Wakuu hapa kuna mimba?

Wakuu hapa kuna mimba?

Endelea kunisoma mkuu, maisha ya comments hayana uhalisia wangu kwa asilimia kubwa sana nna masikhara mengi sana ila uhalisia ni tofauti. Na ndio tabia za sisi Keyboard woria.
Basi ni vizuri kama wewe utakuwa ni "fake beta male" na sio "real beta male" kma ambavyo nimekuwa nikikuchukulia, japo kwa hii post yako ya leo inaonesha wewe nj real beta ndio maana huyo demu anakuchezea akili kwa kutaka ulee mimba fake.
 
Kabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.

Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.

22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.

Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuingia hedhi.

Pia naomba elimu kuhusu kalenda ya uzazi wa mpango.
View attachment 3315912

Uzi huu SIO CHAI

Umeweka uzi saa nane usiku sio mchezo stress zake 😂😂
 
Hana Mimba, Kwa maana kama aliaanza tare 22 inamaana alimaliza hedhi yake tare 27 .

Kuanzia tare 28 march mpaka tare 2 April Kuna siku sita ambazo ni safe, kuanzia tare 3 mpaka 13 ilikua ndio danger zone, 14 mpaka 19 safe, kwahio hedhi nyingine angeingia kuanzia tare 20/22. Angalia usiwe umepigwa.

Huu ufafanuzi ni hatari 😂😂
Half american usimsikilize huyu
 
Kabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.

Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.

22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.

Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuingia hedhi.

Pia naomba elimu kuhusu kalenda ya uzazi wa mpango.
View attachment 3315912
Huyo bibie aliishia la ngapi mpk asijue namna ya kutumia kalenda hata kama hawezi hapo si ana simu kubwa si apakue application ya period track hiyo ina track hadi dhambi

Mwambie a download my calendar itamsaidia kujua yupo siku gani.. huwa haidanganyi labda tu akosee mwenyewe kuweka taarifa ama mzunguko wake uwe haueleweki
Mimi yangu nimeiset kabisA inanileteaga notification nikiwa denger ama nikikaribia period

Mfano hiyo attachment hapo
 

Attachments

  • 2992CABD-1BED-4513-810A-91599BFC6012.jpeg
    2992CABD-1BED-4513-810A-91599BFC6012.jpeg
    43.9 KB · Views: 11
Kwahiyo hakuna matumaini ya yeye kuingia hedhi sio kwamba imechelewa tu? Kama n mimba mbona hamna dalili nyingine yeyote.
Sio kila mjamzito atatambua dalili za mimba kuwemo tena kama ni mara ya kwanza
Ila akiwa makini atagundua uwepo wa mimba siku 3 tu baada ya sex

Uhakika ni kununua kipimo cha buku apime
Mimba haipimwi kwa macho mkuu

Kingine inawezekana tu mvurugiko wa homon siku 4 tu mbona chache… wengine hadi miezi3 hola
 
Kwani wewe hofu yako ni nini!!,huyo si ni mkeo!!,,tulia, matokeo yoyote kubaliana nayo,usikimbie majukumu yako, maana kuanza kupendana hadi kukutana kimwili, sidhani kama hukujua matokeo yake!!
 
Kabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.

Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.

22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.

Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuingia hedhi.

Pia naomba elimu kuhusu kalenda ya uzazi wa mpango.
View attachment 3315912
Ikiwa mlilombana kati ya March 29 na April 6 au 7 uwezekano mkubwa imo😍🤾‍♂🤼‍♀👨‍👨‍👦👨‍❤️‍💋‍👨
 
Back
Top Bottom