Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,648
Mzee mwenzangu, mang'ana siyo mazuri na huyu bibi anazidisha speed utadhani amesahau kwamba tulishastaafu!
Nahitaji booster kidogo...si ndiyo mkuu??
Ila kama ni dau mie nitatoa ili ukamrudishe klorokwini
8th March 2008; 18th October 2008Mzee mwenzangu, klorokwini atarudi siku ambayo mie fellow tablet wake ntakapoamua kumuita. Nakuonea huruma, dau utakalotoa wajukuu zako watakula maharage badala ya samaki.
Wewe na The Boss hamdhuriani lakini...lol!
Mzee mwenzangu, klorokwini atarudi siku ambayo mie fellow tablet wake ntakapoamua kumuita. Nakuonea huruma, dau utakalotoa wajukuu zako watakula maharage badala ya samaki.
Hapana bwana...kamwambie klorokwini basi hata apige chabo mara moja kama wenzake.
Hilo dau hata halitoki kwenye mkoba wa Bibi...wajukuu walikuwa tayari kupiga harambeee!!
Hahahaha....The Finest niko nae kwenye honeymoon
Ok, ok, ok....Nimekupata sasa....
Kwa hiyo watu ambao hawajabadili ID au bado wanatumia zile za zamani (hata kama wanazo nyingine za ziada) hajamtenda mtu kupitia PM?
Hapa naona kuna watu wamepaishwa sana....
Kaizer, Asprin, Teamo, The Boss, Baba_Enock, Nyani Ngabu, PakaJimmy na wengine ambao siyo masalia... Hongereni sana kwa kutofanya maasi kupitia PM!!
What's good manHmm....
Mimi na Mzee mwenzangu Asprini tuliingia hapa mwaka mmoja...ila yeye alitangulia kiduchu...
Babu DC mie nipe aiseeMimi na Mzee mwenzangu Asprini tuliingia hapa mwaka mmoja...ila yeye alitangulia kiduchu...
Mkuu Dark City umri huu nani anahangaika.na PM zetu? We are safe that way...of course wake zangu tunawasiliana kwa njia zote halali
Hahaha...wajukuu nao wameadimika siku hiziEwaaa... Enzi hizo kuanzisha thread mtu unajiulíza mara mbili. Sasa hivi hata jinsi ya kutongoza, mtu anaanzisha uzi. Mtu akibakwa badala ya kwenda polisi anakuja MMU kuomba ushauri. yani vululuvululu. vyuo vikuu vya siku hizi vinachukua mpaka divishen faiv.
What's good man
Hahaha...wajukuu nao wameadimika siku hizi