Wakuu, mke wangu nimemchoka

Wakuu, mke wangu nimemchoka

Kumbe eeh
Ndio unatakiwa umsome vizuri kwanza mwanaume wako kwa kuangalia weakness na strength zake hapa nazungumzia kwenye mahusiano kwanza alafu pima baada ya hapo jipime wewe ninaweza kuendana nae? Ndipo itakuwa mwanya wakujua je ananifaa kwenye ndoa? Sasa wanawake wengi wao ndio wanaitaka ndoa kuliko mwanaume wanaongozwa na hisia na kukimbizana na muda badala ya akili.
Unatakiwa ujipe muda wakumuangalia mpenzi kwa kuangalia vitu vya msingi kama mwanaume anavyo je ana sifa ya kuwa baba Bora ila nyie mnakimbilia ndoa ni Bora hata uchelewe kuolewa lakini upate mtu sahihi utakayeingia nae kwenye ndoa
 
Na
Unashangaa hyo mkuu..mie nliumwa sana..na kpnd hko ypo manzese kwa mzee wke..yaani hatupo mbali..ananijulia hali kwa meseji tu..sema sikumjibu hata moja..mpk bimkubwa akashangaa
[/QUO

SAS babu. Na wee unaoaje mke manzeze kumbe umeyataka mwenyewee pole
 
Tatizo ni nyie waoaji mnakurupuka sana. Changamoto zipo lakini wake wazuri pia wapo
Wala ata ujakosea upo sahihi kabisa ndoa ni masikizano uzuri umekubali Changamoto zipo ata Wake wazuri wanaofaham thamani ya ndoa wapo pia
 
Pole sana mkuu ndoa ni uvumilivu ila hapo kwenye ndoa mna miez 8 sex haizid 5 timez mhmhmhmh nna mtoto wa mtu hata miez 3 bado nshapiga sana hata kukuzid we aliyeko kwenye ndoa
 
Pole sana mkuu ndoa ni uvumilivu ila hapo kwenye ndoa mna miez 8 sex haizid 5 timez mhmhmhmh nna mtoto wa mtu hata miez 3 bado nshapiga sana hata kukuzid we aliyeko kwenye ndoa
Kumbe we dogo una zagamua sawa sawa.....

Ushaur wangu:

Tutaogopa kusaidia tafuta ID INGINE NDIO uitumie kuuonyesha umwamba wako coz reputation is Very TRUE.............
 
U uzi una like nyingi embu like na hapa #kataa Mfumo kataa doa
 
Kwanini mnajibizana kwenye simu? Wanandoa mnashindwa kukaa chini mkaongea? Mnaogopana?

Huo ni upwiru,
Tafuta siku ushinde nyumbani we na mkeo tu mpike mle kisha zagamuaneni kisawasawa baada ya ulete mrejesho
Kuna wanaume hawapendi kuongea na wake zao, na huenda huyo mke kuna vitu anavihitaji au havitaki sasa mme anajua ni kuichapa tu ilale [emoji23][emoji23][emoji23] ndoa ni changamoto wengine waume wanakimbia nyapu wengine wanazililia ha ha ha
 
Mtoe out fanya Kama junamuoa ndio unaanza kumtongoza WANAWAKE WANAPENDWA KUBEMBELEZWA , MA KUANDALIWA KISAIKOLOJIA pia huenda Ana mimba change...kabla ya kumuoa alifanyowa kichem party au ma'am ya jando? Malezi pia yanachangia wengine wanadhani jeuri na kununa ndio KURINGA....

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Habari wakuu, mke wangu toka nimuoe sina chochote nachostahili kufanyiwa kama mume.

Heshima 0
Tabia 0
Kununa nuna A+

Kusex mpaka nianze mimi, nisipoanza ngoma 0-0 na since nioe mwezi wa 8 mwaka jana sijasex nae zaidi ya mara 5 na zote naanza mimi kudai penzi though no Mutual Connection.

Mke meseji ninamtumia saa 1 asubuhi kujibiwa saa 10 jioni. Since day 1 ya ndoa yangu sijapata raha yoyote ile zaidi ya karaha tu. Leo nimeamua kumtolea uvivu.

WAKUU TUSIKURUPUKE KUOA.

Pole sana Baharia, hili nalo litapita
 
Kuna wanaume hawapendi kuongea na wake zao, na huenda huyo mke kuna vitu anavihitaji au havitaki sasa mme anajua ni kuichapa tu ilale [emoji23][emoji23][emoji23] ndoa ni changamoto wengine waume wanakimbia nyapu wengine wanazililia ha ha ha
Ni huzuni
 
Back
Top Bottom