Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,106
Ngoja nitafute kisa kwa hawa wahudumu hapa Fesibuku pub.,
Weka kisa cha kile kimeo ulichomsakizia KakaKiiza
Last edited by a moderator:
Ngoja nitafute kisa kwa hawa wahudumu hapa Fesibuku pub.,
halafu unakuja kwa kubipu wewe na MwanajamiiOne. sijui kwanini
AshaDii katususa sana siku hizi. Tunamiss mchango wako. May God bless you wherever you may be!
Mzee Mwanakijiji nae anaingia kimachalemachale tu.
Malaria Sugu sijui kafia wapi
abee baba paroko!!!!!!!!!!!!!
hivi mie bado ni mpya tu jamani
hahaahah!! ngoja tukitaftie dawa, ila nammiss @krolokwini hadi nahisi kuugua mwenzenu. lol
My fellow tablet yupo sana. Kama vipi nikatie dau nimlete hapa sasa hivi.
Kuna mahali umenionea moskwito Mbu na soulmate wake MwanajamiiOne. sijui ndo wameshaoana wameamua kujipa ban ya ID zao za zamani?
Kuna mpinzani wangu wa jadi kwenye mambo ya Infii anaitwa carmel. sijui nae kafia wapi.
Baada ya kusema hayo nisaidie kumuuliza mzee mwenzangu Dark City alikuwa wapi siku zote mpaka wajuu zake wanapotea ndo awakumbuke leo???
Hahahah, Mtambuzi ataua mtu.
Dena Amsi yupo kamili gado, niliongea nae last week. klorokwini alisema hatorudi, sijui nani kamkera. tumuombee roho yake ilainike japo kidoncho aje atupe hi!
wengine waliharibu PM walipoona wamejulikana wakabadili ID. pole yako nanihino
Kunani kaka??
Mbona ni kawaida kukumbuka majina ya timu pinzani??
Au kuna jengine?
....hahahah,... Asprin naweee,...hebu usitusimangie na Soulmate wangu MwanajamiiOne banaa
halafu, kwa heshima na taadhima hebu anzisha sredi angalau moja kila wiki,
kisha Teamo nae aanzeshe za kwake kama hamjaona MMU inarudia kama zamani.
...mzee Dark City amejaaliwa kuturudisha kundini angalau leo, pheewww!
....kwakweli #TulikuwaWapiSikuZote???
wengine waliharibu PM walipoona wamejulikana wakabadili ID. pole yako nanihino