Anita Makirita
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 1,409
- 2,254
Mwache aende,unasema umemchoka wakati clearly yeye ndio kakuchoka...
Katika uislamu ndoa ni mjumuiko wa mahaba na rehema [sura ya 13 kama sikosei]. Mahaba kama hakuna inaruhusiwa ndoa kuvunjwa au mke kujivua kwenye ndoa kama alivyoamriwa Zaid bin Haarith kumtaliki Zaynab ambaye alitimiza haki zote za mke kwa mumewe lakini moyoni akawa hana mahaba kwa mume wake.Mkuu hta uchumba alikua ypo hvihvi..ila akanipromise nkimuoa atabdlka..ndo maana nasema nilikurupuka kuoa...na ktk ndoa nashangaa ndo zimezidi tabia mbovu..Na kuhsu Red Card mkuu ningeshaitoa toka siku 7 za mwanzo wanm ndoa yetu mwaka jana..maana aliyoyfny siyasahau kbs..
Usiamini maneno yanayotoka ktk kinywa cha mwanamke yeyote yule bali angalia matendo yake huwa hayadanyanyi.Mkuu najuta sana ktk maisha yangu..Mwanzo alikuwa hivi na alinipromise nikioa ataacha..nikamuamini..
Muslim.Katika uislamu ndoa ni mjumuiko wa mahaba na rehema [sura ya 13 kama sikosei]. Mahaba kama hakuna inaruhusiwa ndoa kuvunjwa au mke kujivua kwenye ndoa kama alivyoamriwa Zaid bin Haarith kumtaliki Zaynab ambaye alitimiza haki zote za mke kwa mumewe lakini moyoni akawa hana mahaba kwa mume wake.
Janga la leo haki unanyimwa na mahaba hakuna..,
Kama ukweli ni huo, hakuna haja ya kutaka ushauri, unaweza kuambiwa uendelee kuishi naye. Sasa inategemea umefunga ndoa ya dini gani na kanuni zikoje za talaka...
Sahihi mkuu..nimeFail sn..na Sjui kwann nliamini km atakua sawa nkishaoa.Usiamini maneno yanayotoka ktk kinywa cha mwanamke yeyote yule bali angalia matendo yake huwa hayadanyanyi.
Hamna ndoa hapo. Mke anaonekana ana kiburi. Mwanaume ukituma message hizo, mke hakupaswa kuendelea kujibu bali alipaswa kupiga simu hapo hapoKaka umeoa mmachame hahahaa joking
Kama hujawahi mkosea, usaliti, au conflict iliyopo kati yenu resolve. Myajenge.
Kama ulishawahi ongea nae bado habadiliki, then hizo chat iwe warning ya mwisho.
Asipo badilika kutoka hapo, mtolee vitu nje au mrudishe kwao
Ila hata siku moja dont let a woman disrespect you, uki allow atakuwa anakufanyia hivyo for the rest of your life
Amua sasa kusuka au kunyoa kwa kufikiri kwa kutumia kichwa na moyo. Ila kwa kitambo hicho cha miezi ndani ya ndoa kama ni mjamzito talaka hairuhusiwi kutolewa mpaka ajifungue.Muslim.
Hajielewi mkuukwann mkuu..mwandiko una nini
mwambie alete pisi hiyo mezani watu wamfundishie tabia ya mkeweKwanini mnajibizana kwenye simu? Wanandoa mnashindwa kukaa chini mkaongea? Mnaogopana?
Huo ni upwiru,
Tafuta siku ushinde nyumbani we na mkeo tu mpike mle kisha zagamuaneni kisawasawa baada ya ulete mrejesho
they all have childish mindsUmri wenu pls
hii iko nje ya mada ila mbona unachapa bado, haikatai😂
Machame ntakaa nao mbali sanani hatariKaka umeoa mmachame hahahaa joking
Kama hujawahi mkosea, usaliti, au conflict iliyopo kati yenu resolve. Myajenge.
Kama ulishawahi ongea nae bado habadiliki, then hizo chat iwe warning ya mwisho.
Asipo badilika kutoka hapo, mtolee vitu nje au mrudishe kwao
Ila hata siku moja dont let a woman disrespect you, uki allow atakuwa anakufanyia hivyo for the rest of your life
Halafu akili yako kama yangu😂 mwanamke akileta jeuri kwa mume ujuwe kuna mwamba huko anapeleka moto fireeeeUkweli mchungu ila yupo mtu wifi anaenjoy akiwa nae huko nje ya ndoa yao