Ni dhambi katika uislam kuvaa mavazi yasiyositiri, Ukristo unaruhusu mtu kuvaa atakavyo, kinachoangaliwa ni roho sio mavazi, karibuni ukristoni

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,034
Dunia inaenda kwa fasheni waislam wamekalia tu mavazi ya zamani,

wapo mabinti wa kiislam wanaiga wenzao wakristo kuvaa vipensi, vimini, suruali, magauni ya kubana, n.k. ila kufanya hivyo ni kumkashifu Mungu katika uislam, shida yote ya nini hii wakati wanaweza kuhamia ukristoni kuvaa watakavyo bila kuwa na hatia ya dhambi ?

Ukristo una raha yake bwana, binti kuvaa kiguo mbele ya baba akikaa mapaja yapo wazi ni fashen na wala sio dhambi, mama kavaa kipensi kinaishia mapajani yupo matembezini na mwanae ni ruksa ukristoni wala sio dhambi.

Hata Makanisani mabinti wapo huru kuvaa watakavyo, enzi hizo kulikuwa na kaushamba ka kuvalisha kanga wanaoingia wamevaa suriali ama sketi fupi ila siku hizi wakristo tumepevuka kiakili tunaenda na fasheni, kwa sasa mtindo unaotamba ni magauni yanayobana na kuchoresha hips, kifua, nyuma na mapaja, na wala halipo tatizo.

Mambo ya agano la kale yalishapitwa na wakati hayana nafasi, agano la kalr lilisisitiza kuvaa kwa kujisitiri, agano la kale lilikataza pombe, agano la kale lilikataza kula punda na mguruwe, agano la kale lilikataza kuchonga nywele na ndevu, agano la kale lilikataza kuvaa hereni, ....hivi vitu vyote vinaruhusiwa kwa sasa
 
Dini zote mbili zimeanzia mashariki ya Kati , mavazi wanayovaa waislamu ndo mavazi sahihi Kwa dini zote mbili , wavaa nusu uchi wote ni mashetani waliojivika vazi la kidini , mana inaeleweka wazi wavaa nusu uchi ni wafanya biashara ya ngono , katika mazingira yyte yale
 
Dunia inaenda kwa fasheni waislam wamekalia tu mavazi ya zamani,

wapo mabinti wa kiislam wanaiga wenzao wakristo kuvaa vipensi, vimini, suruali, magauni ya kubana, n.k. ila kufanya hivyo ni kumkashifu Mungu katika uislam, ni heri wahame dini wake ukristoni wawe huru.

Ukristo una raha yake bwana, binti kuvaa kiguo mbele ya baba akikaa mapaja yapo wazi ni fashen na wala sio dhambi, mama kavaa kipensi kinaishia mapajani yupo matembezini na mwanae ni ruksa ukristoni wala sio dhambi.

Hata Makanisani mabinti wapo huru kuvaa watakavyo, enzi hizo kulikuwa na kaushamba ka kuvalisha kanga wanaoingia wamevaa suriali ama sketi fupi ila siku hizi tumekuwa wajanja tunaenda na fasheni, kwa sasa mtindo unaotamba ni magauni yanayobana na kuchoresha hips, kifua, nyuma na mapaja, na wala halipo tatizo.
Maandiko matakatifu yanayokubaliwa na Ukristo yanaunga mkono mavazi ya kusitiri.

Imeandikwa:
Mithali 7:10
[10]Na tazama, mwanamke akamkuta,
Ana mavazi ya kikahaba, mwerevu wa moyo;
And, behold, there met him a woman with the attire of an harlot, and subtil of heart.

Na tena:
1 Timotheo 2:9
[9]Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;
In like manner also, that women adorn themselves in modest apparel, with shamefacedness and sobriety; not with broided hair, or gold, or pearls, or costly array;

Na tena:
Kumbukumbu la Torati 22:5
[5]Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako.
The woman shall not wear that which pertaineth unto a man, neither shall a man put on a woman's garment: for all that do so are abomination unto the LORD thy God.
 
Umeonesha matendo ya "wakristu" Ila hujathibitisha ni wapi huo "ukristu" Uliruhusu..
Kumbuka toka enzi za masinagogi, Yesu aliliharibu soko la watu mbele ya mahekalu kwa hiyo utaona kuwa "ruhusa hutolewa kwa sheria na vifungu na si vile watu wanavyoenenda"

By the way umewasilisha mada yako kwa mfumo wa vice versa kwa hiyo inaweza kuwa na maana nyingi tofauti na mtu akiitafsiri directly
 
wapo waislamu wavaa vimini mbona,

inategemea umeshikaje dini, kuna walioshika sana na walioshika kidogo

hao wakristo wavaa vimini wameshika kidogo
 
Maandiko matakatifu yanayokubaliwa na Ukristo yanaunga mkono mavazi ya kusitiri.

