe sina chochote nachostahili kufanyiwa kama mume.
Heshima 0
Tabia 0
Kununa nuna A+
Kusex mpaka nianze mimi, nisipoanza ngoma 0-0 na since nioe mwezi wa 8 mwaka jana sijasex nae zaidi ya mara 5 na zote naanza mimi kudai penzi though no Mutual Connection.
Mke meseji ninamtumia saa 1 asubuhi kujibiwa saa 10 jioni. Since day 1 ya ndoa yangu sijapata raha yoyote ile zaidi ya karaha tu. Leo nimeamua kumtolea uvivu.
WAKUU TUSIKURUPUKE KUOA.
Kibabe zaidi dahSometimes pia ondoka nyumbani lala nje mwezi mzima akipiga simu unawapa mademu wapokee wamtukane matusi makubwa