KUSUKA NYWELE hapo watakwambia wanavaa MAWIGI1 Timotheo 2 :9
Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani.
Acha kuwaangalia. West african wanasema dont mind them🤣🤣🤣vishati vya kufanya Vifua kuachwa wazi kuonyesha matiti ishakuwa fashen
Suruali za za kubana kuchoresha makalio, hips na mapaja
Magauni nayo pia yamekuwa ya kubana kuchoresha makalio na hips
Alisikika Wakili wa shetaniYaani mavazi ya Mashariki ya kati ndiyo kujisitiri? Wayahudi na Waarabu walivaa kanzu sababu ya joto. Walifunika nywele wanawake kwa waume sababu ya vumbi kali. Si mchezo kudeal na vumbi kama una nywele ndefu. Turudie asili yetu waafrika kuvaa nusu uchi.
Kwa tamaa zao wangebanduana hata misikitini, hvy wakaona yanini.! ni bora kuwatenganishaKama kweli kumtamani mwanamke nisawa na kuzini nae, basi 80% ya wanaume ambao huenda kanisani huzini kwasababu ya mavazi ya wanawake wa kileo makanisani. Poleni sana wanaume wa kikristo kwa majaribu mnayopitia huko makanisani
Hongereni waislamu kwa kuamua kutenganisha wanaume na wanawake wakati wa kuswali na kuabudu misikitini na hata majumbani, hakika mliona mbali sana.
Hayo ni ya Dunia.vishati vya kufanya Vifua kuachwa wazi kuonyesha matiti ishakuwa fashen
Suruali za za kubana kuchoresha makalio, hips na mapaja
Magauni nayo pia yamekuwa ya kubana kuchoresha makalio na hips
Kama umeona watawa wanavyovaa, basi pengine ndio jinsi wanawake wanavyopaswa kuvaa.vishati vya kufanya Vifua kuachwa wazi kuonyesha matiti ishakuwa fashen
Suruali za za kubana kuchoresha makalio, hips na mapaja
Magauni nayo pia yamekuwa ya kubana kuchoresha makalio na hips
Mkuu tofautisha mkristo na mkristo mshika dini hata upande wa pili wapo wenye sifa ulizotaja lakini nao ni wa huko, ukimkuta mkristo mshika dini huwezi kumkuta amevaa nguo isiyo na stara hata siku moja ukimkuta mtu wa upande wa pili hajashika dini utashangaa alivyovaa hivyo usimjaji mtu kutokana na mavazi kuwa upande huu hauna maadili nevervishati vya kufanya Vifua kuachwa wazi kuonyesha matiti ishakuwa fashen
Suruali za za kubana kuchoresha makalio, hips na mapaja
Magauni nayo pia yamekuwa ya kubana kuchoresha makalio na hips