Wakuu hapa kuna mimba?

Wakuu hapa kuna mimba?

Ikiwa mlilombana kati ya March 29 na April 6 au 7 uwezekano mkubwa imo😍🤾‍♂🤼‍♀👨‍👨‍👦👨‍❤️‍💋‍👨
Mkuu mpaka sasa bado hedhi imegoma kuonekana alafu analala lala sana sijui ndio kweli ni mimba.
 
Sio kila mjamzito atatambua dalili za mimba kuwemo tena kama ni mara ya kwanza
Ila akiwa makini atagundua uwepo wa mimba siku 3 tu baada ya sex

Uhakika ni kununua kipimo cha buku apime
Mimba haipimwi kwa macho mkuu

Kingine inawezekana tu mvurugiko wa homon siku 4 tu mbona chache… wengine hadi miezi3 hola
J3 atapima kama bado
 
Huyo bibie aliishia la ngapi mpk asijue namna ya kutumia kalenda hata kama hawezi hapo si ana simu kubwa si apakue application ya period track hiyo ina track hadi dhambi

Mwambie a download my calendar itamsaidia kujua yupo siku gani.. huwa haidanganyi labda tu akosee mwenyewe kuweka taarifa ama mzunguko wake uwe haueleweki
Mimi yangu nimeiset kabisA inanileteaga notification nikiwa denger ama nikikaribia period

Mfano hiyo attachment hapo
Unapenda kipindi wewe
 
Basi ni vizuri kama wewe utakuwa ni "fake beta male" na sio "real beta male" kma ambavyo nimekuwa nikikuchukulia, japo kwa hii post yako ya leo inaonesha wewe nj real beta ndio maana huyo demu anakuchezea akili kwa kutaka ulee mimba fake.
Huo mchezo hawezi mkuu na akiweza sio kwangu, huyu n ke wa malengo mkuu sio wa kupita ndio maana niliuza mechi, huwa siuzi mechi.
 
Before Sex huw nauliza maswali mawili.

Moja huwa najiuliza mimi.. lingine namuuliza mhusika.

1. Je huyu naekulana nae, ikitokea la kutokea je anafaa kuwa Mke wangu? Je anafaa kuwa Mama wa Watoto/Mtoto wangu?.

2. Baby upo safe?

(Binafsi condom kwa kwel siziwezi)
Huyu nipo tayari kwa lolote ndio maana condom nilitumia tu round ya kwanza.
 
Mimba hyo kaka subri tu mda atakuambia dariri zingne..
Kama 22 march ndo alitokamo na ukalala nae tarehe 2. Tukipga mahexabu hapo zinalenga kweny siku za hatari.
Pia hongera unaenda kuitwa baba tena utapata mtoto wa kiume kutokana na kalenda inavosema.
Asante mkuu
 
Kwa kuwa umeuliza ukiwa serious mkuu Hebu tufanya hapa ni kama sehemu ya kuchukua majibu/ushauri wa ziada ila anza na kutafuta majibu kwa kuuliza kwenye search engines mbalimbali
Nmefanya hivyo mkuu nimeanza kuelewa inawezekana ni mimba.
 
Back
Top Bottom