Wakuu hapa kuna mimba?

Wakuu hapa kuna mimba?

Hakuna mbinu zaidi ya zile pesa ulizokuwa unakula bata hovyo hovyo kuziwekeza kwa kijacho anaekuja.
Siku hizi mambo ya uzazi yamekuwa mengi so muda wa kujifungua ukifika hakikisha unakibunda cha maana usije kutia huruma.
Kibunda cha maana ndio kama kiasi gani mkuu haya ndio mambo nayotamani kujua.
 
Kabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.

Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.

22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.

Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuingia hedhi.

Pia naomba elimu kuhusu kalenda ya uzazi wa mpango.
View attachment 3315912
We unataka au hutaki?
Tuanzie hapo kwanza ili tujue aina ya ushauri unaokustahili.
 
Kwani wewe hofu yako ni nini!!,huyo si ni mkeo!!,,tulia, matokeo yoyote kubaliana nayo,usikimbie majukumu yako, maana kuanza kupendana hadi kukutana kimwili, sidhani kama hukujua matokeo yake!!
Bado sio mke wangu ila tunapendana, siwezi kimbia majukumu mkuu.
 
Kabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.

Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.

22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.

Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuingia hedhi.

Pia naomba elimu kuhusu kalenda ya uzazi wa mpango.
View attachment 3315912
Jiandae tu kulea muzee ulivo kua unapewa PENZI MOTOMOTO ulitegemea nn??
 
Back
Top Bottom