Wakuu hapa kuna mimba?

Wakuu hapa kuna mimba?

Kivipi mkuu sijakuelewa unamaanisha kuna muda ambao sio sahihi kupima?

Muda mzuri ni asubuhi mkojo wa kwanza. Na sababu yake kubwa ni hii👇👇👇👇👇👇👇👇

The most convenient time to take a pregnancy test is typically in the morning, using your first urine of the day. This is because the hormone hCG (human chorionic gonadotropin), which pregnancy tests detect, is usually more concentrated in the morning. However, you can still get accurate results at other times of the day, especially with modern, highly sensitive tests.
 
Muda mzuri ni asubuhi mkojo wa kwanza. Na sababu yake kubwa ni hii👇👇👇👇👇👇👇👇

The most convenient time to take a pregnancy test is typically in the morning, using your first urine of the day. This is because the hormone hCG (human chorionic gonadotropin), which pregnancy tests detect, is usually more concentrated in the morning. However, you can still get accurate results at other times of the day, especially with modern, highly sensitive tests.
Sikuwa nnafahamu hili basi itabidi afanye vipimo muda huo wa asubuhi.
 
Mara moja tu ila leo nikitoka kibaruani nataka apime tena.
Hem tulia.

Umepanick.mno.
Tuliza kichwa.

Kama mimba ipo ipo tu.
Kama haipo haipo.

Yani umepanick utafkr mimba ni hukumu ya kifo..relaaaaax.
Kwanza unapaswa kumshukuru Mungu angalau una hizi worries..
Ipokee as a blessing.
Hii panicking unayoonesha hapa kwenye thread Kama ndo unamuonesha huyo mwenzio, unazidi kuharibu.

Tuliiiiza kichwa.
Ndio Uanaume
 
Hem tulia.

Umepanick.mno.
Tuliza kichwa.

Kama mimba ipo ipo tu.
Kama haipo haipo.

Yani umepanick utafkr mimba ni hukumu ya kifo..relaaaaax.
Kwanza unapaswa kumshukuru Mungu angalau una hizi worries..
Ipokee as a blessing.
Hii panicking unayoonesha hapa kwenye thread Kama ndo unamuonesha huyo mwenzio, unazidi kuharibu.

Tuliiiiza kichwa.
Ndio Uanaume
Binafsi sina hofu yeyote mkuu nipo tayari kwa lolote
 
Kabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.

Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.

22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.

Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuingia hedhi.

Pia naomba elimu kuhusu kalenda ya uzazi wa mpango.
View attachment 3315912
Hongera kwa kutengeneza mtoto, bora wewe kuliko mwenzio Jux asiye na uwezo wa kushikisha mimba wanawake kutwa kucha kuvaa hereni na lipstick tu kushindana nao.
 
Back
Top Bottom