Wako wapi hawa wadau?

Wako wapi hawa wadau?

Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Hapana bwana, huyu anayeingia ni Smile toto tundu....kuna yule Smiles aliyejidai kuchuana na wana infii...mwisho akaishia kuwajoin!! Alipotea kwa sababu ya maternity ila naona kama kaunganisha trip kama 4 hivi!!
Smiles ni huyu hapa....
avatar18400_9.gif


Her last post: 13th March 2011 09:43 but last activity was: 15th January 2014 13:46


Na huyu ndiye Smile
profilepic48795_3.gif


Huyu yuko mtandaoni hata sasa: Last activity = Today 13:27

Babu DC!!

Enzi hizo thread zilikuwa thread kweli. Hapo bado Lizzy naye hajatupia mbwembwe zake, bado muke ya muzungu Natalia naye hajaibuka
 
Last edited by a moderator:
.....hehhehh...changamoto za kuanzisha sredi zilitokana na wachangiaji wanaotajwa tajwa sanaaa kwenye sredi hii...
Hivi sasa wooote hao wameingia mitini, na waliobakia kina Nyamayao, wewe, na wachache wengineo mmebakia #Wachunguliaji zaidi!


Mkuu Mbu unajua kwa nini tunajikuta tunaenda chit chat ni kuondoa stress baada ya kujikuta unatembelea MMU unaishia kukereka na maswali yao hayo ya ajabu ambayo utafikiri watu wako kijiweni wanaongea
Kukiwa na thread serious ambazo zinaibua mjadala wanaochungulia wote utawaona wanarejea mmoja baada ya mwingine
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mbu unajua kwa nini tunajikuta tunaenda chit chat ni kuondoa stress baada ya kujikuta unatembelea MMU unaishia kukereka na maswali yao hayo ya ajabu ambayo utafikiri watu wako kijiweni wanaongea
Kukiwa na thread serious ambazo zinaibua mjadala wanaochungulia wote utawaona wanarejea mmoja baada ya mwingine

.....seriously, kuna Mdahalo nauandaa kichwani...tangu wiki iliyopita ninajifikiria niubandike hapa au la ila si unajua tena wachangiaji wenyewe wa siku hizi hawachelewi kukwambia umepitwa na wakati.
Well, baadae kidogo nitauweka hewani tupanue mawazo.
 
Umo tena saaana......Weee mbaya sana wewe....!!

Unaamua kabisa kuwashusha watu testosterone yao (bidhaa adimu kabisa)...hutaki nipate wajukuu zaidi??

Sijui nisema kuwa nakupenda sana wewe (au kinyume chake)??

Babu DC!!
Lols. Nimewashusha wapi mie babuuuu
 
.....seriously, kuna Mdahalo nauandaa kichwani...tangu wiki iliyopita ninajifikiria niubandike hapa au la ila si unajua tena wachangiaji wenyewe wa siku hizi hawachelewi kukwambia umepitwa na wakati.
Well, baadae kidogo nitauweka hewani tupanue mawazo.


Karibu sana mkuu
Ndani ya kupitwa na wakati ni kuwa sisi hatuvai mlegezo wala hatuandiki kwa vile viherufi vyao vya xaxa ila tunaishi kulingana na kuendana na wakati ila katika kimaadili zaidi
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom