RoDrick RaY
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 1,490
- 2,105
makatiko unayataka ila mimba unawaza, tumia kondom kwa afya yako na umpendae.
lina maana gani hilo jirani.Baba kijacho 😹
Mtoto akiwa wa kike aitwe Lamomy..!!
Yani wakati wenzenu tunajadili “No reforms, no election” nyie mnapeana penzi moto moto kweli? 😹
Dukani kwako wapi mkuuHongera sana kuwa Baba Kijacho 🤗
Anza kuulizia bei ya Diapers, mafuta ya Nazi, Kitanda cha mtoto, na vikopo vya kunyonyea
Hapa dukani kwangu, huwa naviuza Kwa bei nafuu sana 😜
Haipo hivyo mkuudah pole asee umempa mimba mtu ulie plani kula na kwenda 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nipo huku katavi mkuu huduma zipo mbali mno.Hakuna haja ya kusumbua watu hapa,ongozana tu na mwenzako mukapime, au unaishi mbali na hospital mkuu?
kaka juma jux Mungu atamjalia uwezo nae aitwe babaHongera kwa kutengeneza mtoto, bora wewe kuliko mwenzio Jux asiye na uwezo wa kushikisha mimba wanawake kutwa kucha kuvaa hereni na lipstick tu kushindana nao.
Sipokei wala sikatai hongera mkuu.Hongera sana mkuu
makatiko unayataka ila mimba unawaza, tumia kondom kwa afya yako na umpendae.
Si unajua baada ya kulipwa kiinua mgongo changu, Babu yenu niliamua kufungua duka la vifaa vya watotoDukani kwako wapi mkuu
Ni hapo 26 life sio 😂Si unajua baada ya kulipwa kiinua mgongo changu, Babu yenu niliamua kufungua duka la vifaa vya watoto
Pitia Kinondoni studio utaniona nikiuza 😜
Hahaha............. mbona unataka kuwapa code zangu akina MuriloNi hapo 26 life sio 😂
Kwani unakwepa kodi hadi uhofie iloHahaha............. mbona unataka kuwapa code zangu akina Murilo
Hujui nimetumia pension yangu yote kufungua hili duka 😜
Bila kukwepa Kodi, huwezi kutoboaKwani unakwepa kodi hadi uhofie ilo
Basi wanakuja watoza ushuruBila kukwepa Kodi, huwezi kutoboa
Imagine hapa nilipo nalipa Kodi zaidi ya 5 ikiwemo Kodi ya fremu 🤗
Ngoja nifunge biashara tu, hao watoza Ushuru ni wasumbufu tangu enzi za Zakayo 🤗Basi wanakuja watoza ushuru
hao tangu enzi za yusufu wapoNgoja nifunge biashara tu, hao watoza Ushuru ni wasumbufu tangu enzi za Zakayo 🤗
Piga hesabu vizuriKama March 22 ndio ilikua tarehe yake ya mwisho ya period na mkakutana tarehe 1 ama 2, maana yake mmekutana nae siku ya 14 ama 15 baada ya period, hapa likelihood ama chances ya kupata mimba zaidi ya 90%.
Hongera sana baba kijacho.