Wako wapi hawa wadau?

Wako wapi hawa wadau?

halafu unakuja kwa kubipu wewe na MwanajamiiOne. sijui kwanini

...hehehehehehhhe.....
mambo ya https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/143617-kujipendelea-muhimu.html

paradise.jpg ....♬..tuacheni tulale!.....♬
 
AshaDii katususa sana siku hizi. Tunamiss mchango wako. May God bless you wherever you may be!

Mzee Mwanakijiji nae anaingia kimachalemachale tu.

Malaria Sugu sijui kafia wapi
 
wengine waliharibu PM walipoona wamejulikana wakabadili ID. pole yako nanihino
 
My fellow tablet yupo sana. Kama vipi nikatie dau nimlete hapa sasa hivi.

Kuna mahali umenionea moskwito Mbu na soulmate wake MwanajamiiOne. sijui ndo wameshaoana wameamua kujipa ban ya ID zao za zamani?

Kuna mpinzani wangu wa jadi kwenye mambo ya Infii anaitwa carmel. sijui nae kafia wapi.

Baada ya kusema hayo nisaidie kumuuliza mzee mwenzangu Dark City alikuwa wapi siku zote mpaka wajuu zake wanapotea ndo awakumbuke leo???

Mzee mwenzangu, mang'ana siyo mazuri na huyu bibi anazidisha speed utadhani amesahau kwamba tulishastaafu!

Nahitaji booster kidogo...si ndiyo mkuu??

Ila kama ni dau mie nitatoa ili ukamrudishe klorokwini
 
Last edited by a moderator:
....hahahah,... Asprin naweee,...hebu usitusimangie na Soulmate wangu MwanajamiiOne banaa

halafu, kwa heshima na taadhima hebu anzisha sredi angalau moja kila wiki,
kisha Teamo nae aanzeshe za kwake kama hamjaona MMU inarudia kama zamani.

...mzee Dark City amejaaliwa kuturudisha kundini angalau leo, pheewww!
....kwakweli #TulikuwaWapiSikuZote???

Wamesha kuwa wazee wanashindwa kukimbizana na damu changa akina @Lara1, Smile, Smiles
 
Last edited by a moderator:
wengine waliharibu PM walipoona wamejulikana wakabadili ID. pole yako nanihino

Ok, ok, ok....Nimekupata sasa....

Kwa hiyo watu ambao hawajabadili ID au bado wanatumia zile za zamani (hata kama wanazo nyingine za ziada) hajamtenda mtu kupitia PM?


Hapa naona kuna watu wamepaishwa sana....
Kaizer, Asprin, Teamo, The Boss, Baba_Enock, Nyani Ngabu, PakaJimmy na wengine ambao siyo masalia... Hongereni sana kwa kutofanya maasi kupitia PM!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom