Wakuu, mke wangu nimemchoka

Wakuu, mke wangu nimemchoka

Oya jombaa huyo mwanamke inaonekana mlimlazimisha ndoa. Yani aliolewa kwa kushinikizwa pasi na yeye kuridhia.

Au inawezekana aliridhia kuolewa na wewe ili amkomoe Ex wake wa zamani. Huku akiamini atakupenda wewe na utampa mapenzi zaidi ya aliyokua anayapata kwa bwana ake wa zamani.

Sasa kilichomkuta ni tofauti. Bado akili yake ipo kwa mpenzi wake wa kitambo na inawezekana jamaa kuna vitu amekuzidi. Binti kila akijaribu kumsahau inashindikana. Hiyo inapelekea kila akikuona anaona kero tu.

Inshort umeoa mke wa mtu bro na jamaa mda wowote akitaka kumgegeda mkeo anamla bila kipingamizi. Hizo ndio aina ya zile pisi ambazo unakuta umeshaachana nae kitambo na ameshaolewa zake huko lakini ukiipigia simu moja tu chupi yake imeloa miksa kumkandia mme wake huku akibembeleza muhuni umgegede.

Siku hizi wanawake wanapenda ndoa cha ajabu wanaingia katika ndoa wakiwa na wanaume wa ndoto zao kichwani. Sasa hua ni bahati pale ambapo mwanaume wa ndoto zake ni wewe ikiwa tofauti ni majanga na mateso matupu kama unayoyapitia wewe.

umeongea point[emoji119][emoji119]

Alafu wanawake na wanaume wanasahau hii kitu...

mwanamke kama hakupendi ni hakupendi tuu yani iyo haina maelezo eti ya atakupenda mbele ya safari hakuna icho kitu yani mwanamke hajaumbiwa kujifunza kumpenda mtuu tofauti na mwanaume

unakuta mwanaume anaweza ishi na mwanamke ambae hajampenda mwanzoni ila kadri siku zinaenda anajikuta anampenda ila mwanamke hana iyo asili aiseee
 
Oya unabet sana ndoshida, ilo jina lako nimekuvulia kofia [emoji23][emoji23][emoji23]
Kaka nlikuwa nakutafuta... hivi una connectio yoyote ya mwalimu kuhama kituo? Mke wangu wemempangia kazi mwisho wa dunia.. na mimi nataka nimlete mujini ninapoishi... ni PM tuyajenge
 
Sina experience ya ndoa, zaidi ya kuishi na mtu ndani zile pika pakua vaa na vua japo ni zama za giza kidogo, hivyo ushauri wangu unaweza usiwe relevant

Ila yote kwa yote, naona kuna umuhimu wa kuishi na mtu japo kidogo wakati bado unajitafuta kumuoa ili kumsoma na kukata shauri kama unajilipua au la

kabisaa umemaliza kila kitu[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
 
Mkuu aliniaga anaenda kwa baba ake kusalimia..kila siku kusalimia tu..mie namkubalia tu..na ndo maana tunachat sbb yupo kwa baba ake..tushakaa chini mkuu zaidi ya mara 30..ndo kwnz tabia inazidi kuwa mbaya tu..
[/QUOTE
Yah Mkuu..toka september mpk leo sijaona pochi nyoya..na yupo sawa kbsa wala hajali lolote kuhsu mimi..na inachosha mkuu kuwa mimi tu ndo nammisi yeye
Braza hapo na wewe unakosea...mda wote huo na mnaishi nyumba moja? Hapana aisee
 
Habari wakuu, mke wangu toka nimuoe sina chochote nachostahili kufanyiwa kama mume.

Heshima 0
Tabia 0
Kununa nuna A+

Kusex mpaka nianze mimi, nisipoanza ngoma 0-0 na since nioe mwezi wa 8 mwaka jana sijasex nae zaidi ya mara 5 na zote naanza mimi kudai penzi though no Mutual Connection.

Mke meseji ninamtumia saa 1 asubuhi kujibiwa saa 10 jioni. Since day 1 ya ndoa yangu sijapata raha yoyote ile zaidi ya karaha tu. Leo nimeamua kumtolea uvivu.

WAKUU TUSIKURUPUKE KUOA.

Mhindi anakuchanganya kwenye mikeka na mke tena?
 
Kwa maelezo yako uliyotoa, hiyo sio ndoa, usipoteze muda zaidi, she will never change, mpe talaka yake aondoke, nimekuonea huruma sana, acha kupoteza muda maisha mafupi sana
 
Zaramo..Na nishajaribu kuresolve kwa kureport kwa mshenga na wazazi pia ila bado yupo vle vle tu..Mwishowe nikaambiwa nimewatukana wazazi wake..Sasa nataka nifanye maamuzi bila kuripoti.
Mzaramo?. Pole!!
Ukioa mzaramo jua umeoa kundi la wanawake sio mke . Ni katika wanawake ambao hawasimami peke yao kimaamuzi hadi wawashirikishe shangazi zao dada zao n.k.
Wapo kama taasisi tu hakuna maamuzi ya mtu mmoja , hapo hupe unyumba ukute pini kapiga shangazi mtu.
 
Back
Top Bottom