Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,075
- 111,673
- Thread starter
- #101
Aletwi mtuMlete nimwangalie kama mimba ipo au laah
Aletwi mtuMlete nimwangalie kama mimba ipo au laah
SafiNgoja nihakikishe kama ni hivyo
Endelea kunisoma mkuu, maisha ya comments hayana uhalisia wangu kwa asilimia kubwa sana nna masikhara mengi sana ila uhalisia ni tofauti. Na ndio tabia za sisi Keyboard woria.Half american kwa comments zako humu ninavyokusomaga wewe na mwenzako Tsh ni aina ya wanaume ambao huwa mnachezewa sana akili na wanawake.
Usijekuwa ulijaribu wake za watu huko maana huyo bado hatujathibitishaTamu hiyo balaaa
😅😅😅😅, mkuu ni kale kamchepuko, kale ka siku ile mke awe ameshika simu yako wakati mnakula msosi, na ukamaliza msosi ndani ya sekunde tano 😳😳😳??Kabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.
Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.
22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.
Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuingia hedhi.
Pia naomba elimu kuhusu kalenda ya uzazi wa mpango.
View attachment 3315912
Mi sijajaribu tu kwa mpalange ila mengineyo mengi tayari.Usijekuwa ulijaribu wake za watu huko maana huyo bado hatujathibitisha
Wanawake wapi hao tena boss, mimba haijifichi, mke akinasa utagundua tu. Kabla vipimo vya nyumbani havijaja iligundulika sembuse sasa hivi unajipima nyumbani?Half american kwa comments zako humu ninavyokusomaga wewe na mwenzako Tsh ni aina ya wanaume ambao huwa mnachezewa sana akili na wanawake.
Huyo sio mchepuko, huyo ndio mamtu mwenyewe, kuchepuka nishaacha mkuu.😅😅😅😅, mkuu ni kale kamchepuko, kale ka siku ile mke awe ameshika simu yako wakati mnakula msosi, na ukimaliza msosi ndani ya sekunde tano 😳😳😳??
👿Anasema "iliingia then mkakutana tena"
Mpeleke mama mwenye nyumba hospital mkuu , mambo yamesha iva huko 😋😋😋Huyo sio mchepuko, huyo ndio mamtu mwenyewe, kuchepuka nishaacha mkuu.
Sawa mkuu 🤗Tundu lisu tena😂
Jina lipo tena zuri litaanza na A
Kesho kutwa nitampeleka nitaleta mrejesho kama yaliyomo yamoMpeleke mama mwenye nyumba hospital mkuu , mambo yamesha iva huko 😋😋😋
Mnavyonifurahia nimependa 😅Sawa mkuu 🤗
Mnipe mbinu mapema ili mambo yaende sawa.Hongera Baba kijacho jiandane na Bei za makopo ya latto na pampas
kama ipo ntahakikisha haitoi huyo ndio rais ajaeHongera mkuu, hakikisha hatoi hio mimba.
😂 imebidi tu nicheke uchonganishi tu kutwa kucha.Shem shem binti kiziwi sema yarabi tunusuru😂😂