Wakuu hapa kuna mimba?

Wakuu hapa kuna mimba?

Itunze kwa matumizi ya sasa na ya baadae.
Screenshot_20240302-130517.jpg
 
Mimba hyo kaka subri tu mda atakuambia dariri zingne..
Kama 22 march ndo alitokamo na ukalala nae tarehe 2. Tukipga mahexabu hapo zinalenga kweny siku za hatari.
Pia hongera unaenda kuitwa baba tena utapata mtoto wa kiume kutokana na kalenda inavosema.
 
Kabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.

Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.

22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.

Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuingia hedhi.

Pia naomba elimu kuhusu kalenda ya uzazi wa mpango.
View attachment 3315912
Chungulia hapa
 

Attachments

  • IMG_2032.jpeg
    IMG_2032.jpeg
    40.5 KB · Views: 11
Before Sex huw nauliza maswali mawili.

Moja huwa najiuliza mimi.. lingine namuuliza mhusika.

1. Je huyu naekulana nae, ikitokea la kutokea je anafaa kuwa Mke wangu? Je anafaa kuwa Mama wa Watoto/Mtoto wangu?.

2. Baby upo safe?

(Binafsi condom kwa kwel siziwezi)
😅, First question iko 💯,
Second question nashauri uadvance kidogo uwe unatembea na kipimo, it's for your own Health 😅
 
Wanawake wapi hao tena boss, mimba haijifichi, mke akinasa utagundua tu. Kabla vipimo vya nyumbani havijaja iligundulika sembuse sasa hivi unajipima nyumbani?
Nakuelewa boss inaonekana una elimu nzuri sana ya kijamii, ila kwa bahati mbaya sana kwenye suala la kuwatambua wanawake bado huko nyuma.

Ila naamini ipo siku utatambua kuwa so nice kwa wanawake kunafungua njia ya wao kukuchezea akili, na ndio maana nikakutaja wewe na mwenzio hapa, maana comments zenu huwa zinajionesha nyie ni wanaume wa aina gani.
 
Back
Top Bottom