Kulea ntalea kama ni mimba, bado hakijaeleweka, kipimo kilionesha hakuna mimba ila hedhi bado, mpaka aingie hedhi ndio nitajua lipi ni lipi.Wait for kulea moto moto
Hadi sasa hedhi bado?Kulea ntalea kama ni mimba, bado hakijaeleweka, kipimo kilionesha hakuna mimba ila hedhi bado, mpaka aingie hedhi ndio nitajua lipi ni lipi.
Tupo hovresi sana.
Bado mkuuHadi sasa hedhi bado?
Tukio ganiLazima upigwe tukio mwaka huu, we cheza wakina Asha Ngedere tu
Umepima mara ngapi "pregnancy test"Bado mkuu
Mara moja tu ila leo nikitoka kibaruani nataka apime tena.Umepima mara ngapi "pregnancy test"
shem au wifi? muache wifi yako ntamfundisha kuandika.Mzungu pori anakua baba kija kwa miezi 9 ijayo,
Afu hicho kijusi ni mtoto wa kike, ila shem uandishi wake ni changamoto.
😂😂😂😂
Hivi haina muda maalumu wa kupima.Mara moja tu ila leo nikitoka kibaruani nataka apime tena.
Kivipi mkuu sijakuelewa unamaanisha kuna muda ambao sio sahihi kupima?Hivi haina muda maalumu wa kupima.
Wizoo ana Elimu gani? Au ndo la 7 B 😂😂😂😂😂shem au wifi? muache wifi yako ntamfundisha kuandika.
Bado haijawa mimba
Kihasibu hii imekaaje ?...🤣🤣🤣Kuikojolea ufanye wewe, kazi ya kuhesabu tarehe tufanye sisi.
Elimu yake yanini, la 7B si ndio wenyewe. We elewa tu analo kiasi fulaniWizoo ana Elimu gani? Au ndo la 7 B 😂😂😂😂😂
Mzungu koko kumbe wasomi unawaogopa, unaparamia goi goi ili uwaburute,Elimu yake yanini, la 7B si ndio wenyewe. We elewa tu analo kiasi fulani
Mimi sijawai ogopa ke, huyu ni msomi sipendi tu kumuelezea sana humu.Mzungu koko kumbe wasomi unawaogopa, unaparamia goi goi ili uwaburute,
😂😂😂😂
Uongooo.Mimi sijawai ogopa ke, huyu ni msomi sipendi tu kumuelezea sana humu.
.........muijaze dunia🤣🤣Kila la heri
Majibu yakaje tunayoyataka sisi...sio wewe,Amen!! 😂
Wadau mnataka kijana wenu nianze kuwekewa miguu mdomoni na mtoto.