Brain Kingdom
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 7,002
- 14,566
Kuoa ni kujifanya mbwa koko
Mapenzi mkuu..nilimpenda mno..Mby zaidi nilijua tu kua hana mapenz ya dhati nami..ila nilijipa moyo kua ktk ndoa mke atafata nayotaka mimi na pia tutazoeana tu..kumbe nilikua najidangny tu.Ilikuaje ukamuoa?
Mkuu ulimtongoza na kumuoa wewe mwenyewe au uliletewa?ndo naendelea nae hapa..mkuu ndoa yng ina vipengele mno..Mungu ndiye ajuae..mpk nashare nanyi ujue imenishinda.
[emoji625][emoji625]Marriage is not for everyone
Unaweza kuta umeoa mke wa baba yake. Chunguza kwa makini. Dunia iko kasi sana hii.Mkuu aliniaga anaenda kwa baba ake kusalimia..kila siku kusalimia tu..mie namkubalia tu..na ndo maana tunachat sbb yupo kwa baba ake..tushakaa chini mkuu zaidi ya mara 30..ndo kwnz tabia inazidi kuwa mbaya tu..
nilioa mwenyewe mkuu..sema hakua namna hii kama alivyo sasa hv..na niliamini atabdlk..Mkuu ulimtongoza na kumuoa wewe mwenyewe au uliletewa?
Story ya hyo mtoto ndo imetufny tuoane..yaani kabla ya ndoa ktk kufosi mazngr ya kusex..alikua mgumu mgumu sn..siku alipotoa tu mbususu ndo wazungu siku hyo hyo tumepata mtoto...Kiukweli wakuu nimefeli sana..Tabia niliijua lakn niliamini atabadilika tu..Na tuna mtt 1..sema wakuu ktk kuachana Mtoto atakaa nae yeye?au sheria inatakaje hapo.
Kiufupi ulikurupuka. PoleMapenzi mkuu..nilimpenda mno..Mby zaidi nilijua tu kua hana mapenz ya dhati nami..ila nilijipa moyo kua ktk ndoa mke atafata nayotaka mimi na pia tutazoeana tu..kumbe nilikua najidangny tu.
AhsanteKiufupi ulikurupuka. Pole
Tatizo ni nyie waoaji mnakurupuka sana. Changamoto zipo lakini wake wazuri pia wapoKiukweli ndoa za sasa ni pasua kichwa mno Wanawake wanajisahau sana sijui wapo driven na kitu gani aisee! Ndoa nyingi ni changamoto na zina maudhi ya kutosha anyway Mungu mwenyee asimame nasi
Kumbe eehWanawake wengi wanafeli kwenye sector ya relationship ndoa ni matokeo pale mtakapoanza kutumia akili badala hisia ndipo ndoa zenu zitakuwa nzuri
Men searching for authority and leadership.Habari wakuu, mke wangu toka nimuoe sina chochote nachostahili kufanyiwa kama mume.
Heshima 0
Tabia 0
Kununa nuna A+
Kusex mpaka nianze mimi, nisipoanza ngoma 0-0 na since nioe mwezi wa 8 mwaka jana sijasex nae zaidi ya mara 5 na zote naanza mimi kudai penzi though no Mutual Connection.
Mke meseji ninamtumia saa 1 asubuhi kujibiwa saa 10 jioni. Since day 1 ya ndoa yangu sijapata raha yoyote ile zaidi ya karaha tu. Leo nimeamua kumtolea uvivu.
WAKUU TUSIKURUPUKE KUOA.
Unataka kukaa na mtoto mdogo... obvious atakaa na mama akeNa tuna mtt 1..sema wakuu ktk kuachana Mtoto atakaa nae yeye?au sheria inatakaje hapo.
sawa mkuu..ahsanteUnataka kukaa na mtoto mdogo... obvious atakaa na mama ake
True! Hasara yake hapo mnaweza msiwe na mapenzi ile intimacy kubwaaa ila mkawa ni marafiki wakubwa sana na mnaojuana Vizuri na kuelewana, so mkiwa na nyege mnajikuta marafiki mnaotiana….. it works better.Ukitaka kukosa furaha na amani oa. Zaman wazazi wetu walikuwa na ndoa zenye furaha na Amani.
Binafsi simshauri mtu afunge ndoa kwa kujuana miezi kadhaa au Mwaka .
Waishi walau miaka 5 ndoa wafunge ndoa