Wakuu hapa kuna mimba?

Wakuu hapa kuna mimba?

Jiandae kuchukiwa maana mimba zina kisirani chake, wengi wamekuwa single mama sababu akipata mimba anamchukia sana baba kijacho mara anampenda so kama una hasira unamkataa mazima
Hivi huwa n kwanini
 
Kabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo.

Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili.

22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april tulikutana.

Je kuna uwezekano amepata mimba au ni kuchelewa tu kwa hedhi? Hana dalili nyingine yeyote ya mimba ukitoa hiyo ya kuchelewa kuingia hedhi.

Pia naomba elimu kuhusu kalenda ya uzazi wa mpango.
View attachment 3315912
Manamiaka mingapi?
 
Kama March 22 ndio ilikua tarehe yake ya mwisho ya period na mkakutana tarehe 1 ama 2, maana yake mmekutana nae siku ya 14 ama 15 baada ya period, hapa likelihood ama chances ya kupata mimba zaidi ya 90%.

Hongera sana baba kijacho.
Tena ka baby girl kama alipiga cha mende, kama alipiga doggy cha kwanza kuna possibility ya dume
 
Back
Top Bottom