Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,032
- 111,622
- Thread starter
- #21
Ngoja ningoje mpaka tarehe 28 nione kama hatoingia hedhi basi nitakubaliana nawe.Tayari
Ngoja ningoje mpaka tarehe 28 nione kama hatoingia hedhi basi nitakubaliana nawe.Tayari
Ikifika tarehe 28 itabidi akapime tujue uhalisiaJipe wiki nyingine, au mkapime
Hongera sana bro! Unaenda kuwa baba sasa.Kabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.
Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.
22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.
Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuingia hedhi.
Pia naomba elimu kuhusu kalenda ya uzazi wa mpango.
View attachment 3315912
kutokea hiyo tarehe 22 march Hadi 1 au 2 April ni siku km kumi 12 ivi kwa hiyo ni wazi kabisa shemeji kabeba mimba tiari kikubwa Fanya maamuzi yako mwenyewe!Kabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.
Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.
22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.
Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuingia hedhi.
Pia naomba elimu kuhusu kalenda ya uzazi wa mpango.
View attachment 3315912
Hizi hongera nikizipokea na sijathibitisha kama n hivyo ntakuwa nakosea wakuu.Hongera mzee. Dalili zingine utaanza kuona au kusikia akizisema kadri siku zinavyosonga.
ushawaza jina hata kabla haijajulikana n mimba?Sema tukutafutie jina la mtoto ama umeshaandaa yakwako...?
Mbona inaeleweka mkuu tulikutana kimwili bila kinga.Mkuu apo kwenye maelezo unasema mlikutana izo tarehe,lakini haujaeleza mlikutana kufanya nini?embu fafanua vizuri mkuu!mlikutana kufanya nini??
Hongera ntapokea nikithibitisha kuwa n ujauzito kweliHongera sana bro! Unaenda kuwa baba sasa.
Kama ni mimba maamuzi ni kuyakubali majukumu tu hakuna namna nyingine.kutokea hiyo tarehe 22 march Hadi 1 au 2 April ni siku km kumi 12 ivi kwa hiyo ni wazi kabisa shemeji kabeba mimba tiari kikubwa Fanya maamuzi yako mwenyewe!
Mwenyewe nahisi hivyo pia ni hofu yake tu.Hana Mimba,
22 march ilikuwa trh yake ya kwnz sio ya mwisho! soma vzr mbona unahaaka kiongozi au basiiii tuKama March 22 ndio ilikua tarehe yake ya mwisho ya period na mkakutana tarehe 1 ama 2, maana yake mmekutana nae siku ya 14 ama 15 baada ya period, hapa likelihood ama chances ya kupata mimba zaidi ya 90%.
Hongera sana baba kijacho.
Jina tu mpaka na namna mtakavyokuwa mnahangaika akilia usiku watoto wakiamua leo hamlali ni hamlali kweli!.ushawaza jina hata kabla haijajulikana n mimba?
Ni keshokutwa jumatatu, utupe mrejesho kina aunt tuandae nepiIkifika tarehe 28 itabidi akapime tujue uhalisia
ujui kukutana ndio game tyr FT mimi nilikuwaga sijui dada zetu hawana noma kabisa ukimwambia mkutane anakuja full ni wewe tu kujaribu mashuti ya mbaliMkuu apo kwenye maelezo unasema mlikutana izo tarehe,lakini haujaeleza mlikutana kufanya nini?embu fafanua vizuri mkuu!mlikutana kufanya nini??
Nepi zanini sidhani kama ni mimba hiyo.Ni keshokutwa jumatatu, utupe mrejesho kina aunt tuandae nepi
😂 usinitishe mkuu mbona mimi sikuwa nafanya hivyo.Jina tu mpaka na namna mtakavyokuwa mnahangaika akilia usiku watoto wakiamua leo hamlali ni hamlali kweli!.
ukija kulala we muda wa kazini umefika hiyo ndo inatwa utamu utamuni!.. Halafu ukirudi anakupokea kwa tabasamu anajua baba imerudi naleo naisumbua hii mutu mpaka ikome...🤣
Naona hutaki kuwa baba kijaNepi zanini sidhani kama ni mimba hiyo.
mimba ipo tena mtoto wa kike 80%Hongera ntapokea nikithibitisha kuwa n ujauzito kweli
Kama ni mimba maamuzi ni kuyakubali majukumu tu hakuna namna nyingine.
Mwenyewe nahisi hivyo pia ni hofu yake tu.
Asante kwa ufafanuzi mkuu, hedhi yake n siku 4 inakoma.27
Hana Mimba, Kwa maana kama aliaanza tare 22 inamaana alimaliza hedhi yake tare 27 .
Kuanzia tare 28 march mpaka tare 2 April Kuna siku sita ambazo ni safe, kuanzia tare 3 mpaka 13 ilikua ndio danger zone, 14 mpaka 19 safe, kwahio hedhi nyingine angeingia kuanzia tare 20/22. Angalia usiwe umepigwa.
Note: lakini pia inawezekana binti kuingia hedhi mara mbili kabla ya siku 24-28. Kama ana matatizo ya hormones imbalance.
Mimi sio daktari nazungumza kulingana na uzoefu wangu tu.