Chief Wingia
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 2,863
- 5,095
Oya rikiboy huyu jamaa anajidai tu hapa atakua hana maajabu kwabed that's why manzi anamunakero tu.sasa binti wa watu mpaka anakuuliza akiondoka utaishijee?? yani wew ndo unataka aondoke ila yeye anatamani kubakii.. Kama ni suala la uchi ya mimi hata nikianza kuomba mimi mwaka mzima sioni shida maana kiukweli wanaume ndo tuna migenyee zaidi..