Imeandikwa:
Mithali 7:10
[10]Na tazama, mwanamke akamkuta,
Ana mavazi ya kikahaba, mwerevu wa moyo;
And, behold, there met him a woman with the attire of an harlot, and subtil of heart.

Na tena:
1 Timotheo 2:9
[9]Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;
In like manner also, that women adorn themselves in modest apparel, with shamefacedness and sobriety; not with broided hair, or gold, or pearls, or costly array;

Na tena:
Kumbukumbu la Torati 22:5
[5]Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako.
The woman shall not wear that which pertaineth unto a man, neither shall a man put on a woman's garment: for all that do so are abomination unto the LORD thy God.
Mambo ya agano la kale yalishapitwa na wakati, hayana nafasi, agano la kale lilikataza kula Nguruwe, agano la kale lilikataza kuchonga nywele na ndevu, agano la kale lilikataza kuvaa hereni, ....hivi vitu vyote vinaruhusiwa kwa sasa
 
Makanisani wanaruhusu kuvaa suruali , magauni yanayochora shepu, kusuka nywele, kuvaa hereni, n.k. wewe ni nani ukatae ??
Yanaruhusu je Maandiko Matakatifu yanaruhusu watu kuvaa nguo inayochora miili Yao?
Imeandikwa:

Hosea 4:6
[6]Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.
My people are destroyed for lack of knowledge: because thou hast rejected knowledge, I will also reject thee, that thou shalt be no priest to me: seeing thou hast forgotten the law of thy God, I will also forget thy children.
 
Na tena:
Kumbukumbu la Torati 22:5
[5]Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako.
The woman shall not wear that which pertaineth unto a man, neither shall a man put on a woman's garment: for all that do so are abomination unto the LORD thy God.
usiquote hii imepitwa na wakati, agano la kale
 
Mambo ya agano la kale yalishapitwa na wakati, hayana nafasi, agano la kale lilikataza kula Nguruwe, agano la kale lilikataza kuchonga nywele na ndevu, agano la kale lilikataza kuvaa hereni, ....hivi vitu vyote vinaruhusiwa kwa sasa
Mungu wa Agano la Kale hajabadilika, imeandikwa:
Malaki 3:6
[6]Kwa kuwa mimi, BWANA, sina kigeugeu; ndio maana ninyi hamkuangamizwa, enyi wana wa Yakobo.
For I am the LORD, I change not; therefore ye sons of Jacob are not consumed.

Mungu Mtakatifu sana, aliruhusu watu kula wanyama wote kwa kuwa si kiingiacho ndani ya mtu humfanya muovu bali ni Matendo yake. Ukiona unafanya jambo ambalo linashawishi mtu wa pembeni yako kuasi, basi na wewe unakuwa umeshiriki uasi huo, ndo maana hakuna Maandiko ndani ya Biblia inayoruhusu kuvaa kila nguo ama mavazi , na nakuapisha nionyeshe andiko lolote la Biblia inayoruhusu mavazi ya tight kanisani ama kwa Wakristo. Hizo nguo huwafanya wanaume wadhaifu wanaowaza ngono kulala na wewe kimawazo hata kabla haijawa reality.

Kiufupi Halipo ndo maana Paulo alisema wanawake wavae mavazi ya kuficha maungo yao. Paulo hakuwa mjinga na alijaa Roho Mtakatifu na nguvu za Mungu.

1 Timotheo 2:9
[9]Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;
In like manner also, that women adorn themselves in modest apparel, with shamefacedness and sobriety; not with broided hair, or gold, or pearls, or costly array;
Mambo ya agano la kale yalishapitwa na wakati, hayana nafasi, agano la kale lilikataza kula Nguruwe, agano la kale lilikataza kuchonga nywele na ndevu, agano la kale lilikataza kuvaa hereni, ....hivi vitu vyote vinaruhusiwa kwa sasa
 
Dini zote mbili zimeanzia mashariki ya Kati , mavazi wanayovaa waislamu ndo mavazi sahihi Kwa dini zote mbili , wavaa nusu uchi wote ni mashetani waliojivika vazi la kidini , mana inaeleweka wazi wavaa nusu uchi ni wafanya biashara ya ngono , katika mazingira yyte yale

Mavazi ni utamaduni huwezi vaa majuba ukaenda beach utaonekana mshamba. Hivyo utamaduni uheshimiwe.
 
Back
Top Bottom