Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,091
- 111,698
- Thread starter
- #181
Huyu n shemeji/wifi yenu labda azingue yeye.Hongera baba kijacho kwa kutuongezea masingle mother mtaan
Huyu n shemeji/wifi yenu labda azingue yeye.Hongera baba kijacho kwa kutuongezea masingle mother mtaan
umuoe sasaHuyu n shemeji/wifi yenu labda azingue yeye.
Kibunda cha maana ndio kama kiasi gani mkuu haya ndio mambo nayotamani kujua.Hakuna mbinu zaidi ya zile pesa ulizokuwa unakula bata hovyo hovyo kuziwekeza kwa kijacho anaekuja.
Siku hizi mambo ya uzazi yamekuwa mengi so muda wa kujifungua ukifika hakikisha unakibunda cha maana usije kutia huruma.
Tuombe uzima tuumuoe sasa
We unataka au hutaki?Kabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.
Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.
22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.
Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuingia hedhi.
Pia naomba elimu kuhusu kalenda ya uzazi wa mpango.
View attachment 3315912
😂 bila gwandaShabash! Hivyo ndivyo mbususu inaliwa mwanawane. 😍😍😍😍
Binafsi nataka na nakubaliana na loloteWe unataka au hutaki?
Tuanzie hapo kwanza ili tujue aina ya ushauri unaokustahili.
umekosea kukomentAngalia isijekuwa yako
Maana ya hayo majina? Wako anaitwa Gian/Gianna?Akiwa wa kiume muite Gian wakike Gianna kila la kheri baba kijacho incase wakawa mapacha majina yanajitosheleza
Bado sio mke wangu ila tunapendana, siwezi kimbia majukumu mkuu.Kwani wewe hofu yako ni nini!!,huyo si ni mkeo!!,,tulia, matokeo yoyote kubaliana nayo,usikimbie majukumu yako, maana kuanza kupendana hadi kukutana kimwili, sidhani kama hukujua matokeo yake!!
Kama itakuwa mimba kweliWe 2029 jiandae kulipa ada usilete siasa hapa
Jiandae tu kulea muzee ulivo kua unapewa PENZI MOTOMOTO ulitegemea nn??Kabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.
Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.
22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.
Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuingia hedhi.
Pia naomba elimu kuhusu kalenda ya uzazi wa mpango.
View attachment 3315912
😂 msinitishe wakuuNakuhurumia,pampas zimepanda bei mno
Hongera ni baadae ntazipokea kama itathibitika kuwa n mimbaHongera sana.
Leo ndio nmeelewa hili dudeItunze kwa matumizi ya sasa na ya baadae.View attachment 3316061
😂 we umeona hapo tu mkuuHayo ndio matokeo ya Am waiting for penzi moto moto
Ni shemeji yakokwa style hii umasikini tutaukimbia kweli?
au ni mkeo?
Hakuna namna ni kuyabeba majukumuJiandae tu kulea muzee ulivo kua unapewa PENZI MOTOMOTO ulitegemea nn??
Hongera bado sizipokei mkuu